Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Leo uhakika .. NAMI na majukum ya kulijenga taifa . Ningetype the whole story endapo ningepata laptop sema ndio hivyo natumia simu...na pia jana shamrashamra za gem
 
Kwa shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama directorate K. Hii idara ilikuwa na kazi maalumu ya kufanya bugging , kile kitendo Cha kupandikiza vinasa sauti na video camera kwa Siri kwenye ofisi za walengwa maalumu waliokusudiwa , kusikiliza mawasiliano Yao ya simu au pia wakati mwingine kwenye makazi Yao binafsi.

Ilichukua nusu dakika kufungu vitasa viwili vya mlango wa mbele wa chumba namba 220 kwenye ghorofa ya nane katika mtaa wa Leninsky prospekt . Hili lilikuwa ni jumba la ghorofa lililokuwa linakaliwa na maofisa wa KGB pamoja na familia zao.

Kwa Siri sana wanaume waawili waliokuwa wamevalia overall pamoja na gloves kwa haraka haraka wangedhaniwa kuwa ni mafundi tu wa kawaida kwa ajili ya kufanya matengenezo madogo madogo katika jumba Hilo , lakini uhalisia haukuwa hivyo. Baada ya kufungua vitasa vya chumba hicho kwa ustadi na kuingia ndani wakaaanza kufanya kilichowaleta.wanaume hao wawili wakaaanza kuweka camera pamoja na vinasa sauti kwa Siri kwenye sehemu sehemu mbali mbali chumbani maeneo ambayo sio rahisi kushtukiwa. Vinasa sauti viliwekwa ukutani kwenye maiki za simu ya mezani ,pamoja na kwenye Kona za kitanda ,jikoni ,maliwatoni n.k.

Pia kamera ndogo za Siri ziliwekwa kwenye taa za kila Kona ya chumba hicho ,baada ya hapo wakavaa mask usoni na kuanza kunyunyiza vumbi lenye mionzi kwenye nguo na viatu vilivyokuwa kabatini katika Hali ambayo isingeweza kushtukiwa na mlengwa wao. Hili vumbi lingewasaidia ku track movements za huyo mlengwa wao popote aendapo kwa kutumia kifaa kilichojulikana kama Geiger counte. Baada ya kumaliza kilichowaleta wakaurudishia mlango na kuufunga kama walivyoukuta na wakatokomea.

Masaa machache baadaye ,afisa wa ngazi za juu wa KGB alishuka kwenye uwanja wa ndege wa Moscow na shirika la ndege la Aeroflot akitokea London. Kanali Oleg antonyevich Gordievsky alikuwa katika kilele Cha mafaniko ya kazi Yake katika idara ya KGB. Mpaka kufika kuwa afisa wa ngazi za juu kwenye shirika Hilo alipitia vyeo mbalimbali ,amefanya kazi kama balozi kwenye nchi za Scandinavia, uingereza pamoja na hapo Moscow.

Akiwa na miaka 46 aliteuliwa kuwa mwakilishi wa KGB kwenye ubalozi wa USSR hapo London. Kwa kuwa alikuwa jasusi mbobevu alipanda vyeo kwa haraka ndani ya idara kiasi kwamba akawa na uwezo wa kujua Siri nyingi za kijasusi (Disclassfied material) pamoja na mtandao wa kijasusi kwenye mataifa mbalimbali ikiwemo mataifa ya magharibi.

Mwenye muonekano wa mwili wa mazoezi,akiwa hana hofu Wala wasiwasi huku akitabasamu alikatiza katikati ya umati wa watu hapo uwanja wa ndege kwa ajili ya kutafuta teksi imuondoe hapo impeleke anapoishi.
Bwana Oleg afisa wa kijasusi mtiifu wa shirika la KGB aliyependwa na mabosi wake kama asset muhimu waliokuwa nayo kipindi hicho ,pia alikuwa ni JASUSI MTIIFU WA UINGEREZA. Kwa kifupi alikuwa ni double agent.

Akiwa afisa wa KGB tayari alikuwa ni mwajiriwa rasmi wa shirika la kijasusi la uingereza la MI6 kwa miaka takribani 12 .na alipewa jina jina la uficho (codename) la NOCTON.

