Uchaguzi 2020 Tarime: Tundu Lissu ampiga marufuku Kassim Majaliwa kufanya kampeni, Yadaiwa anavunja maadili ya uchaguzi

Yaani tume na wana ccm siku zote hizo hawakujua Kassimu anafanya kosa. Kassimu harusiwi kisheria kuzunguka kwa sababu sio mgombea, ndio maana hata kwenye ratiba ya tume inaonyesha ratiba ya rais na makam wa rais ,hakuna ratiba ya waziri mkuu. Pole pole alivyokosa akili amekurupuka kujibu bila kufikiria .Hoja za Lissu siza kukurupuka kujibu.
 
Huyu Majaliwa anatapatapa apate Uwaziri Mkuu. Safari hii imekula kwake
Rais Lissu anao wapambanaji Wabunge toka CDM watakaopew Uwaziri Mkuu wa JMT,sasa Majaliwa Nate ni CDM?Acheni masikhara,CCM is out!They will never win the Fair and Free Elections at any given post in the country!
 
Anamfanyia kampeni Magufuli kama nano? Kutumia madaraka vibaya ndo haya tunayosema ccm kuvujisha hela zawalipakodi.
Akafanye kampeni kwenye jumbo lake. Yeye mimgombea ubunge tuu na so mgombea mwenza. Anatumia cheo cha uwaziri mkuu kufanya kampeni za ccm kinyume na maadili ya NEC.

Mbona Mkurugenzi hakemei hili? Angekuwepo Mbowe Nate anazunguka nchi mzima kumfanyia kampeni Lissu, ungesikia Tume imekuja juu kukemea na Ku laani, hats kuitwa angeitwa kwenye kamati ya maadili.

Kassim, kama anafanya ziara za kiserekali zawa ila sio kufanya kampeni. Maana kwenye kampeni zake anakuja kijanja nikama ziara yakiserekali halafu anavaa kijani kuanza kufanya kampeni.
MATUMIZI YA HOVYO YA PESA YA UMA , AKAFANYE KAMPENI JIMBONI KWAKE TAFADHARI.
 
Kwamba Lissu ndiye peke yake anajua tafsiri ya sheria? Kama nawe unaamini hivyo iweje ahamasishe wapiga kura kuingia barabarani iwapo hatatangazwa mshindi?
Hajawahi kusema hivyo hata siku moja maneno haya yalisemwa na NEC
 
Naomba ratiba ya NEC ikionyesha kampeini za Waziri Mkuu nchini.
 
Watanzania lazima tufanye kitu kupinga uonevu huu hakuna namna upinzani utaachwa ushinde na utangazwe mshindi ni wazi hila zinapikwa pale NEC tutafute tu kujiridhisha na niseme tayari tumejiridhisha kwamba hakuna haki na sasa tulitifue.
 
Majaliwa anamfanyia kampeni JPM kama mjumbe wa NEC nyie chadomo vipi!.Mnataka kujilinganisha na CCM !
 
Anafanya kampeni kama mjumbe wa halmashauri kuu ya ccm
Ova!
 
Mshaanza kupagawa na Trio ya Jpm , Mama samia na Majaliwa ! Hizo ndo strategy za kampeni lazima kura zitafutwe na safishasafisha! kama mnaweza mwambieni Mbowe nae aanze kuzunguka kumnadi Lissu! CCM sio levo yenu!
 
Kwamba Lissu ndiye peke yake anajua tafsiri ya sheria? Kama nawe unaamini hivyo iweje ahamasishe wapiga kura kuingia barabarani iwapo hatatangazwa mshindi?
Hapana ni Lissu na wewe hapo ndo mnaejua tafsiri ya sheria.
 
Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu amemuonya Kassim Majaliwa kwa kitendo chake cha kufanya kampeni za Urais kote anakopita , kwa vile kitendo hicho ni kukiuka maadili ya uchaguzi...
Umeeleza wewe ni kwa mjibu wa Tundu Lissu. Nchi haiongozwi kwa mjibu wa Tundu Lissu. Timu ya CCM inawakosesha usingizi wana Ufipa
 
Lisu ni mwanasheria wa kwenye magazeti tu na mitandaoni ila hakuna kitu aliwahi kuongea kikaleta maana.

Kama Tundu Lissu ni MWANASHERIA wa Magazeti Kwanini CCM a.k.a WATU WASIOJULIKANA walitaka kumwua?Unachoongea hapa ni uongo mtupu. Tundu Lissu ni MWANASHERIA Nguli na hata CCM wanalijua Hilo!
 
Kama Tundu Lissu ni MWANASHERIA wa Magazeti Kwanini CCM a.k.a WATU WASIOJULIKANA walitaka kumwua?Unachoongea hapa ni uongo mtupu. Tundu Lissu ni MWANASHERIA Nguli na hata CCM wanalijua Hilo!
Haha hamna kesi yeyote ya maana aliyoshinda huyo mwanasheria Uchwara,

Wapo wanasheria nguli sio huyo mpiga kelele majukwaani.
 
Acha nicheki hahahahaha ... eti kampiga marufuku!!
 
Anlipwa posho na ccm? Walinzi na wasaidizi wake wanalipwa na ccm? Magari anayotumia ni ya ccm? Yanajazwa mafuta na ccm? Yanaendeshwa na madereva wa ccm?
 
Mkuu si vizuri kukebehiana ila kama mnataka kukebehiana tukebehiane tu

Mfano mwaka 2015 chama flan kilimsimamisha mzee flani mwenye mvi akawa anaanguka kila baada ya dakika 5

Wakati mwingine walikua wanaahirisha kampeni kwa ajili ya hali

Ivyo ivyo....
Huu ni mwiba mpya kwa mgombea wa chama kimoja cha siasa. Daktari amemshauri kusimama kwa dakika zisizozidi 20 akiwa anafanya kampeni. Sasa wale right men wake wakipigwa spana sijui atafanyaje kampeni.
 
Anlipwa posho na ccm? Walinzi na wasaidizi wake wanalipwa na ccm? Magari anayotumia ni ya ccm? Yanajazwa mafuta na ccm? Yanaendeshwa na madereva wa ccm?
Kuna rights ambazo huwezi kumnyang'anya; ndiyo power ya incumbency hiyo. Hata mwaka 2015 Sumaye na Lowassa waliendelea kupata ulinzi na pensheni zao kwa vile ni haki zao kama mawaziri wakuu wastaafu ingawa walikuwa CHADEMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…