Uchaguzi 2020 Tarime: Tundu Lissu ampiga marufuku Kassim Majaliwa kufanya kampeni, Yadaiwa anavunja maadili ya uchaguzi

Sio sahihi
Soma katiba
Spika bado ni Job Ndugai
Naibu spika bado ni Betina atulie akson
Waziri mkuu ni majaliwa
Mawaziri na manaibu waziri bado wapo kwenye nafasi zao hadi atakapo apishwa rais mpya.

Muwe mnasoma soma basi, msiwe wavivu kama maccm
Majaliwa anafanya KAZI anazotakiwa kufanya wakati wote, swala ilibidi kumhoji alikua wapi siku zote kufanya KAZI zake kwa umahiri huu mpaka anasubiria kipindi cha kampeini!?..
 

Msikilize anachoongea Mjumbe wa Halmashauri Kuu NECCM....!!
 
CCM yapo kama matahira,huenda hata halijui kuwa sheria hairuhusu kumfanyia Magufuli kampeni!
 
Lissu mwenyewe ni tume nzima ya Uchaguzi. CCM walitamani tumchukue Membe ili wamuendeshe wanavyotaka sababu ni mgombea wao kwa Upinzani, Lissu atawanyoosha mwaka huu lazima wakae wote mwalimu wa sheria azungumze.
 
Sio tuu wajumbe wa NEC ata wewe Leo hii ukiamua kumfanyia kampeini Hashim Rungwe nchi nzima unaweza Fanya hivyo, Nassari na wasanii wanafanya kampeini bila tatizo lolote, unachotakiwa kufanya ni kuomba ratiba za wagombea udiwani, ubunge au urais na kuhudhuria mikutano Yao na kuwaombea Kura..kama anavyofanya Majaliwa kuhudhuria mikutano ya kampeini ya wabunge na madiwani na kuwaombea Kura wao na Mwenyekiti wao WA Taifa... SIMPLE SANA.
 
Kwanini washirikeshe watumishi watumishi wa serikali kila anapopita!???hii haijakaa sawa kabisa
 
Lisu ni mweu Amesahau walivyokuwa wanazunguka na ndege huku Mbowe mkoa ule Slaa na mkoa mwingine Ndesambulo.
 
Uchaguzi una kanuni na maadili ya uchaguzi,ili twende sawa weka kanuni au sheria za uchaguzi hapa ili tujue anabanwa au habanwi, je majaliwa ratiba zake zinapangwa na nani?
Ndio ameliona leo,majaliwa anazunguka Kama mjumbe wa kamati kuu na anafanya kampeni mjumbe na ratiba yake ipo.
 
Lisu ni mweu Amesahau walivyokuwa wanazunguka na ndege huku Mbowe mkoa ule Slaa na mkoa mwingine Ndesambulo.
Yeye ndio kabisa alikua abanduki mgongoni Kwa lowassa..nilikutana nao Mwanza airport kambebea lowassa briefcase yake wakielekea Kagera kwenye kampeini, alikua anahutubia mikutano yote ya lowassa mpaka wanamaliza muda na kumwachia mgombea dakika Tano tuu.
 
Uwezo wako wa kumuelewa ni mdogo sana ndio maana vitu anavyoongea havileti maana kwako,ni kama vile kujaribu kuhamishia maji ya bahari kwenye dimbwi.
Lisu ni mwanasheria wa kwenye magazeti tu na mitandaoni ila hakuna kitu aliwahi kuongea kikaleta maana.
 
aibu aibu aibu, MEKO kachanganyikiwa anaokoteza wa kumsemea, wanavunja sheria na hakuna wa kuwagusa.
 
Watakwambia kuwa anapiga kampeni kama “mjumbe wa kamati kuu ya halmashauri kuu sana ya CCM” na sio kama Waziri Mkuu.

NEC inajifanya kiziwi na haitaki kuelewa mipaka ya Waziri Mkuu bila Bunge na Mjumbe tu wa CCM
 
Uwezo wako wa kumuelewa ni mdogo sana ndio maana vitu anavyoongea havileti maana kwako,ni kama vile kujaribu kuhamishia maji ya bahari kwenye dimbwi.
Kwani kuna vitu gani anavyoviongea vya kipekee sana he is just an average lawyer, ila kwa vilaza kama nyie ndio mnamuona kuna la maana analolifanya.
 
Sheria hazisemi hivyo bwashwee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…