Tariq Kipemba amewakosea nini wanadamu mpaka wameamua kumpa adhabu kali namna hii?

Tariq Kipemba amewakosea nini wanadamu mpaka wameamua kumpa adhabu kali namna hii?

uwezi kufanyiwa kosa kama huna kosa.wadada wakipewa picha yake ya kwanza watafunguka hapa bila hata kumfahamu
Pole yake, ila inavyoonekana alifanya jambo baya kwa huyo jamaa ake. Japo sisemi kama anastahili adhabu aliyopewa.

Kitando cha kuanza kuleta dhana ya itakua alifanya ni tayari unaunga mkono moja kwa moja kwa kitendo alichofanyiwa. Tuachane ku support mambo ya kikatili, mpaka yatakamfika mtu wako wa karibu au wewe mwenye ndipo utafahamu kama ni jambo la kishenzi sana.
 
Binafsi simfahamu na sikuwahi kusikia habari yake before hujampost. Ila naomba niwe general tu katika maoni yangu bila kuyaelekeza kwake. Ktk kila tukio, Kuna hidden story behind. Sisi wanadamu tukiwa na afya njema, tunakuwa na dharau Sana, na hatujali maumivu ya wengine. Ni jambo la kawaida mtu kukudhulumu alaf akakuletea utemi. Ni kawaida mtu kutembea na mke wa mtu au kuchukua demu wa mtu alaf akaenda kutangaza as if ni jambo zuri.

Kipindi hayo yote yanatokea, wakishauriwa huwa wanashupaza shingo. In a real sense, ni ngumu mtu kuja kukudhuru bila sababu. Anyway, pole Sana kwake.

kwahiyo kwa kuwa kamkosea mtu ni sahihi amfanyie hivyo? kwanini wa TZ tumekua tukiona ni jambo la kawaida tu watu kuishi kama wanyama?
 
kwahiyo kwa kuwa kamkosea mtu ni sahihi amfanyie hivyo? kwanini wa TZ tumekua tukiona ni jambo la kawaida tu watu kuishi kama wanyama?
Sipendi tabia ya watu kucreate tukio then wanaplay victim role. Tatizo kuna watu mnaishi kinafki sana, msamaha ni jambo la hiari kwa yule aliyekosewa. Mimi siwezi toka from nowhere then nimlazimishe mtu asamehe, wakati sijui alikumbwa na nn.
 
Binafsi simfahamu na sikuwahi kusikia habari yake before hujampost. Ila naomba niwe general tu katika maoni yangu bila kuyaelekeza kwake. Ktk kila tukio, Kuna hidden story behind. Sisi wanadamu tukiwa na afya njema, tunakuwa na dharau Sana, na hatujali maumivu ya wengine. Ni jambo la kawaida mtu kukudhulumu alaf akakuletea utemi. Ni kawaida mtu kutembea na mke wa mtu au kuchukua demu wa mtu alaf akaenda kutangaza as if ni jambo zuri.

Kipindi hayo yote yanatokea, wakishauriwa huwa wanashupaza shingo. In a real sense, ni ngumu mtu kuja kukudhuru bila sababu. Anyway, pole Sana kwake.
UCHAMBUZI MFUPI WA KUELEWEKA !!!!!! Pole sana Mr Tarique.
 
Wake za watu,kudhurumu Mali ya mtu hivyo vitu vinipite mbali kabisa
 
kwahiyo kwa kuwa kamkosea mtu ni sahihi amfanyie hivyo? kwanini wa TZ tumekua tukiona ni jambo la kawaida tu watu kuishi kama wanyama?
Mkuu sifurahii waliomfanya hivyo..

Ila kama ni kweli alikuwa anakula wake za watu..nafikiri ashukuru tu hata sasa yupo hai..

Hizo huruma unazotaka zileta hapa ni za Kinaa..
 
Mkuu sifurahii waliomfanya hivyo..

Ila kama ni kweli alikuwa anakula wake za watu..nafikiri ashukuru tu hata sasa yupo hai..

Hizo huruma unazotaka zileta hapa ni za Kinaa..

Tunatakiwa tupinge kwa nguvu zote tabia za watu kujichukulia hatua mikononi kwa lolote lile, Kwa sasa huwezi kuona madhara, Ila siku yakikukuta au yakimkuta mtu wako wakaribu ndipo utakapojua ubaya wake.
 
Tunatakiwa tupinge kwa nguvu zote tabia za watu kujichukulia hatua mikononi kwa lolote lile, Kwa sasa huwezi kuona madhara, Ila siku yakikukuta au yakimkuta mtu wako wakaribu ndipo utakapojua ubaya wake.
Hamunaa....
 
Back
Top Bottom