Kwa nia njema! Tarula/ Tanroad mmeweka matuta ili kupunguza speed!
Lakini aina ya matuta mliyotumia ni mabaya sana na yanaharibu vyombo vya moto!
Pia mbali na kuharibu vyombo vya moto yanatikisa mwili hadi ubongo!
Sasa kwa vile njia hiyo pia inaelekea hospital! Ikipitisha wagonjwa na wenye mishono mikubwa kwa ambulance!
Tunaomba matuta yale yaboreshwe angalau yawe katika mtindo wa tuta moja kubwa (humps) ili chombo cha moto kipite polepole pasipo mtikisiko kama ilivyo sasa!
Aina ya matuta yaliyopo sasa siyo rafiki kabisa kwa usalama wa vyombo vya moto (yanavipepeta vyombo vya moto kiasi cha kuleta uharibifu wa baadhi ya mali).
Wekeni matuta makubwa wala haitaathili lengo la kupunguza speed!
Lakini aina ya matuta mliyotumia ni mabaya sana na yanaharibu vyombo vya moto!
Pia mbali na kuharibu vyombo vya moto yanatikisa mwili hadi ubongo!
Sasa kwa vile njia hiyo pia inaelekea hospital! Ikipitisha wagonjwa na wenye mishono mikubwa kwa ambulance!
Tunaomba matuta yale yaboreshwe angalau yawe katika mtindo wa tuta moja kubwa (humps) ili chombo cha moto kipite polepole pasipo mtikisiko kama ilivyo sasa!
Aina ya matuta yaliyopo sasa siyo rafiki kabisa kwa usalama wa vyombo vya moto (yanavipepeta vyombo vya moto kiasi cha kuleta uharibifu wa baadhi ya mali).
Wekeni matuta makubwa wala haitaathili lengo la kupunguza speed!