Na baadaye ikaja semekana alikuwa ndiye JASUSI wa thamani sana enzi zile za vita baridi. Taarifa za Siri alizokuwa anazivujisha kutoka KGB na mipango ya Siri ya USSR zilibadilisha kabisa mkondo wa vita baridi kwa wakati ule. Bwana Oleg aliweza kutoboa Siri ikiwemo mikakati ya nyuklia za USSR..mtandao wa majasusi uliokuwa kwenye nchi za magharibi,pamoja na sera za nje za urusi kwa wakati huo kwa wakubwa wa MI6.

Taarifa alizokuwa anazivujisha bwana Oleg ziliwafanya MI6 na CIA ku share kwa pamoja baadhi ya taarifa, lakini ajabu ni kwamba DG na top officials wa MI6 hawakutaka kutoa identity ya Oleg kwa Margaret thatcher Wala Ronald Reagan waliemwajiri ndani ya Kremlin kwa maaana ya USSR kwa kuwapa sensitive Disclassfied informations. Na kulikuwa na sababu maalumu ya kufanya hivyo.
Pia mkewe bwana oleg hakuwahi kujua mumewe ni spy wa uingereza.

Lakini imekuwaje amekuja ghafla Moscow kwa kuitwa na wakubwa zake? . yaani ni kwa mfano balozi polepole kateuliwa balozi Tz Cuba, lakini ghafla hajamaliza hata miezi mitatu anaitwa nyumbani ghafla ,lazima hata kama ni wewe utajiuliza tu.

Lakini wanasema JASUSI ni jasusi tu . bwana Oleg aliweza kunusa hatari iliyokuwa mbele Yake ,akiwa anakatiza katikati ya watu hapo uwanja wa ndege baada ya kutua ndani ya nafsi yake alihisi upweke uliochanganyika na mashaka . Baada ya kukaguliwa nyaraka zake na hati ya kusafiria na wale maafisa wa passport uwanjani hapo alikabidhiwa akaagwa akaondoka.

Kikawaida kwa wakati huo afisa yoyote hususani mwakilishi akitokea nje ya nchi lazima kunakuwa na courtesy ya maafisa wenzake kuja kumpokea mwenzao airport lakini haikuwa hivyo. Akiwa anaangaza huku na kule asione dalili yoyote ya mapokezi alinotice jambo lisilo la kawaida, kulikuwa na wanaume na wanawake wamesimama hapa na pale uwanjani hapo pasipo jambo la muhimu waliokuwa walikilifanya zaidi ya kushangaa huku na huko.

Lakini bwana huyu akiwa ndani ya teksi alijiambia ikiwa KGB wanajua ukweli kumhusu yeye muda huo angekuwa tayari amewekwa chini ya ulinzi muda huo punde alipokanyaga ardhi ya Russia,aburuzwe Hadi kwenye cell za KGB ahojiwe,ateswe mwisho wa siku auliwe kwa kupigwa risasi ya kichwani .

Mpaka anaingia kwenye teksi Hadi kufika yalipo makazi yake mtaa wa Leninsky prospekt hakuwa anafuatiliwa kwa namna yoyote ile.alikwea lift Hadi ghorofa ya nane kwenye jumba Hilo kitasa Cha kwanza Cha mlango wake kilifunguka na Cha pili vilevile lakini kitasa Cha tatu Cha mlango kilikuwa locked bwana Oleg hakuwahi tumia kitasa Cha tatu kwa kuwa hakuwa na funguo zake, lakini ajabu ni kwamba alikuta kitasa kimefungwa na hapo hapo akahisi Kuna watu waliingia na kutoka wakajisahau wakafunga Hadi kitasa Cha tatu. Alikuwa sahihi . Alikuwa anatiliwa wasiwasi. The spy was being spied upon by his fellow spies.
Majasus umekuja
 
Ila hii tabia ya kuleta story nusu nusu haifai, jitahidi ukiandaa story imwage yote tuache wasomaji tuangaike nayo.

