Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Taratibu za kufuata ili kumiliki Silaha ya Moto Tanzania

Nimewasoma wakuu,lakini pia vibaka wakikuotea wanaweza wakakufanya kitu mbaya kama huna hiyo kitu,tatizo pia mtaani wanaamini eti ninayo kwavile tu mi ni mjeshi.mgogoro mkubwa ni namna ya kuitunza maana inabidi iwe sehemu ya mwili wako

Wewe ni Mjeshi ? jeshi lipi lakini au la Mgambo wa Jjiji kama bado wapo. Maana ni vigumu Mjeshi wa KDF kutofahamu aina za vitendea kazi vyake!!! Halafu anauliza raiaa. Anyway, wewe nunua tu, halafu endelea kuimiliki katika hiyo nchi yenye wewe unaishi, siku ya kurudi kwenu, utaikadibhi kwa crew ya ndege ambao wataikabidhi Airport authority mpaka siku ukifanya clearance.

Mimi namiliki moja hapa, siku nikichoka kutumikia hawa watu nitaenda nayo home. Hata gari waweza nunua na kuituma kwa meli.
 
Katika silaha zote, aina ya bastola, Glock 19 ni bastola nzuri zaidi, hasa hii ya 4th generation. Glock 17 nayo ilikuwa ni nzuri lakini inapitwa ubora na glock 19. Kwa utendaji kazi, Glock 19 ni bunduki. Na ndiyo maana katika nchi za wenzetu hii bastola hairuhusiwi kumilikiwa na mtu binafsi.

Kuthibitisha kwamba Glock 19 ni silaha nzuri, ndo maana hata askari wa UN wanatumia Glock 19. Bereta na Browning zina weakness moja, ukipiga sana, huwa zina pata moto na zinajam upesi.

Kwa upande wa bei ni sahihi, bereta na browning zinauzwa kirahisi na bei ya Glock 19 imechuchumaa, but it's value for money.

Feature nyingine nzuri kwa Glock 19 ni kwamba, Glock 19 ina expandable magazine yenye uwezo wa kubeba risasi 64 na hivyo kukufanya wewe mtumiaji uwe huru zaidi kubeba risasi unazotaka. Lakini pia risasi za 9mm ambazo Glock 19 inatumia zipo readily available hapa Tanzania. Glock 19 ni bunduki. Ni nzuri.

Yaani risasi 64 zote kwa ajili ya ulinzi wako binafsi tu ? Kwanza kwa kufukuza wezi risasi 10, zinatosha mana ukishapiga moja hewani wanakimbia kwa kuhofia kuwa watu wameshasikia na watakuja kuwakamata kutoka pande zote.
 
Mkuu tatizo kubwa la Glock hasa kwa watumiaje binafsi ni kwamba haina security lock hivyo inabidi uwe makini sana,vinginevyo inaweza kukutoa roho mwenyewe

Usalama wa pistol ye yote ile ni kuwa usije ukapandisha risasi kwenye chamber isipokua tu unapotaka kufyatua risasi.
Risasi zikae kwenye magazine tu.

Uzuri wa Glock ipo tayari zaidi kwa action haina mambo ya kupangua usalama. Kumbuka unapokuwa kwenye intense stress ya mapambano hata huo usalama hautaweza kuupangua. Utavuta trigger risasi haitoki kumbe usalama uko on, jamaa ndo wanakumaliza kirahisi zaidi maana risasi isipotoka utapanic vibaya sana. Kumbuka tukio la mbezi la yule professa aliyeuawa na majambazi! Jamaa alisahau kutoa usalama wapigaji wakamuwahi na kumnyanganya silaha yake.

Yote haya ni ya kumwachia Mungu tu ndiye Mlinzi wetu.
 
Usalama wa pistol ye yote ile ni kuwa usije ukapandisha risasi kwenye chamber isipokua tu unapotaka kufyatua risasi.
Risasi zikae kwenye magazine tu.

Uzuri wa Glock ipo tayari zaidi kwa action haina mambo ya kupangua usalama. Kumbuka unapokuwa kwenye intense stress ya mapambano hata huo usalama hautaweza kuupangua. Utavuta trigger risasi haitoki kumbe usalama uko on, jamaa ndo wanakumaliza kirahisi zaidi maana risasi isipotoka utapanic vibaya sana. Kumbuka tukio la mbezi la yule professa aliyeuawa na majambazi! Jamaa alisahau kutoa usalama wapigaji wakamuwahi na kumnyanganya silaha yake.

