Uchaguzi 2020 Tarime: Tundu Lissu ampiga marufuku Kassim Majaliwa kufanya kampeni, Yadaiwa anavunja maadili ya uchaguzi

Mwenyewe nataka nijue hili ..si kapita ubunge bila kupingwa?
 
Hawa wakati mwingine ni vichekesho vitupu.
 
Kwamba Lissu ndiye peke yake anajua tafsiri ya sheria? Kama nawe unaamini hivyo iweje ahamasishe wapiga kura kuingia barabarani iwapo hatatangazwa mshindi?
Akili zako bhaaana,
hivi unawezaje kuishi na akili kama zako eeeh!?
 
Povu jepesijepesi
 
Ni wakati gani anakuwa PM na wakati gani anakuwa mjumbe wa kamati kuu ?
Siyo kwamba Wabunge wote wa ccm ni wajumbe wa kamati kuu ya chama chao?!Si alitangazwa ubunge kapita bila kupingwa?! au yalikuwa mambo ya mitandaoni? au mpaka aapishwe?Spika tena bado sijui wa kumwapisha nani?Nataka kujifunza hapa..
 
Jikite kwenye hoja. Wewe jiulize anapiga kampeni Kama Nani? He huko anakozunguka anaendelea kutoa maagizo na kufanya kazi za kiutendaji wa serikali? Sina upande wowote kwenye hili najaribu kufafanua hoja kuu.
Jibu swali usijitetee
 
Uhuru na Haki, mgombea wa Urais wa CHADEMA anaohubiri, aache utafsiriwe kwa vitendo la akanushe lawama kwamba kwa miaka 5 upinzani ulinyimwa haki hiyo?

Mtu akiwa mwongo awe na kumbukumbu nzuri.
nadhani kuna mahali hauko sawa
 
Sheria haiduhusu mtu yeyote nje ya msafara wa Mgombea Urais na mwenza wake kuzinguka kufanya kampeni nje ya eneo lake.

Majaliwa anaruhusiwa kuwa kwenye msafara wa mgombea Urais na si vinginevyo.

Nothing less nothing more[emoji111]
Msafara wa mgombea urais una watu wapi?Na msafara wa Rais watu wapi?
 
Kama hujui kitu kubali kukosolewa[emoji818]
Kama hujui kitu ukubali kukosolewa[emoji808]
 
Njia hii mtu ambae hajui kingereza ni magifuli tu....jiulize tu ivi kuna mtu hapendi kutoka nje ya Tanzania hata kufanya survey tu lakini magu kwake fresh tu
 
Jikite kwenye hoja. Wewe jiulize anapiga kampeni Kama Nani? He huko anakozunguka anaendelea kutoa maagizo na kufanya kazi za kiutendaji wa serikali? Sina upande wowote kwenye hili najaribu kufafanua hoja kuu.
Mbona wote maswali yenu ya mashiko?!Kila mtu amjibu mwenzake kwa manufaa ya wengi hapa Jamvini...ninyi ..kawoli na mwenzako?
 
Mheshimiwa LISU pitia huku jf ukutane na haya madini.TUME waufyate Mara moja.maja wtz tunamjua mda huu kama amekaimu uwaziri mkuu.na hao wote wateiluwa.harafu kwa nini Memo hajavunja baraza la mawaziri?

Tumeccm ijitafakali.

NI YEYE
 
Siyo kwamba Wabunge wote wa ccm ni wajumbe wa kamati kuu ya chama chao?!Si alitangazwa ubunge kapita bila kupingwa?! au yalikuwa mambo ya mitandaoni? au mpaka aapishwe?Spika tena bado sijui wa kumwapisha nani?Nataka kujifunza hapa..
Kumbuka kuna Maadili ya Uchaguzi yaliyoandaliwa na Tume yenyewe , hakuna cha kipengere kwamba ukipita bila kupingwa ukazurule kwenye kampeni za watu , baki Rwangwa au ongozana na mgombea urais wa chama chako , hakuna ratiba ya kampeni iliyopangwa kwa ajili ya wajumbe wa kamati kuu.

Baada ya uchaguzi Majaliwa anaweza kukamatwa
 
Inaonekana elimu yako na uelewa wako upo chini, halafu umejaa ubishi wa vijiweni eti nyote mpo sawa.. endelea na unavyojua(case closed).
 
Majaliwa ni mtumishi wa umma mpaka Sasa bado baraza la mawaziri halijavunjwa bado
 
Mkuu michango yako humu JF ni ya kiwango cha juu mno! Kwanza heshima kwa hilo. Hoja ya msingi kwenye kesi hii (cited) Lissu Vs Majaliwa, 2020 ni kwamba maadili ya uchaguzi mkuu 2020 yanakataza viongozi wa serikali (mawaziri, RC's, DC's, n.k.) kuwafanyia kampeni wagombea.

Sasa kama Kassim Majaliwa, uwaziri mkuu wake ulishakoma then Lissu atakuwa amepotoka ila kama Kassim Majaliwa bado ni Waziri Mkuu wa JMT, Lissu ana hoja ya msingi kwa kuzingatia maadili yaliyotolewa na NEC yenyewe na ambayo kila mmoja anatakiwa kuyazingatia.
 
Kuna rights ambazo huwezi kumnyang'anya; ndiyo power ya incumbency hiyo. Hata mwaka 2015 Sumaye na Lowassa waliendelea kupata ulinzi na pensheni zao kwa vile ni haki zao kama mawaziri wakuu wastaafu ingawa walikuwa CHADEMA.
We hata huelewi? Kassim Majaliwa Kwani ni Mstaafu? Kwani umemsikia Lissu akiwataja Kikwete au Mizengwe Pinda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…