Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
TARURA tunaomba mtolee ufafanuzi kinachoendelea kwenye system zenu nilifikiri ni kwangu tu kumbe ni kilio cha kila mtu. Nilikuwa na deni la 13,000 nikasema ngoja leo niingie nilipe deni lao kufungua app nakuta 83,000 nikashtuka au ni penalty?
Kucheki last payment nimefanya 15/03 sasa hiyo 70,000 imetoka wapi? Ikabidi nimchek jirani yangu naye alikuwa na deni la 4,000 amekuta 72,000 ni kila mtu sijajua wengine huko hali yenu ipoje.
Je, ni system zimecheza? Au ndo upigaji kwa Watanzania? Kumekuwa na ubambikwaji mkubwa sana na hawa TARURA wa barabarani anaweza akakumbakia tu kiasi chochote anachotaka kuweka bila wewe kujua.
Hili limekuwa janga sana kwa wamiliki wa magari. Serikali iliangalie hili jambo kwa kina sana ikiwezekana iangaliwe namna nyingine ya kukusanya huu ushuru. Maisha yamekuwa juu kila kitu sasa hivi, kiukweli kuwa na gari Dar ni mateso.
Kucheki last payment nimefanya 15/03 sasa hiyo 70,000 imetoka wapi? Ikabidi nimchek jirani yangu naye alikuwa na deni la 4,000 amekuta 72,000 ni kila mtu sijajua wengine huko hali yenu ipoje.
Je, ni system zimecheza? Au ndo upigaji kwa Watanzania? Kumekuwa na ubambikwaji mkubwa sana na hawa TARURA wa barabarani anaweza akakumbakia tu kiasi chochote anachotaka kuweka bila wewe kujua.
Hili limekuwa janga sana kwa wamiliki wa magari. Serikali iliangalie hili jambo kwa kina sana ikiwezekana iangaliwe namna nyingine ya kukusanya huu ushuru. Maisha yamekuwa juu kila kitu sasa hivi, kiukweli kuwa na gari Dar ni mateso.