Uko vizuri thou.
Na inabidi iwepo hata kanuni ya kuwapiga ban milele maana ishakuwa utamaduni Sasa wa JF , mtu sio storyteller anachukua sehemu analeta , akiona msimuliaji kakoma kusimulia na yeye anaishia hapo
 
SEHEMU YA 3

Stalin alikufa mwaka 1953.Aliyemfuata baada ya yeye kufariki alikuwa ni Nikita khrushchev. Miaka mitatu tu toka afariki Stalin aliyemfuata alianza kuuponda utawala wake kwa kuwa ulikuwa wa kimabavu akiwa anahutubia mkutano mkuu wa 20 wa chama .Baba yake Oleg alipigwa na butwaa sana na akaamini huenda ndio itikadi za kijamaa zinaenda kufa kutokana na sera za Nikita. Kwani wafungwa wa kisiasa waliachiliwa,masharti ya censorship yakalegezwa n.k. Hiki ni kipindi ambacho mambo ya umagharibi na uhuru ulianza na raia wakaanza kuona hafueni . Kwa upande wa mzee Anton hakufurahishwa( mlinda legacy[emoji1]) lakini kwa mwanaye ilikuwa ni ahueni.
Akiwa na miaka 17 Oleg alijiunga na Moscow state institute of international relations. Huko alivutiwa na maisha ya chuo . Alijihusisha pia na deep discussion kuhusu sera za nchi yake za usosholisti
.kwa kifupi alianza kuamini katika mrengo wa kibepari(hakuonyesha waziwazi).lakini asijue kwamba mle chuoni kulikuwa na spies wa KGB. Akaonywa kiaina na wenzake. Na pia alikuja kugundua mambo hayajabadilika kabisa . Hii ni baada ya urusi kuivamia Czechoslovakia, raia wa huko wakiandamana kupinga kuwepo kwao ndani ya umoja wa Soviet. Lakini maadamano yalizimwa na ikapelekea umwagaji mkubwa wa damu.

Hiki chuo kilikuwa ni chuo Cha hadhi ya juu sana kwa wakati huo kiasi kwamba Henry Kissinger aliwahi kukiri mwenyewe na kusema ni "Russian Harvard". Chuo hiki kilikuwa chini ya wizara ya mambo ya nje ilikuwa ndio tunaweza kusema breeding ground ya wanadiplomasia, wanasayansi,wachumi,wanasiasa na zaidi training center ya majasusi wa KGB.
Akiwa hapo Oleg alijikita kwenye masomo ya historia, geography,uchumi pamoja na mahusiano ya kimataifa,yote ya haya masomo yakiwa yamejikita katika itikadi za kikomunisti. Taasisi hii pia ilikuwa inafundisha lugha 56 zaidi ya chuo chchote duniani kwa wakati huo. Kujifunza lugha chuoni hapo ilikuwa ni njia na sababu ya kupata ajira nje ya nchi kwa mwana KGB. Na pia ni kwa sababu kilikuwa special kwa ajili ya ujasusi.Oleg kwakuwa alijifunza kijerumani tokea akiwa mdogo aliamua kujifunza kingereza,lakini kaka yake akamlazimisha asomee kiswedish ambaye tayari ni mwajiriwa rasmi wa KGB . Kwani alimsisitizia kujifunza lugha hiyo kutampa mwanya wa kufanya kazi nchi za Scandinavia.
Chuoni hapo alikuwa anasoma magazeti ya nje hususan magharibi Japo yalikuwa machache lakini kulimpa mwanga Fulani wa duniani huko.
Akiwa na miaka 19 Oleg na rafiki yake wa chuo kwa wakati huo aliyeitwa stanislav kaplan walianza mazoezi ya kujijenga miili Yao . wakaaanza kufanya cross-country running kama sehemu ya kuweka mwili fiti.hii ilikuwa ni sehemu ya course hapo chuoni. Huyu rafiki yake alikuwa anasoma kozi fupi za kufanya tracking mwenye asili ya Czechoslovakia. Yeye tayari alikuwa na degree yake tayari aliyoipata kwenye chuo Cha Charles mjini Prague. Na kuja kwake hapo chuoni ni kwamba alichaguliwa kama wale the best and gifted students ndani ya muungano wa Soviet.
Kwa kuwa walikuwa ni marafiki walikuwa wanashare baadhi ya mambo na namna gani hawakuwa wanavutiwa na mfumo wa taifa lao kwa maana walihisi kama wamefungwa akili na propaganda za nchi Yao. kwa kuwa walikuwa ni vijana rijali na wenye muonekano wa kuvutia ,walikuwa ni Magnet kwa wanawake wengi hususan walipokuwa wakipata maakuli kwenye mkahawa mmoja kitingoji Cha Gorky park. kwa hiyo kukaa hapo waliweza kujirusha na bebezi.
kaka wa Oleg ,Vasili yeye tayari alikuwa ameajiriwa ndani ya KGB kama illegal ndani ya kundi kubwa la majasusi waliosambazwa duniani.
huyu Vasili alikuwa ni majasusi kwenye kundi la illegal au kwa kirusi ni Nelegal.
Iko hivi wanasema urusi kulikuwa na aina mbili za majasusi .legal na nelegal. Kuna wale wanatumwa kukusanya taarifa za Siri kwenye nchi Fulani wakijifanya wafanya biashara,wafanya kazi kwenye mashirika ya msaada, wahisani,walimu, waandishi wa habari n.k. . Na wanakuwa na majina feki, passport feki na utambulisho batili. Hawa ikitokea wamekamatwa ina kula kwao mazima na nchi inawakana kama raia wao endapo wamekamatwa . Kwa kifupi wanakuwa hawana formal cover na ni sleeper agents. Sasa Kuna wale ambao ni legal , Hawa wanakuwa na diplomatic cover. Hawa ni wale ambao ni wafanyakazi wa ubalozini (consular staff) akiwemo na balozi mwenyewe [emoji1]. Hawa ikitokea wanahusishwa na ujasusi/uhaini kwenye nchi Fulani mara nyingi hawawezi kushtakiwa wanakuwa declared persona non grata na kufukuzwa na nchi hiyo ndani ya masaa 24 au 72. Hawa Sasa wanakuwa na formal/diplomatic cover .
Kwa hiyo bwana Vasili yeye alikuwa ni illegal aliyeajiriwa mwaka 1960 na FCD (First chief directorate). ndio aliyemshauri bwana mdogo asomee lugha ya kiswedi. Na ndie aliemtambulisha mdogo wake kitengoni kwa mabosi wake wa kitengoni FCD. Hichi kitengo ndani ya KGB kilikuwa kinajihusisha na ujasusi wa nje ya urusi.
Mwaka 1961 bwana Oleg Gordievsky alipata mwaliko wa ghafla na akapewa maelekezo aende kwenye jumba Moja karibu na makao makuu ya KGB lililoko mitaa ya Dzerzhinsky.


