Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Hapo pa akijua jambo I think ili aonekane genius no one like him/ her.
Anyway nasubiria hii story ya Uingereza itakuwa NZuri naamini
 
Kwahiyo Fortunatus Buyobe ni mchawi??
 
Hapo pa akijua jambo I think ili aonekane genius no one like him/ her.
Anyway nasubiria hii story ya Uingereza itakuwa NZuri naamini
Haitakiwi kabisa hivyo
 
Mctobby

ndo umefunga au bado ,Sasa nataka kurejea Toka mwanzo hadi mwisho ,nijue ndo mwisho au bado panamwendelezo
Mwendelezo ni discussion za hapa na pale[emoji28][emoji28]
 
Salute mkuu, shukran kwa burdan murua kabisa.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Chukua maua yako mkuu..!!
 
Kuna uzi humu unaelezea jinsi Iran inavotungua wasaliti wa nchi yao. Hata uwe wapi au ulindwe vipi jamaa wanakusakama mpaka wakumalize.

Vipi hao warusi wao walimuacha tu jamaa au kuna sababu iliyofanya asifanywe kitu??

Yaani kwa Marekani msaliti alihukumia kifungo cha maisha ila Urusi jamaa angebainika ni shaba, kwanini jamaa wanapenda sana hukumu za vifo??
 
Maisha ya ujasusi Ni full kujistukia kama unasakwa hivi. Halafu kifo nje nje. Ni maisha ya mashaka mashaka tena muda wote wa maisha yako. Hata kama umestaafu hiyo kazi bado unaweza ukawa huna ule Uhuru halisi wa kuamua ukitakacho na muda mwingine kutafutwa kuuawa ksbb unajua siri nyingi za nchi.
Mfano hata kuamua kusafiri,unaweza kufuatliwa au hata kukataliwa kusafiri kwenda nchi fulani. Hata kama umestafu bado huna uhuru
 
Hili tatizo la wengi rumekua tukigugumia kimya kimya kwa kufikiri ni uzembe wa simu zetu tu.

Umetuokoa wengi asante, japo bado changamoto ipo baadhi ya picha hazifunguki mpaka itoke na kuongia tena mara kadhaa.
Kwamba ukifuta mpya ndio kila kitu kinaenda sawa mkuu?. Picha zitafunguka moja kwa moja?.
Sasa wenyewe kwa nini wenye kuhusika wasiyafanye mambo yawe rahisi tu,bila kutafuta tafuta ufumbuzi?
 
Kwamba ukifuta mpya ndio kila kitu kinaenda sawa mkuu?. Picha zitafunguka moja kwa moja?.
Sasa wenyewe kwa nini wenye kuhusika wasiyafanye mambo yawe rahisi tu,bila kutafuta tafuta ufumbuzi?
Nime uninstall app iliyokuwepo ambayo ni latest, nika install hiyo aliyotuma kwy link. Yes, inafungua baadhi ya picha moja kwa moja kuliko iliyokuwepo. Ile kufungua picha ilikua mtihani kama kukombeleza kopo la colgate ikiisha.
 
Hakika , Japo wengine wanafanya kwa passion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…