Yote haya ni ya kumwachia Mungu tu ndiye Mlinzi wetu.
Mkuu nimekupata kwa maelezo yako mazuri sana
 
Napenda tu kuongezea kuwa risasi inayoleta ajali mara kwa mara ni ile ambayo inakaa kwenye chamber (risasi hii ni hatari sana inaweza kukukata mguu, mkono, kukuua kabisa au ukaua mtu mwingine bila kutarajia/kupenda. Kuna jamaa mmoja alikuwa ameiweka kiunoni bahati mbaya wakati anaichomoa kumbe ameshika kwenye trigger, **** lote na paja la kulia viriharika vibaya sana, bahati nzuri hakufa.

Risasi inaweza kwenda kwenye chamber wakati una koki na ukija kusahau kuitoa ndo utajuta. Risasi hiyo vilevile inaitwa accidental killer/damager. Unaweza ukaota umevamiwa na kuchukua silaha yako bila kujijua na kuvuta trigger, hapo utaua mkewe au wewe mwenyewe maana uko ndotoni.

USHAURI: Silaha ya aina yo yote iwe gobore, riffle, shortgun, pistol au revolver never ever ever ever ukaacha risasi kwenye chamber. Isipokuwa labda kwa wanajeshi wanapokuwa kwenye uwanja wa vita, ingawa na wao accident ya risasi kutoka kwa bahati mbaya inatokea sana tu.

Always acha risasi kwenye magazine, ukiamua kupiga risasi then koki silaha yako lenga vuta trigger paaaaaaaa.
Ukigairi kupiga itoe hiyo risasi iliyopo kwenye chamber na irudishe kwenye magazini.

"Always assume the firearm is loaded", maana ya loaded ni kuwa risasi iko kwenye chamber!!!!!!!!!!!.

Remember the FOUR basic rules of firearm safety: "Lo-Mu-Tri-Ta"
Lo = Loaded. (Always assume the firearm is loaded)
Mu = Muzzle. Point the Muzzle in a direction you don't intend to destroy.
Tri = Trigger. Keep you finger away from the Trigger, only when you are ready to shoot.
Ta = Target. Know the target that you want to destroy, what is behind it, to its left , to its right and so on.
 
Akdal Mini 03 is the best deterant with 6.35mm bullets you will always be with it cause it is friendly and lovable..it is has a lead Burrell so it does not turn red after hundred rounds. Find it from Turkey

Fatal range mkuu??? Weather sensitivity??
 
Ha ha ha Australian magic, all weather.......17 is more handy

Mkuu Glock 17 ni kubwa mno hasa kama unataka kuitumia kama concealed carry weapon (CCW).

Glock 26 ni dongo kupita kiasi sub-compact. Kwa hiyo ilyo katikati ya 17 na 26 ni Glock 19 ambayo ndo size nzuri zaidi.
 
Yaani risasi 64 zote kwa ajili ya ulinzi wako binafsi tu ? Kwanza kwa kufukuza wezi risasi 10, zinatosha mana ukishapiga moja hewani wanakimbia kwa kuhofia kuwa watu wameshasikia na watakuja kuwakamata kutoka pande zote.

Ooonh yes 64 rounds with you hasa safarini na usiku ni muafaka saaanaaaaaa.......hawa watu siku hizi wanakuja na SMG kaka.....they say if you need eat frog choose the fatty one
 
Mkuu Glock 17 ni kubwa mno hasa kama unataka kuitumia kama concealed carry weapon (CCW).

Glock 26 ni dongo kupita kiasi sub-compact. Kwa hiyo ilyo katikati ya 17 na 26 ni Glock 19 ambayo ndo size nzuri zaidi.


Ok hii 19 ina added options ontop of 17 mkuu zaid ya size????
 
Ok hii 19 ina added options ontop of 17 mkuu zaid ya size????

No hapana, isipokuwa size ni muhimu sana hasa linapokuja swala la ubebaji. Kumbuka mkuu ndoa ilyopo kati ya pistol na mtu ni kubwa kuliko ndoa kati ya mme na mke. Muda wote utakuwa unaichunga/kuilinda hiyo silaha kupita hata unavyomlinda mkeo.

Hivyo basi ni vizuri ukawa una kitu kinachobebeka kiurahisi na kufichika kuirahisi. Hi ni iktu isiyootakiwa kuonekana nayo kwenye public ovyo ovyo..

Advantage ndogo sana ya G17 over G19 ni katika kulenga shabaha kwa sababu G17 ni ndefu kidogo kuliko G19.
 
Mkuu hiyo Berreta siyo kitu cho chote mbele ya Glock. Yote nilishapitia mambo ya Berreta na Browning.

arabianfalcon said:
Katika silaha zote, aina ya bastola, Glock 19 ni bastola nzuri zaidi, hasa hii ya 4th generation. Glock 17 nayo ilikuwa ni nzuri lakini inapitwa ubora na glock 19. Kwa utendaji kazi, Glock 19 ni bunduki. Na ndiyo maana katika nchi za wenzetu hii bastola hairuhusiwi kumilikiwa na mtu binafsi.

