- Thread starter
- #41
Ndo hapo sasaKwa weledi wako Naona hujakosea, ila Kumbuka Kuna standard zinazozingatiwa katika ujenzi WA Kitu Cha public Kwa ajili ya usalama WA public!! Pia kuweka Kitu ambacho kitasababisha madhara zaidi kuliko kuboresha ni Makosa makubwa!! Unamkinga mvukaji (kama ni Kweli) unamuua dereva na abiria WA usafiri mwingine)) Kama bodaboda, hii Haijakaa sawa