Uchaguzi 2020 Tarehe 28/10/2020: Siku ya kuweka Historia kuu Tanzania

Inawezekana ikawa watanzania walishafanya maamuzi tangu 2010 sema maamuzi yao hayakuheshimiwa. Lazima njia za wizi zitambulike na zizuiwe 100%
Mwaka huu watanzania wameshasema wanapiiga kura na kuzilinda kituoni. Matokeo yote kuanzia udiwani, ubunge hadi uraisi wanachukua kituoni. Full stop.
 
Acha tu! Mie Kuna dogo ninamfahamu hadi amerudi kijijini. Hana ajira tangu amalize chuo mwaka 2015. CCM hawastahili hata kupewa tena mwezi mmoja baada ya October 2020!
Shida wajinga ndio uchagua hatma ya wengi
 
Acha tu! Mie Kuna dogo ninamfahamu hadi amerudi kijijini. Hana ajira tangu amalize chuo mwaka 2015. CCM hawastahili hata kupewa tena mwezi mmoja baada ya October 2020!
Shida wajinga ndio uchagua hatma ya wengi
 
Ila Meko hali yake ni mbaya sana. Kwenye mikutano iliyo mingi anaonekana kukosa furaha. Mara nyingi anaonekana mnyonge na mwenye kutumia nguvu kubwa wakati anapozungumza.
 
Ila Meko hali yake ni mbaya sana. Kwenye mikutano iliyo mingi anaonekana kukosa furaha. Mara nyingi anaonekana mnyonge na mwenye kutumia nguvu kubwa wakati anapozungumza.
Matokeo ya udhalimu siku zote sio mazuri. Huwezi kufanya udhalimu kuanzia kwa watu wa Chama chako, wapinzani hadi watanzania wengine alafu ukabaki salama.

Mwaka huu hapo October Meko anaanza kupigwa ana CCM wenyewe alafu watanzania tunaanua matanga!!

Huyu jamaa kawatesa kina Kinana, Makamba, Kikwete na kuwanyanyasa Kama watoto, ons yaliyowatokea kina Lissu na wabunge wa upibzani. Ona yaliyowatokea wafanyabiashara, kwa kifupi tu atapata support ya Nani huyu mtu???
 
ARUSHA, TANZANIA

PART 2 ;MDAHALO WA MGOMBEA WA CHADEMA NA CCM NGAZI YA KATA ;MZOZO MKALI HATUGOMBANI

 
..jifunze kuandika kwanza ....pia jaribu kutoonesha kila mtu namna ubongo wako umejaa tope , jaribu kuwa mkimya itakusaidia
 
Sio mara zote
Sasa Kama unakuta mtu hata uwezo wa kununua ndala Hana lkn anachagua ccm anashangilia kununuliwaa kwa ndege Hali yeye na ukoo wake wote hata ukiwauza hawana hata nauli ya kufika airport,Sasa Hawa wapo wangapi.Ccm inategemea kura za vijijini kwenye Giza.
 
19 September 2020
Arusha , Tanzania

MDAHALO WA LEO : LIVE / MUBASHARA
Makada wa CHADEMA na CCM wanashindanisha hoja za vyama vyao ili kuwezesha wagombea wao wa Urais, ubunge na udiwani 2020 kupata kura

LISU NI NABII AMELETWA / HAKUNA WA KUMFANANISHA MAGUFULI

 
Uchaguzi wa mwaka huu, bora unyamaze kuliko kuongea neno na kuleta majuto
Uzuri Magu hadi CCM wenyewe hawamtaki. Naskia kuna operesheni kabambe kushikana uchawi huko CCM sasaiviπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwaka huu kitaeleweka
 
Mkuu
Uzuri Magu hadi CCM wenyewe hawamtaki. Naskia kuna operesheni kabambe kushikana uchawi huko CCM sasaiviπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mkuu mbona sioni sababu ya Trump kuipiga marufuku ,App ya Tilk talk
Eti anadai inachukua taarifa za watumiaji, huku watumiaji wanadai hawana taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…