TARURA na TANROADS yale matuta pale kigamboni mnadani yanaumiza sana! Tunaomba yaboreshwe au muweke moja kubwa

TARURA na TANROADS yale matuta pale kigamboni mnadani yanaumiza sana! Tunaomba yaboreshwe au muweke moja kubwa

dawa ya madereva vichaa wa hii nchi ni kuweka matuta tuu kila mahali ili ajali zipungue, wengine hata zebra hawazingatii, ilitakiwa mita 5 kabla ya kufikia zebra zipigwe tuta kama za viazi daadeki
Kwani ukiweka matuta standard gari hazitapunguza mwendo?
 
Kwa nia njema! Tarula/ Tanroad mmeweka matuta ili kupunguza speed!

Lakini aina ya matuta mliyotumia ni mabaya sana na yanaharibu vyombo vya moto!

Pia mbali na kuharibu vyombo vya moto yanatikisa mwili hadi ubongo!

Sasa kwa vile njia hiyo pia inaelekea hospital! Ikipitisha wagonjwa na wenye mishono mikubwa kwa ambulance!

Tunaomba matuta yale yaboreshwe angalau yawe katika mtindo wa tuta moja kubwa (humps) ili chombo cha moto kipite polepole pasipo mtikisiko kama ilivyo sasa!

Aina ya matuta yaliyopo sasa siyo rafiki kabisa kwa usalama wa vyombo vya moto (yanavipepeta vyombo vya moto kiasi cha kuleta uharibifu wa baadhi ya mali).

Wekeni matuta makubwa wala haitaathili lengo la kupunguza speed!
Wasomi wetu ni tatizo kuliko tatizo lenyewe.
Hawana Muda wa kufanya utafiti. Wanafanya mambo Kwa kukurupuka na kukomoa badala ya kurahisiha maisha ya watu wanaleta ugumu zaidi.
 
Wasomi wetu ni tatizo kuliko tatizo lenyewe.
Hawana Muda wa kufanya utafiti. Wanafanya mambo Kwa kukurupuka na kukomoa badala ya kurahisiha maisha ya watu wanaleta ugumu zaidi.
Ukitafakali Yale matuta waliyoweka hayana tofauti na magogo ya mnazi wanayowekaga wasiyo wataalam uswahilini.
Tofauti ni hawa wametumia lami kuweka na uswazi wanatumia magogo ya miti! Lakini hakuna elimu iliyotumika
 
Hawa watu sijui utaalamu wao unaanzia wapi na kuishia wapi!? Wanaweka matuta yenye kuharibu Magari ,rubber bush, Shockup, spring kukatika, ajali mbaya Kwa mtu ambaye hakuliona tuta, matuta kuwa tofauti kila mahali (lack of standard) upuuzi wote huu Kwa gharama za Kodi zetu!!! Wawe hata kidogo na weledi wawe na michoro standard
 
Tuwe tunapiga kelele hata Kiongozi wao Mkuu, ambaye naye weledi Hana, anajiita Eng Seif, ni aibu aibu Kwa kutumia Kodi zetu, Vitu vingi vinafanywa na Tarura au Tanroad huwa ni aibu sana Hadi najiuliza Kwa nini wanalipwa mishahara mikubwa bila kutumia ujuzi wao kwenye mambo ya msingi!? Shameless people
 
Ukitafakali Yale matuta waliyoweka hayana tofauti na magogo ya mnazi wanayowekaga wasiyo wataalam uswahilini.
Tofauti ni hawa wametumia lami kuweka na uswazi wanatumia magogo ya miti! Lakini hakuna elimu iliyotumika
Matatizo yapo mengi, unaweka tuta linaua mtumiaji WA barabara, je mwenye kuweka haoni amechangia tatizo kuongezeka!? Tarura na Tanroad badilikeni muwe na standards na muwe professional
 
Sometimes unajikuta unakufuru na kuhoji uwezo wa kufikiria wa hawa watu. Matuta yako less than 50m from the round about, nani atapita na speed kubwa kuzunguka round about? Sehemu ambayo ukiikaribia automatically unapunguza mwendo halafu unaweka matuta. Hawana akili.
Hivi kwanini mbongo mpaka awekewe
Matuta barabarani???

Ova
 
Kwani ukiweka matuta standard gari hazitapunguza mwendo?
Mtanzania uataraabu zero

Mbongo mpaka awake matuta barabarani asipowekewa
Huo mwendo akatao pita hapo
Kama kichaaa
Narudia tena,mbongo ustarabu wa uendeshaji ni zeroooo

Ova
 
Matatizo yapo mengi, unaweka tuta linaua mtumiaji WA barabara, je mwenye kuweka haoni amechangia tatizo kuongezeka!? Tarura na Tanroad badilikeni muwe na standards na muwe professional
Na nyie waendesha magari,kwann mpaka muwekewe matuta
Mbongo pekee yake anawekewa matuta barabarani...maana hata akiwekewa kibao cha speed ndogo
Awe anapita hapo bado atakuwa anapita na speed 100
Wabongo ustarabu zeroooooo
Kwenye kila kitu

Ova
 
Hivi kwanini mbongo mpaka awekewe
Matuta barabarani???

Ova
Matuta ni sehemu ya alama za barabara! Tatizo ni namna walivyo yaweka hayapo standards!

Lengo la tuta huwa ni ku-slow down gari pasipo kuharibu chombo!
Smoothly flow of vehicle!