IMG_20230415_092946_659.jpg

Bwana Oleg kwenye miaka yake akiwa chuoni.
IMG_20230415_093004_922~2.jpg

Oleg akiwa kwenye sare za KGB
 
Na inabidi iwepo hata kanuni ya kuwapiga ban milele maana ishakuwa utamaduni Sasa wa JF , mtu sio storyteller anachukua sehemu analeta , akiona msimuliaji kakoma kusimulia na yeye anaishia hapo
Kwanini unaniombea kupigwa ban?
 
SEHEMU YA 3

Stalin alikufa mwaka 1953.Aliyemfuata baada ya yeye kufariki alikuwa ni Nikita khrushchev. Miaka mitatu tu toka afariki Stalin aliyemfuata alianza kuuponda utawala wake kwa kuwa ulikuwa wa kimabavu akiwa anahutubia mkutano mkuu wa 20 wa chama .Baba yake Oleg alipigwa na butwaa sana na akaamini huenda ndio itikadi za kijamaa zinaenda kufa kutokana na sera za Nikita. Kwani wafungwa wa kisiasa waliachiliwa,masharti ya censorship yakalegezwa n.k. Hiki ni kipindi ambacho mambo ya umagharibi na uhuru ulianza na raia wakaanza kuona hafueni . Kwa upande wa mzee Anton hakufurahishwa( mlinda legacy[emoji1]) lakini kwa mwanaye ilikuwa ni ahueni.
Akiwa na miaka 17 Oleg alijiunga na Moscow state institute of international relations. Huko alivutiwa na maisha ya chuo . Alijihusisha pia na deep discussion kuhusu sera za nchi yake za usosholisti
.kwa kifupi alianza kuamini katika mrengo wa kibepari(hakuonyesha waziwazi).lakini asijue kwamba mle chuoni kulikuwa na spies wa KGB. Akaonywa kiaina na wenzake. Na pia alikuja kugundua mambo hayajabadilika kabisa . Hii ni baada ya urusi kuivamia Czechoslovakia, raia wa huko wakiandamana kupinga kuwepo kwao ndani ya umoja wa Soviet. Lakini maadamano yalizimwa na ikapelekea umwagaji mkubwa wa damu.

