Nasema hivi simba kesho watapata tabu sanaaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nzuri hii Baba Tecno yaani kesho asubuhi Chap nakwenda aiseee ili niliweke sawa koo kwa ajili ya jioni.
Wataipata pata[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Hahahaaaaa. Kumbe unawafuatilia eeeh.Nasema hivi simba kesho watapata tabu sanaaa.
Kama nawaona vile mashabiki wa simba wanavyoipamba timu yao ya simba lakini icheki ilivyo sasa.
View attachment 881006
😂😂😂😂😂 hukawiagi kupotea lakini Mtani tukabaki wenyewe.Ha ha ha...toa neno vibaraka ubaki na hiyo kuwa Sunderland walikuwa na uwezo kununua viatu.
Usizime data J2..
Mikia sio wakuwaamini hata kidogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hukawiagi kupotea lakini Mtani tukabaki wenyewe.
Una utani na Simba. Lakini mtazimwa na Mk 14 wala hamtaaminiNasema hivi simba kesho watapata tabu sanaaa.
Kama nawaona vile mashabiki wa simba wanavyoipamba timu yao ya simba lakini icheki ilivyo sasa.
View attachment 881006
Hahahaaa. Kama mie eeee.Ukiona kimya ni mambo mengine. Ila nitakuwepo.
Ngariba haogopi mkojo...! Kuna MK 14[emoji91][emoji91]
Hahahaaa. Halafu unawaona saa ya goli ndio wanakuja kuandika. 😂😂😂😂Mikia sio wakuwaamini hata kidogo
Aaah mkuu kesho siyo mbaliUna utani na Simba. Lakini mtazimwa na Mk 14 wala hamtaamini
Mkuu wewe ndio utakimbia uzi wako hapaHa ha ha...toa neno vibaraka ubaki na hiyo kuwa Sunderland walikuwa na uwezo kununua viatu.
Usizime data J2..
Ha ha ha ha hayaHa ha ha mkuu yote tutayaleta. Ngoja kwanza
Halafu historia inaonyesha wao ndio walikimbia uwanjani!Wameshaanza Swahiba cha ajabu wanasahau hiyo ilikuwa zamani na si sasa.
Halafu leo ni Saturday sio Friday hivyo rekebisha hiyo flashback yakoNi....FlashBackFriday kuelekea mtanange wa watani wa jadi. Unajua kama hujui unakotoka huwezi kujua unakokwenda.
[emoji23][emoji16]lakini hebu tuambie kwanini mnaogopa viatuMtani nakuona tu unavyotaka kututoa kwenye mstari. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pia niseme ilikuwa zamani hiyo na kitu ka hiyo haiwezi jirudia tena.