Kwanza kabisa naomba nitoe pole kwa watanzania wenzangu wote tulioguswa na msiba wa Dada yetu Regia....R.I.P
Direct to the point, kwa tathmini yangu naona vibaka wanazidi kuwa wengi huku uraiani na wala siwashangai hawa vibaka ila naishangaa hii serikali iliyoshindwa kuwafungulia mianya ya ajira.
Kwa wingi wa vibaka hawa sasa si vibaya kubuni mbinu za kujihami,nafikiria kuwa na kasilaha kamoto japo kadogo,nimejaribu kutafuta kwenye website kibao za nchi yetu kuhusu requirements and procedures za mtu kuweza kumiliki hii kitu sijaona.Kindly mwenye uelewa katika hili naomba kujua requirements na procedure za kumiliki silaha ni zipi?Kadirio la processing costs pamoja na Bei ya baadhi ya silaha.
Direct to the point, kwa tathmini yangu naona vibaka wanazidi kuwa wengi huku uraiani na wala siwashangai hawa vibaka ila naishangaa hii serikali iliyoshindwa kuwafungulia mianya ya ajira.
Kwa wingi wa vibaka hawa sasa si vibaya kubuni mbinu za kujihami,nafikiria kuwa na kasilaha kamoto japo kadogo,nimejaribu kutafuta kwenye website kibao za nchi yetu kuhusu requirements and procedures za mtu kuweza kumiliki hii kitu sijaona.Kindly mwenye uelewa katika hili naomba kujua requirements na procedure za kumiliki silaha ni zipi?Kadirio la processing costs pamoja na Bei ya baadhi ya silaha.