Hiki chuo kilikuwa ni chuo Cha hadhi ya juu sana kwa wakati huo kiasi kwamba Henry Kissinger aliwahi kukiri mwenyewe na kusema ni "Russian Harvard". Chuo hiki kilikuwa chini ya wizara ya mambo ya nje ilikuwa ndio tunaweza kusema breeding ground ya wanadiplomasia, wanasayansi,wachumi,wanasiasa na zaidi training center ya majasusi wa KGB.
Akiwa hapo Oleg alijikita kwenye masomo ya historia, geography,uchumi pamoja na mahusiano ya kimataifa,yote ya haya masomo yakiwa yamejikita katika itikadi za kikomunisti. Taasisi hii pia ilikuwa inafundisha lugha 56 zaidi ya chuo chchote duniani kwa wakati huo. Kujifunza lugha chuoni hapo ilikuwa ni njia na sababu ya kupata ajira nje ya nchi kwa mwana KGB. Na pia ni kwa sababu kilikuwa special kwa ajili ya ujasusi.Oleg kwakuwa alijifunza kijerumani tokea akiwa mdogo aliamua kujifunza kingereza,lakini kaka yake akamlazimisha asomee kiswedish ambaye tayari ni mwajiriwa rasmi wa KGB . Kwani alimsisitizia kujifunza lugha hiyo kutampa mwanya wa kufanya kazi nchi za Scandinavia.
Chuoni hapo alikuwa anasoma magazeti ya nje hususan magharibi Japo yalikuwa machache lakini kulimpa mwanga Fulani wa duniani huko.
Akiwa na miaka 19 Oleg na rafiki yake wa chuo kwa wakati huo aliyeitwa stanislav kaplan walianza mazoezi ya kujijenga miili Yao . wakaaanza kufanya cross-country running kama sehemu ya kuweka mwili fiti.hii ilikuwa ni sehemu ya course hapo chuoni. Huyu rafiki yake alikuwa anasoma kozi fupi za kufanya tracking mwenye asili ya Czechoslovakia. Yeye tayari alikuwa na degree yake tayari aliyoipata kwenye chuo Cha Charles mjini Prague. Na kuja kwake hapo chuoni ni kwamba alichaguliwa kama wale the best and gifted students ndani ya muungano wa Soviet.
Kwa kuwa walikuwa ni marafiki walikuwa wanashare baadhi ya mambo na namna gani hawakuwa wanavutiwa na mfumo wa taifa lao kwa maana walihisi kama wamefungwa akili na propaganda za nchi Yao. kwa kuwa walikuwa ni vijana rijali na wenye muonekano wa kuvutia ,walikuwa ni Magnet kwa wanawake wengi hususan walipokuwa wakipata maakuli kwenye mkahawa mmoja kitingoji Cha Gorky park. kwa hiyo kukaa hapo waliweza kujirusha na bebezi.
kaka wa Oleg ,Vasili yeye tayari alikuwa ameajiriwa ndani ya KGB kama illegal ndani ya kundi kubwa la majasusi waliosambazwa duniani.
huyu Vasili alikuwa ni majasusi kwenye kundi la illegal au kwa kirusi ni Nelegal.
Iko hivi wanasema urusi kulikuwa na aina mbili za majasusi .legal na nelegal. Kuna wale wanatumwa kukusanya taarifa za Siri kwenye nchi Fulani wakijifanya wafanya biashara,wafanya kazi kwenye mashirika ya msaada, wahisani,walimu, waandishi wa habari n.k. . Na wanakuwa na majina feki, passport feki na utambulisho batili. Hawa ikitokea wamekamatwa ina kula kwao mazima na nchi inawakana kama raia wao endapo wamekamatwa . Kwa kifupi wanakuwa hawana formal cover na ni sleeper agents. Sasa Kuna wale ambao ni legal , Hawa wanakuwa na diplomatic cover. Hawa ni wale ambao ni wafanyakazi wa ubalozini (consular staff) akiwemo na balozi mwenyewe [emoji1]. Hawa ikitokea wanahusishwa na ujasusi/uhaini kwenye nchi Fulani mara nyingi hawawezi kushtakiwa wanakuwa declared persona non grata na kufukuzwa na nchi hiyo ndani ya masaa 24 au 72. Hawa Sasa wanakuwa na formal/diplomatic cover .
Kwa hiyo bwana Vasili yeye alikuwa ni illegal aliyeajiriwa mwaka 1960 na FCD (First chief directorate). ndio aliyemshauri bwana mdogo asomee lugha ya kiswedi. Na ndie aliemtambulisha mdogo wake kitengoni kwa mabosi wake wa kitengoni FCD. Hichi kitengo ndani ya KGB kilikuwa kinajihusisha na ujasusi wa nje ya urusi.
Mwaka 1961 bwana Oleg Gordievsky alipata mwaliko wa ghafla na akapewa maelekezo aende kwenye jumba Moja karibu na makao makuu ya KGB lililoko mitaa ya Dzerzhinsky.


