Hahahaaa. Hivi uchokozi umeanza lini lakini? πππ[emoji23][emoji16]lakini hebu tuambie kwanini mnaogopa viatu
Hahaaaa. Hilo hawalisemi.Halafu historia inaonyesha wao ndio walikimbia uwanjani!
Hahaaaa. Hilo hawalisemi.
Hahahaaa. Naomba hili swali nikuulize mie bana. πππVipi Hajar nikupige ngapi kesho
ππππππ ila Watani zangu mna maneno jamaani lolYanga bwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaogopa hadi viatu
Hahaha, au mna wale funza wanaoshambulia vidole vya miguu? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahahaaa. Hivi uchokozi umeanza lini lakini? [emoji12][emoji12][emoji12]
Tunaogopa wapi viatu jamaani?
Kwangu haigusi shubamit na uchawi waoMkuu kuku mweus watakuroga na hayo makombora. Hivi hujui Jana walisoma Albadri pale Jangwani?
[emoji1][emoji1] nasikia kuna uwezekano mkaanza kupitisha bakuli mwakani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Watani zangu mna maneno jamaani lol
Mkuuu hapa tunaongeleaa gongouchi cyo biashara kuhusu biashara niulize sehemu husikaVipi Biashara imefikia wapi?naona mshafika bei na Mikia kuuza match yenu Taifa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] watapata tabu sana keshoYanga bwana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanaogopa hadi viatu
ππππ Waaambie.Kesho mwisho wao
Wanatamani mechi iahirishwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] watapata tabu sana kesho
Haa ha ha ha ha ha. Mtageuza sana historia, lakini ukweli upo pale paleNaona simba mnajifariji kwa uongo[emoji23][emoji23]View attachment 881538
ππππ swali hili ungeniuliza miaka hiyo bana. Leo halina faida tena.Hahaha, au mna wale funza wanaoshambulia vidole vya miguu? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Samahani lakini nauliza tu
Naona simba mnajifariji kwa uongo[emoji23][emoji23]View attachment 881538
Jamaaa kahamisha goliHaa ha ha ha ha ha. Mtageuza sana historia, lakini ukweli upo pale pale
ThisIsSimba
Hahaaa. Kwa kuwa halina madhara tunapitisha tu.[emoji1][emoji1] nasikia kuna uwezekano mkaanza kupitisha bakuli mwakani
Wakatae na hii. ππππNaona simba mnajifariji kwa uongo[emoji23][emoji23]View attachment 881538