Uchaguzi 2020 Tarime: Tundu Lissu ampiga marufuku Kassim Majaliwa kufanya kampeni, Yadaiwa anavunja maadili ya uchaguzi

Kwamba Lissu ndiye peke yake anajua tafsiri ya sheria? Kama nawe unaamini hivyo iweje ahamasishe wapiga kura kuingia barabarani iwapo hatatangazwa mshindi?

Akili za kinyumbu tu.
Watu kuingia barabarani sio swala la sheria ni swala la HAKI.Unajua Tofauti kati ya sheria na HAKI?
 
Nyani haoni kendezake, mbowe si ni kub ana hadhi ya waziri mkuu kivuli
Mbowe amekwenda Lindi au Kigoma kumtafutia Lissu Kura, unajua katiba au unasona comments JF na kujifanya unafaham siasa😬!!
 
Hakuna mwanachama wa Chadema anajua kingereza mkuu, amini hivyo.
lissu alisema wa tz wengi hatujui kiingereza mkasema kawatukana wa tz. leo hii na wewe umewatukana wa tz? ila MATAGA bana
 
Lisu ni mwanasheria wa kwenye magazeti tu na mitandaoni ila hakuna kitu aliwahi kuongea kikaleta maana.

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kwamba lissu ni Bush Lawyer
 
Wewe jamaa sijui umekula maharagwe ya wapi, wameandika hapo zaidi ya mara 1000 kumpigia mgombea kampeni wakati upo nae muda huo haina shida, shida ni wewe kuanzisha msafara wako kama anavyofanya kasim majaliwa.

Mifano yote uliyoitoa ni useless kwa sababu wahusika walipiga kampeni katika mikutano ambayo wagombea husika wapo eneo la tukio.

Usichoelewa sijui ni nini ?
 
Hizi sheria mbona zote maccm wamezivunja lakini hatujasikia wakipewa wito na hiyo tumeccm ?
 
Kwamba Lissu ndiye peke yake anajua tafsiri ya sheria? Kama nawe unaamini hivyo iweje ahamasishe wapiga kura kuingia barabarani iwapo hatatangazwa mshindi?

Akili za kinyumbu tu.
wakupimwa wewe sio mzima
 
Unaelimishwa lakini bado umeshupaza shingo kama Twiga ili kubisha tu.
Baki na Ubashite wako, sina talent ya kuku unlearn ujinga wako
 
Kwamba Lissu ndiye peke yake anajua tafsiri ya sheria? Kama nawe unaamini hivyo iweje ahamasishe wapiga kura kuingia barabarani iwapo hatatangazwa mshindi?

Akili za kinyumbu tu.
Umechanganya mavi na chakula mkuu, kama uelewa wako mdogo kaa kimya
 
Kama huwezi kuona tofauti ya hicho alichokuwa anakifanya kwa Lowassa na huu utopolo anaoufanya Majaliwa, wahi mirembe ukachukue faili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…