chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Duh polee sana kwake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mndendeule mwenzangu ujambo lakini! Umeongea vyema sana karibu litola bhana uje ule ndiziAcha upumbavu wako,zee Zima hadi leo 21st century bado unaongelea ukabila, mimi ni mndendeule na nipo huku lingusenguse, huyu aliyepatwa na janga hili ni binadamu mwenzangu, kwangu sio mchaga..halafu unakwenda nyumba za ibada na kuomba wakati umejaa ushetani mkubwa, sometime learn to shut up
Mkuu hili kabila ndio nalisikia Leo mndendeule na hu mtaa lingusenguse ni Tz hi au?Acha upumbavu wako,zee Zima hadi leo 21st century bado unaongelea ukabila, mimi ni mndendeule na nipo huku lingusenguse, huyu aliyepatwa na janga hili ni binadamu mwenzangu, kwangu sio mchaga..halafu unakwenda nyumba za ibada na kuomba wakati umejaa ushetani mkubwa, sometime learn to shut up
Kwani tunawavuta na kamba?wake za watu mtatumaliza vijana……………..
Wabunge wao kila uchao wanasema wanawawakilisha wachaga mrejee Kimei, Mrema nkMkuu Kilimanjaro hawaishi wachagga peke yao.
Akili kisoda, akiyekuambia kamwagiwa na wachaga Nani?Haya ya wachaga na visa vya kidwanzi tu
USSR
Ohooo mkuu ahsante sana, Litola hapo nimefika sana hapo, nimecheza mpira sana hapo, vipi jirani zenu Kumbara, Namabengo wapo safi!tutaongea sana mkuu,...Lwegu hapo..Mndendeule mwenzangu ujambo lakini! Umeongea vyema sana karibu litola bhana uje ule ndizi
Yes mkuu Tanzania yetu ni kubwa na nzuri, wandendeule wanaishi mkoa wa Ruvuma na upande wa kaskazini mwa mji wa songea, Mila na desturi zao ni kama wangoni, ukitembelea Ruvuma wandendeule utawakuta zaidi njia ya kwenda tunduru, na baadhi ya vijiji vya barabara kuu ya songea to Njombe, Hannah,Mtakanini, Lumecha,Namabengo, Litola,Nyalamatata (kijiji bora cha mkoa miaka hiyo)etc etc ,karibu mnoMkuu hili kabila ndio nalisikia Leo mndendeule na hu mtaa lingusenguse ni Tz hi au?
Lingusenguse tupo karibu kabisa na mto Ruvuma,sio mbali na mpaka wa Mozambique, huku ni Samaki kwa wingiMkuu hili kabila ndio nalisikia Leo mndendeule na hu mtaa lingusenguse ni Tz hi au?
Ana ujinga mwingi sana huyo jamaa!Acha upumbavu wako,zee Zima hadi leo 21st century bado unaongelea ukabila, mimi ni mndendeule na nipo huku lingusenguse, huyu aliyepatwa na janga hili ni binadamu mwenzangu, kwangu sio mchaga..halafu unakwenda nyumba za ibada na kuomba wakati umejaa ushetani mkubwa, sometime learn to shut up
😲🤣Mkuu hili kabila ndio nalisikia Leo mndendeule na hu mtaa lingusenguse ni Tz hi au?
👍Yes mkuu Tanzania yetu ni kubwa na nzuri, wandendeule wanaishi mkoa wa Ruvuma na upande wa kaskazini mwa mji wa songea, Mila na desturi zao ni kama wangoni, ukitembelea Ruvuma wandendeule utawakuta zaidi njia ya kwenda tunduru, na baadhi ya vijiji vya barabara kuu ya songea to Njombe, Hannah,Mtakanini, Lumecha,Namabengo, Litola,Nyalamatata (kijiji bora cha mkoa miaka hiyo)etc etc ,karibu mno
mimi nakukaribisha huku ndongosiMndendeule mwenzangu ujambo lakini! Umeongea vyema sana karibu litola bhana uje ule ndizi
[emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] khaaaahMkuu hili kabila ndio nalisikia Leo mndendeule na hu mtaa lingusenguse ni Tz hi au?
Ahahahahahaha,,,, safi sana mkuu pande zile wote awajambo japo nimetoka mda kidogo huko ngoja nitafute kalikizo niende huko nikawasalimuOhooo mkuu ahsante sana, Litola hapo nimefika sana hapo, nimecheza mpira sana hapo, vipi jirani zenu Kumbara, Namabengo wapo safi!tutaongea sana mkuu,...Lwegu hapo..