Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Nimeiona hii habari kupitia Millard ayo nikaona ni vyema niilete humu jamvini huenda akapata chochote.
Kijana Tariq Kipemba amemwagiwa kitu kinachohisika kuwa ni tindikali huko mkoani Kilimanjaro wakati akiwa katika matembezi ya kawaida.
Tukio hili limempa majeraha makali mwilini mwake na kumpelekea kupoteza uwezo wa kuona.
Kijana Tariq bado anaendelea kupatiwa matibabu katika hospital ya KCMC mkoani Kilimanjaro, kutoka na hali yake kuzidi kuwa mbaya, familia imeshauriwa ni vyema wakampeleka kijana wao India kwa matibabu zaidi.
Kutokana na gharama za matibabu za kwenda India kuwa kubwa familia imeomba wasamaria wema waweze kuwasaidia kwani wao wameshindwa kuzimudu gharama hizo. Ni zaidi ya milion 30 zinaitajika kwa ajili ya matibabu.
Kama unachochote unaweza kumsaidia Tariq kupitia namba hizi, 0764510774 Jina Tariq kipemba au kupitia account number equity bank 3012111594790.
Kijana Tariq Kipemba amemwagiwa kitu kinachohisika kuwa ni tindikali huko mkoani Kilimanjaro wakati akiwa katika matembezi ya kawaida.
Tukio hili limempa majeraha makali mwilini mwake na kumpelekea kupoteza uwezo wa kuona.
Kijana Tariq bado anaendelea kupatiwa matibabu katika hospital ya KCMC mkoani Kilimanjaro, kutoka na hali yake kuzidi kuwa mbaya, familia imeshauriwa ni vyema wakampeleka kijana wao India kwa matibabu zaidi.
Kutokana na gharama za matibabu za kwenda India kuwa kubwa familia imeomba wasamaria wema waweze kuwasaidia kwani wao wameshindwa kuzimudu gharama hizo. Ni zaidi ya milion 30 zinaitajika kwa ajili ya matibabu.
Kama unachochote unaweza kumsaidia Tariq kupitia namba hizi, 0764510774 Jina Tariq kipemba au kupitia account number equity bank 3012111594790.