Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mlima ni mrefu sanaaa.....Kwa kujifariji it's owkNinashabikia klabu ya Simba. Hakuna timu bora Tanzania kama Simba Sports Club.
Leo ninasimama kama Mtanzania kuanza kushangilia ushindi wa watani zangu Utopolo wahed. Nawaombea kwa moyo mweupe. Kombe la Shirikisho wakilichukua tutanufaika kama Taifa....
Watanzania tusimame na Yanga kwani wanawakilisha Taifa
GENTAMYCIME
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]نستسنيينيينيينينيننينينHABIB HABIB THALATHA BIN THIFULI
NakaziaaaUSMA piga hao vyura hadi wapoteane
Mpigwee hadi mpoteana na msuse kuvaa medali.Uchawi utakuuwa
Wapigweee hadi wachakaeee.Wakichukua wengine tutaficha wapi sura zetu. Wafungwe hata 7 ikiwezekana
Mlongo mbna unaliaa?? Unashindwaa kujikazaa??Mkishindwa, mnataka tushindwe wote. Hii ni tabia za wachawi. Wachawi wakubwa nyie
Na tunachukua ndoo mlongo..!!Mpigwee hadi mpoteana na msuse kuvaa medali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wachawi si wa kuwachekeaMlongo mbna unaliaa?? Unashindwaa kujikazaa??
Unaniangusha bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kipigo kipo pale palee
Labdaa jaba la lita 60 hapo sawa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na tunachukua ndoo mlongo..!!
Watapigwa wao..!!Mlongo mbna unaliaa?? Unashindwaa kujikazaa??
Unaniangusha bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kipigo kipo pale palee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mlongo mda badoo wa wee kulia na kulalamaa, kuwa tyuuh mpoleee.Wachawi si wa kuwachekea
Leo kabla ya saa 6 tunachukua ubingwaLabdaa jaba la lita 60 hapo sawa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Thubutuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo kabla ya saa 6 tunachukua ubingwa
Tunza hiiThubutuuuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
inshallahNinashabikia klabu ya Simba. Hakuna timu bora Tanzania kama Simba Sports Club.
Leo ninasimama kama Mtanzania kuanza kushangilia ushindi wa watani zangu Utopolo wahed. Nawaombea kwa moyo mweupe. Kombe la Shirikisho wakilichukua tutanufaika kama Taifa....
Watanzania tusimame na Yanga kwani wanawakilisha Taifa
GENTAMYCIME
Lazima mfungwe hakuna jinsi nyingineMkishindwa, mnataka tushindwe wote. Hii ni tabia za wachawi. Wachawi wakubwa nyie