Tarehe kama ya leo Yanga SC iligomea mchezo, kwa madai Simba SC kuvaa viatu vya mpira

Tarehe kama ya leo Yanga SC iligomea mchezo, kwa madai Simba SC kuvaa viatu vya mpira

Naona simba mnajifariji kwa uongo[emoji23][emoji23]
Screenshot_20180929-174959.jpg
 
Hahaha, au mna wale funza wanaoshambulia vidole vya miguu? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Samahani lakini nauliza tu
😂😂😂😂 swali hili ungeniuliza miaka hiyo bana. Leo halina faida tena.
 
Back
Top Bottom