impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,764
- 7,758
Kwanini maana Mimi ni mfanyabiashara kwanini wasinipe ?Utainunua ila kibali hutapata hata kwa rushwa
Kama ni kigezo Cha pesa Nina uhakika wa Kula na kufanya Mambo kadhaa kwa uchumi wa Taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini maana Mimi ni mfanyabiashara kwanini wasinipe ?Utainunua ila kibali hutapata hata kwa rushwa
Ngoja ni Google asanteTafuta GLOCK 17 itakufaa boss.
Mimi siyo mtaalam nisadie elungata asiniingize chaka"SIG sauyerundefinedundefined" hiyo ni silaha ya wapi boss?
Dooi😀😀Mmmmmmmm,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji38][emoji38][emoji6][emoji6][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Labda nikulinde wewe
Kitu alichoandika hakieleweki mkuu,ndio maana nimemuuliza.Mimi siyo mtaalam nisadie elungata asiniingize chaka
Silaha rahisi kupata ni short gun, nenda Mzinga Morogoro wanazo kibao, kupata kibali cha kumiliki Bastola utapata ilauwe mvumilivu labda utumie short cutNaomba mwenye ufahamu vigezo jin
umiliki silaha maduka yanayouza Bei na Aina ya silaha nzuri Bastoral inayobebeka kirahisi na ya kisasa walau risasi 15
hahahaaa....keshachemkaKigezo cha kwanza ni kujua kuandika kwa ufasaha.
Bastoral ndo nini?
Mwambie na kahela kake alicho dunduliza kununulia silaa atamwachia muuzaji.....Kuna uzi upo humu unaonyesha process zote za kumiliki silaha.. Kama utafuata sheria kupata hiyo silaha mlolongo wake ni mrefu kiasi kwamba utaishia njiani na kula kona na kwenda kufanya mishe nyingine
Though GLOCK 19 pia nayo iko poa mkuu.Ngoja ni Google asante
Kwanini maana Mimi ni mfanyabiashara kwanini wasinipe ?
Kama ni kigezo Cha pesa Nina uhakika wa Kula na kufanya Mambo kadhaa kwa uchumi wa Taifa
Mkuu ni kweli kipengele kimoja wako ni utimamu wa akili na sababu ya msingi nyingne kwann unataka kumiliki mguu wa kukuMkuu hata kwa uandishi huu wa kiungwana huoni Mimi Nina akili timamu
Akili timamu ninazo, Mimi ni mfanyabiashara ninasafiri usiku kutoka na kwenda sehemu mbalimbali nahitaji kujilindaMkuu ni kweli kipengele kimoja wako ni utimamu wa akili na sababu ya msingi nyingne kwann unataka kumiliki mguu wa kuku
Kwani comments zimekua chakula au hela? Kama huna majibu ya hitaji lake piga kimya.... kuchambua spelling ni uboya sometimesIli tu na ww upate coment tu humu hata hicho unachohitaji hufahamu kinavyoandikwa.
Mimi sijapitia jeshi Sina ufaham pia kukksea ok upoIli tu na ww upate coment tu humu hata hicho unachohitaji hufahamu kinavyoandikwa.
Kumiliki silaha kuna mlongo sana wa kupewa kibali ila kama upo teyar vumilia tu na kuwa na subiraAkili timamu ninazo, Mimi ni mfanyabiashara ninasafiri usiku kutoka na kwenda sehemu mbalimbali nahitaji kujilinda
Mods naomba heading isomeke Pistol sehem ya Bastolar iondoleweNaomba mwenye ufahamu vigezo jin
umiliki silaha maduka yanayouza Bei na Aina ya silaha nzuri Bastoral inayobebeka kirahisi na ya kisasa walau risasi 15
Kwanini?Utainunua ila kibali hutapata hata kwa rushwa
Sawa mkuu ila huo ni uwezo wako wa kufikiriIli tu na ww upate coment tu humu hata hicho unachohitaji hufahamu kinavyoandikwa.