Kuthibitisha kwamba Glock 19 ni silaha nzuri, ndo maana hata askari wa UN wanatumia Glock 19. Bereta na Browning zina weakness moja, ukipiga sana, huwa zina pata moto na zinajam upesi.

Kwa upande wa bei ni sahihi, bereta na browning zinauzwa kirahisi na bei ya Glock 19 imechuchumaa, but it's value for money.

Feature nyingine nzuri kwa Glock 19 ni kwamba, Glock 19 ina expandable magazine yenye uwezo wa kubeba risasi 64 na hivyo kukufanya wewe mtumiaji uwe huru zaidi kubeba risasi unazotaka. Lakini pia risasi za 9mm ambazo Glock 19 inatumia zipo readily available hapa Tanzania. Glock 19 ni bunduki. Ni nzuri.

Mnaonekana mna ujuzi au uzoefu wa hizi vimoto naomba ushauri kutoka kwenu kuhusu hizi bastola zifuatazo,

  1. CZ 75B ya Chekoslavakia
  2. QSZ 92 ya Kichina
  3. FN Five-seven ya Kibeligiji

    Mie chaguo langu ni QSZ 92 ya kicchina
 
No hapana, isipokuwa size ni muhimu sana hasa linapokuja swala la ubebaji. Kumbuka mkuu ndoa ilyopo kati ya pistol na mtu ni kubwa kuliko ndoa kati ya mme na mke. Muda wote utakuwa unaichunga/kuilinda hiyo silaha kupita hata unavyomlinda mkeo.

Advantage ndogo sana ya G17 over G19 ni katika kulenga shabaha kwa sababu G17 ni ndefu kidogo kuliko G19.
Kaka cheki na PM zako basi!!!
 
Najua una mambo mengi ya kufanya, hivyo sikushauri ununue hiyo kitu ni heri utafute manati au ujifunze karate tu.
Taratibu za kuishi na hiyo kitu ni kama unnainunue ili utumie muda na attentio yingi kuilinda.
 
Napenda tu kuongezea kuwa risasi inayoleta ajali mara kwa mara ni ile ambayo inakaa kwenye chamber (risasi hii ni hatari sana inaweza kukukata mguu, mkono, kukuua kabisa au ukaua mtu mwingine bila kutarajia/kupenda. Kuna jamaa mmoja alikuwa ameiweka kiunoni bahati mbaya wakati anaichomoa kumbe ameshika kwenye trigger, **** lote na paja la kulia viriharika vibaya sana, bahati nzuri hakufa.

Risasi inaweza kwenda kwenye chamber wakati una koki na ukija kusahau kuitoa ndo utajuta. Risasi hiyo vilevile inaitwa accidental killer/damager. Unaweza ukaota umevamiwa na kuchukua silaha yako bila kujijua na kuvuta trigger, hapo utaua mkewe au wewe mwenyewe maana uko ndotoni.

USHAURI: Silaha ya aina yo yote iwe gobore, riffle, shortgun, pistol au revolver never ever ever ever ukaacha risasi kwenye chamber. Isipokuwa labda kwa wanajeshi wanapokuwa kwenye uwanja wa vita, ingawa na wao accident ya risasi kutoka kwa bahati mbaya inatokea sana tu.

Always acha risasi kwenye magazine, ukiamua kupiga risasi then koki silaha yako lenga vuta trigger paaaaaaaa.
Ukigairi kupiga itoe hiyo risasi iliyopo kwenye chamber na irudishe kwenye magazini.

"Always assume the firearm is loaded", maana ya loaded ni kuwa risasi iko kwenye chamber!!!!!!!!!!!.

Remember the FOUR basic rules of firearm safety: "Lo-Mu-Tri-Ta"
Lo = Loaded. (Always assume the firearm is loaded)
Mu = Muzzle. Point the Muzzle in a direction you don't intend to destroy.
Tri = Trigger. Keep you finger away from the Trigger, only when you are ready to shoot.
Ta = Target. Know the target that you want to destroy, what is behind it, to its left , to its right and so on.

Buuuuulllll..................salute
 
Najua una mambo mengi ya kufanya, hivyo sikushauri ununue hiyo kitu ni heri utafute manati au ujifunze karate tu.
Taratibu za kuishi na hiyo kitu ni kama unnainunue ili utumie muda na attentio yingi kuilinda.


Right....... tena ukiwa na afya ya akili na physique ya kutosha
 
Jamani hiyo Browning CZ 7.65 ni cha mtoto sana mbele ya Glock 19. Isitoshe basi CZ 7.65 inalingana size na Glock 19.

Nina uzoefu mkubwa na hiyo CZ (CZ83) na nimeshaamua kuacha nayo.

