Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahitaji kumiliki bastola kihali, kipato changu kwa siku hakizidi tsh 10,000/= kwa siku. Wadau mnisaidie je naweza kuimiliki? Nifuate utaratibu gani?
Anza na rungu kwanza
ni kwa nia njema tu kama wengine wanavyomilikishwa' ama kuna sharti gani kumilikishwa?
Nahitaji kumiliki bastola kihali, kipato changu kwa siku hakizidi tsh 10,000/= kwa siku. Wadau mnisaidie je naweza kuimiliki? Nifuate utaratibu gani?
Haya ndiyo majibu aliyohitaji mleta mada siyo mtu anaanzakukejeri
Anataka kuruka stage na hatujui anauzoefu kiasi gani wa kukaa na silaha.
Hawala anataka kukuletea mchezo nini
Nenda ofisi ya Kamanda wa Polisi wa wilaya yako ujieleze utapewa utaratibu na pia wataangalia kama unatosha (una sifa) au unataka tu hiyo silaha ili ukaongeze kipato kwa ujambazi
hizo process zote zinaanza kabla hajanunua au akiishanunua ndo anaomba kibali? Hebu mfafanulie kaka.Kutokana na kukithiri kwa matukio ya watu kuuana kutokana na visa vya mapenzi na watu kutishia kwa silaha kwa kuwa anaimiliki kihalali masharti ya umiliki silaha yamekazwa kidogo.
Unachotakiwa kufanya ni kwenda kwenye serikali yako ya mtaa/kijiji na kuandika barua ya kuomba kumiliki silaha,baada ya hapo utaelekezwa kwenye ofisi ya mkuu wa polisi wa Wilaya na Mkurugenzi wa usalama wa Wilaya,baada ya kukuhoji maombi yataelekezwa kwa RPC & RCO wa mkoa kwa ajili ya approval kama wataona una sababu mahususi za kupewa
hii kitu
![]()
Mi nauza gobole ambalo niliachiwa na malehemu babu!
Bado liko katika hali nzuri na hata ukikosa risasi unaweza tumia goroli za chuma!
Kama utalihitaji ntafute tuongee biashara.
Nahitaji kumiliki bastola kihali, kipato changu kwa siku hakizidi tsh 10,000/= kwa siku. Wadau mnisaidie je naweza kuimiliki? Nifuate utaratibu gani?[/QUOTE Unauzoefu wa kumiliki silaha yeyote maana nyie chagga boys hamuachi kujilipua pindi mkiachwa na mademu wenu. Ni bora uanze na manati au kisu kile kilichopo kwenye kata kucha. Kwaushauri zaidi nenda Tanganyika Arms pale karibu na Benki ya Exim Moshi. Kuna silaha nyingi sana
Kutokana na kukithiri kwa matukio ya watu kuuana kutokana na visa vya mapenzi na watu kutishia kwa silaha kwa kuwa anaimiliki kihalali masharti ya umiliki silaha yamekazwa kidogo.
Unachotakiwa kufanya ni kwenda kwenye serikali yako ya mtaa/kijiji na kuandika barua ya kuomba kumiliki silaha,baada ya hapo utaelekezwa kwenye ofisi ya mkuu wa polisi wa Wilaya na Mkurugenzi wa usalama wa Wilaya,baada ya kukuhoji maombi yataelekezwa kwa RPC & RCO wa mkoa kwa ajili ya approval kama wataona una sababu mahususi za kupewa
hii kitu
![]()
Ndugu yangu, lakini haya masharti si ndo yalikuwa hivi siku zote? Yamekazwa wapi katika hizo stages? Ila sikujua kwamba mwisho wa siku RPC ndio anapitisha maombi. RPC ni mtu mkubwa mno kupitia maombi ya sijui Horseshoe anaomba bastola, hivi hawana kazi za maana hawa watu jamani?Kutokana na kukithiri kwa matukio ya watu kuuana kutokana na visa vya mapenzi na watu kutishia kwa silaha kwa kuwa anaimiliki kihalali masharti ya umiliki silaha yamekazwa kidogo.
Unachotakiwa kufanya ni kwenda kwenye serikali yako ya mtaa/kijiji na kuandika barua ya kuomba kumiliki silaha,baada ya hapo utaelekezwa kwenye ofisi ya mkuu wa polisi wa Wilaya na Mkurugenzi wa usalama wa Wilaya,baada ya kukuhoji maombi yataelekezwa kwa RPC & RCO wa mkoa kwa ajili ya approval kama wataona una sababu mahususi za kupewa
hii kitu
Anza na rungu kwanza