View attachment 2591897
Bwana Oleg kwenye miaka yake akiwa chuoni.
View attachment 2591901
Oleg akiwa kwenye sare za KGB
Tamu nene ila fupi.....
 
SEHEMU YA 3

Stalin alikufa mwaka 1953.Aliyemfuata baada ya yeye kufariki alikuwa ni Nikita khrushchev. Miaka mitatu tu toka afariki Stalin aliyemfuata alianza kuuponda utawala wake kwa kuwa ulikuwa wa kimabavu akiwa anahutubia mkutano mkuu wa 20 wa chama .Baba yake Oleg alipigwa na butwaa sana na akaamini huenda ndio itikadi za kijamaa zinaenda kufa kutokana na sera za Nikita. Kwani wafungwa wa kisiasa waliachiliwa,masharti ya censorship yakalegezwa n.k. Hiki ni kipindi ambacho mambo ya umagharibi na uhuru ulianza na raia wakaanza kuona hafueni . Kwa upande wa mzee Anton hakufurahishwa( mlinda legacy[emoji1]) lakini kwa mwanaye ilikuwa ni ahueni.
Akiwa na miaka 17 Oleg alijiunga na Moscow state institute of international relations. Huko alivutiwa na maisha ya chuo . Alijihusisha pia na deep discussion kuhusu sera za nchi yake za usosholisti
.kwa kifupi alianza kuamini katika mrengo wa kibepari(hakuonyesha waziwazi).lakini asijue kwamba mle chuoni kulikuwa na spies wa KGB. Akaonywa kiaina na wenzake. Na pia alikuja kugundua mambo hayajabadilika kabisa . Hii ni baada ya urusi kuivamia Czechoslovakia, raia wa huko wakiandamana kupinga kuwepo kwao ndani ya umoja wa Soviet. Lakini maadamano yalizimwa na ikapelekea umwagaji mkubwa wa damu.