KIMEO NARUDIA TENA, GO FOR GLOCK 19 (3rd Generation au 4th Generation). 3rd Generation in a muda mrefu sokoni (worldwide) kuliko 4th generation ambayo iko sokoni kama miaka miwili hivi sasa.

Browning CZ 7.65 ukichukua, utakuja tamani utafute Glock baadaye.

Vigezo vya kuchagua silaha ni size yake kama unaweza kuibeba vizuri isionekane ovyo, jinsi inavyokaa kwenye mkono wako k.m. kama una mkono mkubwa au mdogo. Uwezo wa silaha kuleta madhara unategemea ukubwa wa risasi (caliber), kama ni double au single action, lakini yote zaidi yanategemea ujuzi wako mwenyewe na jinsi unavyoweza kuimudu silaha. Kabla ya kumiliki bastola jiulize kama uko tayari kutoa roho ya mtu.

Vilevile kabla ya kutembea na silaha inabidi uwe umeimudu, la sivyo utauawa na bastola yako mkononi. Inakubidi ufanye mazorzi ya mara kea mara, kwenda range na mazoezi ya matukio halisi pale inapowezekana.

Sent from my GT-I9100 using Tapatalk
 
Hata ukiipata wauzaji wataituma kwenye agent aliyeteuliwa kuhifadhi silaha. Huwezi kuja nayo wewe kama wewe na hata ukikubaliwa lazima u-hand it over to pilot then ataikabidhi kwa bohari la silaha. Kwa hapa kwetu ni Tanganyika arms. Wataihifadhi mpaka hapo utakapokamilisha taratibu za kuimiliki.
Kuna vikao vya ulinzi na usalama vya kijiji hadi mkoa vitakavyokaa na kukupitisha ili umiliki silaha. Then Mwenyekiti wa ulinzi na usalama mkoa atapeleka jina lako Wizarani then kama una bahati utapewa KIBALI thereafter unaenda Tanganyika Arms kuchukua msala wako.
Kwa wanaomiliki silaha ni kitu hatari sana! Huna uhuru hata kidogo. Ukiacha nyumbani lazima uwe na uhakika wa safety locker. Ukiwa nayo kwenye gari omba vibaka wasiipitie! Ukiiweka kiunoni omba watu wasiione na usiingie nayo bar! Usiwe na hasira za haraka! Yaani jamaa anatoka huko atokako kapanda ile mbaya afu anamshika your my wife makalio! Lazima uchomeo ka mguu ka kuku (Yule askari pale Moshi alikasirishwa akenda kuchukua SMG kwenye corola). Achilia mbali wale wenye mabinti ukute kapindwa kwenye ua wa pale home! Saa nyingine wale wenzetu wanakufata wanakwambia hawajajia kingine wanataka JEMBE na ukibisha wanakutoa roho. Si kitu muhimu sana kuwa nacho kwa kweli.
mbona Ditopile alikuwa nayo?
 
Najua una mambo mengi ya kufanya, hivyo sikushauri ununue hiyo kitu ni heri utafute manati au ujifunze karate tu.
Taratibu za kuishi na hiyo kitu ni kama unnainunue ili utumie muda na attentio yingi kuilinda.

Ni kweli kabisa mkuu usemavyo ni vigumu sana kutunza hii kitu na wakati mwingine inakuwa kama mateso ukiwa nayo.
Vile vile inaweza kukupeleka gerezani kiurahisi sana, hivyo fikiria mara mia kabla ya kuimiliki.

Hawa vibaka na majambazi nao wanaudhi sana. Fikiria wanapokuwa wamekuvamia nyumbani kwako vitendo vichafu wanavyofanya. Wanaweza kumu rape (kimwingilia kimwili bila ridhaa yake) mkeo au binti yako huku ukiona waziwazi, utatamani dunia yote ipasuke. Huyo aliyerepiwa kiakili na kiafya atakuwa ameadhirika sana hata wewe mwenyewe tu.

Ukitaka kuwapiga kareti wakati wanamrepu mkeo/binti yako jamaa wanakutwanga risasi ya shingoni, kwisha kazi. Wakuu inauma sana kupatwa na tukio kama hilo.

Si ajabu watu wengine wanafikia hatua ya kuamua kumiliki bunduki ya kujilindia, ingawa na yenyewe kumiliki silaha ni hatari tu vilevile. Silaha inaweza kuua/kujeruhi bila kukusudia au majambazi wakakunyang'anya na kukua kabia. Hatari tupu wejemeni.

Uamuzi labda ukeshe ukiomba MUNGU (MOLA) usiku na mchana 24/7 ili kitu hiki kisikutokee.

Kumbuka hawa jambazi wanaenda kwa waganga wa kienyeji kurekebishwa kwa hiyo na wewe kesha ukimwomba MUNGU akulinde sana.
 
Back
Top Bottom