Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 17,048
- 22,790
Lissu ama hajui kusoma sheria au anawapotosha wafuasi wake kuhusu tafsiri za sheria. Mgombea yeyote hugombea katika consitituency fulani, na anaweza kuweka mtu yeyote kuwa ajent katika consituency hiyo.27 September 2020
Tarime , Tanzania
Tundu lissu akitubia Tarime akimzungumzia Waziri mkuu Kassim Majaliwa kumfanyia kampeni Magufuli kinyume na Maadili ya Sheria ya Uchaguzi inavyomkataza...
Consituency siyo jimbo la uchaguzi bali ni eneo ambalo mtu anapigiwa kura; consituency ya rais ni nchi nzima ya Tanzania, na consituency wa wabunge ni majimbo yao ya ubunge. Mgombea anaweza kumtuma raia yeyote kuwa ajent wake, siyo kudhani kuwa ajent lazima awe ni mbunge tu mwenye jimbo.
Huyu bwana kweli akili yake ni timamu iwapo anashindwa hata kutambua tafsiri ndogo kama hiyo. Kwa akili hiyo hivi kwelie ataongoza nchi vizuri akipewa jukumu hilo?