Hiki chuo kilikuwa ni chuo Cha hadhi ya juu sana kwa wakati huo kiasi kwamba Henry Kissinger aliwahi kukiri mwenyewe na kusema ni "Russian Harvard". Chuo hiki kilikuwa chini ya wizara ya mambo ya nje ilikuwa ndio tunaweza kusema breeding ground ya wanadiplomasia, wanasayansi,wachumi,wanasiasa na zaidi training center ya majasusi wa KGB.
Akiwa hapo Oleg alijikita kwenye masomo ya historia, geography,uchumi pamoja na mahusiano ya kimataifa,yote ya haya masomo yakiwa yamejikita katika itikadi za kikomunisti. Taasisi hii pia ilikuwa inafundisha lugha 56 zaidi ya chuo chchote duniani kwa wakati huo. Kujifunza lugha chuoni hapo ilikuwa ni njia na sababu ya kupata ajira nje ya nchi kwa mwana KGB. Na pia ni kwa sababu kilikuwa special kwa ajili ya ujasusi.Oleg kwakuwa alijifunza kijerumani tokea akiwa mdogo aliamua kujifunza kingereza,lakini kaka yake akamlazimisha asomee kiswedish ambaye tayari ni mwajiriwa rasmi wa KGB . Kwani alimsisitizia kujifunza lugha hiyo kutampa mwanya wa kufanya kazi nchi za Scandinavia.
Chuoni hapo alikuwa anasoma magazeti ya nje hususan magharibi Japo yalikuwa machache lakini kulimpa mwanga Fulani wa duniani huko.
Akiwa na miaka 19 Oleg na rafiki yake wa chuo kwa wakati huo aliyeitwa stanislav kaplan walianza mazoezi ya kujijenga miili Yao . wakaaanza kufanya cross-country running kama sehemu ya kuweka mwili fiti.hii ilikuwa ni sehemu ya course hapo chuoni. Huyu rafiki yake alikuwa anasoma kozi fupi za kufanya tracking mwenye asili ya Czechoslovakia. Yeye tayari alikuwa na degree yake tayari aliyoipata kwenye chuo Cha Charles mjini Prague. Na kuja kwake hapo chuoni ni kwamba alichaguliwa kama wale the best and gifted students ndani ya muungano wa Soviet.
Kwa kuwa walikuwa ni marafiki walikuwa wanashare baadhi ya mambo na namna gani hawakuwa wanavutiwa na mfumo wa taifa lao kwa maana walihisi kama wamefungwa akili na propaganda za nchi Yao. kwa kuwa walikuwa ni vijana rijali na wenye muonekano wa kuvutia ,walikuwa ni Magnet kwa wanawake wengi hususan walipokuwa wakipata maakuli kwenye mkahawa mmoja kitingoji Cha Gorky park. kwa hiyo kukaa hapo waliweza kujirusha na bebezi.
kaka wa Oleg ,Vasili yeye tayari alikuwa ameajiriwa ndani ya KGB kama illegal ndani ya kundi kubwa la majasusi waliosambazwa duniani.
huyu Vasili alikuwa ni majasusi kwenye kundi la illegal au kwa kirusi ni Nelegal.
Iko hivi wanasema urusi kulikuwa na aina mbili za majasusi .legal na nelegal. Kuna wale wanatumwa kukusanya taarifa za Siri kwenye nchi Fulani wakijifanya wafanya biashara,wafanya kazi kwenye mashirika ya msaada, wahisani,walimu, waandishi wa habari n.k. . Na wanakuwa na majina feki, passport feki na utambulisho batili. Hawa ikitokea wamekamatwa ina kula kwao mazima na nchi inawakana kama raia wao endapo wamekamatwa . Kwa kifupi wanakuwa hawana formal cover na ni sleeper agents. Sasa Kuna wale ambao ni legal , Hawa wanakuwa na diplomatic cover. Hawa ni wale ambao ni wafanyakazi wa ubalozini (consular staff) akiwemo na balozi mwenyewe [emoji1]. Hawa ikitokea wanahusishwa na ujasusi/uhaini kwenye nchi Fulani mara nyingi hawawezi kushtakiwa wanakuwa declared persona non grata na kufukuzwa na nchi hiyo ndani ya masaa 24 au 72. Hawa Sasa wanakuwa na formal/diplomatic cover .
Kwa hiyo bwana Vasili yeye alikuwa ni illegal aliyeajiriwa mwaka 1960 na FCD (First chief directorate). ndio aliyemshauri bwana mdogo asomee lugha ya kiswedi. Na ndie aliemtambulisha mdogo wake kitengoni kwa mabosi wake wa kitengoni FCD. Hichi kitengo ndani ya KGB kilikuwa kinajihusisha na ujasusi wa nje ya urusi.
Mwaka 1961 bwana Oleg Gordievsky alipata mwaliko wa ghafla na akapewa maelekezo aende kwenye jumba Moja karibu na makao makuu ya KGB lililoko mitaa ya Dzerzhinsky.


View attachment 2591897
Bwana Oleg kwenye miaka yake akiwa chuoni.
View attachment 2591901
Oleg akiwa kwenye sare za KGB
Kitasa cha tatu bado tunakikumbuka, natumaini utarudisha kule kwenye muendelezo wakati ametoka Uingereza.
 
Back
Top Bottom