Sasa wao wamejiwekea tu kama komoa! Ni ujinga wa hali ya juu kuzuia ajali kwa kutengeneza hatari yenye uharibifu!
 
Ninasema hawana weledi, Kwa mfano nimepita Hapo kinyerezi wameweka taa kuruhusu waenda Kwa miguu na Magari; hapo hapo wakaweka matuta makubwa, Sasa taa zikiruhusu Magari yanapita machache sana kutokana na uwepo WA matuta!! Sasa asubuhi watu wengi wanachelewa na foleni wakati gharama za Kodi zetu zimeshatumika kuweka taa!! Pia niwashauri Bure, ukiwekwa taa za wavukaji inatakiwa kuweka refugee Island (eneo lililotengwa na kuandaliwa) Kwa ajili ya watu kusubiria muda wao WA kuvuka na Sio watu kusubiria sehemu ambayo haijaandaliwa, Napenda kuwakumbusha Tanroad wakitumia Kodi au Tozo zetu wafanye Kitu chenye weledi!! Unakuta kila wakati Jica wanawapeleka huko Japan, hata kuiga hawawezi!! My God!!
 
Na nyie waendesha magari,kwann mpaka muwekewe matuta
Mbongo pekee yake anawekewa matuta barabarani...maana hata akiwekewa kibao cha speed ndogo
Awe anapita hapo bado atakuwa anapita na speed 100
Wabongo ustarabu zeroooooo
Kwenye kila kitu

Ova
Matuta yapo duniani kote! Tofauti ya matuta ya ulaya na haya ni muundo!

Matuta waliyoweka hayana standard kwa kuzingatia vyombo vya moto!
 
Ukiona hivyo wamesha aagiza ma contena ya Shockup za Magari yenu, yaani kila baada ya miezi mitatu lazima mbadilishe vipuli vya chini ya gari zenu!!!
Hizi tuta ni mbaya hata ukipita taratibu gari inapata concasion
 
Na nyie waendesha magari,kwann mpaka muwekewe matuta
Mbongo pekee yake anawekewa matuta barabarani...maana hata akiwekewa kibao cha speed ndogo
Awe anapita hapo bado atakuwa anapita na speed 100
Wabongo ustarabu zeroooooo
Kwenye kila kitu

Ova
Nchi zote na binadamu yeyote anawekwa kwenye mstari Kwa uwepo wa sheria!! Ila Sio Kwa uwepo WA polisi wanaochukua Hela za kiwi!! Pia technology imekuwa kunatakiwa kuwepo na taa za wavukaji na uwepo WA kamera kuwarecord wavunja sheria na bili zao za Makosa zitumwe maramoja kwenye simu zao, Hivyo watafeel hasara ya Makosa yao
 
dawa ya madereva vichaa wa hii nchi ni kuweka matuta tuu kila mahali ili ajali zipungue, wengine hata zebra hawazingatii, ilitakiwa mita 5 kabla ya kufikia zebra zipigwe tuta kama za viazi daadeki
Kwani uweka tuta standard gari hazisimami!? AU unataka kupanda viazi
 
Nchi zote na binadamu yeyote anawekwa kwenye mstari Kwa uwepo wa sheria!! Ila Sio Kwa uwepo WA polisi wanaochukua Hela za kiwi!! Pia technology imekuwa kunatakiwa kuwepo na taa za wavukaji na uwepo WA kamera kuwarecord wavunja sheria na bili zao za Makosa zitumwe maramoja kwenye simu zao, Hivyo watafeel hasara ya Makosa yao
Hapo sawa
 
Kweli Yale matuta sio Ila nikiangalia akili za Madereva wa magari na Bodaboda naishia kusema waongeze matuta zaidi

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Pia Nawashauri Tanroad DSM, hii barabara ya Morogoro mnayosema mmemaliza Kwa karibia asilimia mia Sio kweli, kwanza Mkumbuke hii barabara ni hatarishi sana!! Ilijengwa bila uwepo WA usanifu ( design) Sasa najua mnachofanya ni kufukia Makosa, ila nawaomba tufukie Makosa Kwa weledi WA Hali ya juu!! Kwanza barabara zimebananisha kiasi Gari zinazopishana taa zinalandana na waendesha Magari kushindwa kuona Mbele (chanzo kikubwa Cha ajali) suluhisho ni kuweka taa za barabarani, Pili reserve mliyoweka katikati Haina usanifu wowote na mlitegemea itakuwa ya mwendo Kasi na mmetumia gharama kuboresha lakini kuhalisia haifai na ni hatarishi!! Na Haitafaa kuwa ya Mwendokasi,
Mpango WA mwendokasi uacheni uje na usanifu kamili acheni kuchezea Kodi!!
 
Kweli Yale matuta sio Ila nikiangalia akili za Madereva wa magari na Bodaboda naishia kusema waongeze matuta zaidi

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwa weledi wako Naona hujakosea, ila Kumbuka Kuna standard zinazozingatiwa katika ujenzi WA Kitu Cha public Kwa ajili ya usalama WA public!! Pia kuweka Kitu ambacho kitasababisha madhara zaidi kuliko kuboresha ni Makosa makubwa!! Unamkinga mvukaji (kama ni Kweli) unamuua dereva na abiria WA usafiri mwingine)) Kama bodaboda, hii Haijakaa sawa
 
Back
Top Bottom