TARURA nini kinaendelea mpaka deni la maegesho ya gari linaongezeka? Mamlaka itolee ufafanuzi

TARURA nini kinaendelea mpaka deni la maegesho ya gari linaongezeka? Mamlaka itolee ufafanuzi

Hata mimi nimekuta deni kubwa mno kwa gari ambayo inatoka mara chache sana. TARURA itabidi ichunguzwe kwa umakini, hizi hesabu zina shida kubwa! Mtaingia kwenye mgogoro mzito na wananchi na kuichafua serikali bila sababu.
 
Nchi imekuwa ya moto sana yan kila kona unakula za uso tu daah!!unaweza hama nchi kabisa yani.
 
Mimi siku hizi nakutaga deni tu linakuwa, limeingiaje sijui, hawaweki vikaratasi kwenye gari siku hzi wanaingiza tu juu kwa juu wanaondoka. Ukifika huna taarifa deni linakua.
Wanatengeneza enzi za road license zingine
 
Nchi imekua ya hovyo sana hii unaweza juta kuzaliwa Tanzania. Mtu unadaiwa 13,000 unapigwa faini to 83,000 serious?. Unabaki unajiuliza hivi aliyetunga hzi sheria ni mtanzania? Hivi wangeweka amount ikifika let say 30k hujalipa faini ianze kusoma shida ingekua wapi?

CCM CCM CCM CCM [emoji1005][emoji1005]. Hapa jamaa yangu amekuta 226,000 anadaiwa daah huu si udhulumaji?? Na wizi.

Mzee baba alisema tutamkumbuka kwa mema na sio mabaya.
 
Hata mimi nimekuta deni kubwa mno kwa gari ambayo inatoka mara chache sana. TARURA itabidi ichunguzwe kwa umakini, hizi hesabu zina shida kubwa! Mtaingia kwenye mgogoro mzito na wananchi na kuichafua serikali bila sababu.
wachafuke mara ngapi! wanajitakia kufukuzwa tu! wamekuwa matapeli wakubwa!
 
Hili la Tarura, hapana. Nadaiwa 153000. Kwa parking. Bahati mbaya hupati hata details ya hizo parking fees. Huu ni wizi
 
wachafuke mara ngapi! wanajitakia kufukuzwa tu! wamekuwa matapeli wakubwa!
Kuna tetesi kuwa watatoa tamko kurekebisha. Hii ni kituko na inabidi serikali wawe serious kufatilia kwa karibu otherwise kuna crisis huko mbele itatokea.
 
kwanza walisema hawaleti faini nashangaa wameingia ujinga
Inauma na kuudhi, unalazimika kumuita mdada WA parking akupe risiti baada ya kuhisi huenda amepiga picha na anakujibu machine haitoi risiti labda upige picha machine!! Seriously!! Nina hadi hizo picha za kupata lipa numba Kwa mbinde!!
 
Hawa tarura watakuwa wanabambika hizi bill Kwa sana!! Mimi huwa nakutana na Hawa madada Wana mashine na huwawezi kutoa risiti, wanajidai vitabu vimekwisha na vivyo wanascan kiwiziwizi au kinyemela bila mhusika kujua
Waizi hao, wanapata commission.
 
Kuna tetesi kuwa watatoa tamko kurekebisha. Hii ni kituko na inabidi serikali wawe serious kufatilia kwa karibu otherwise kuna crisis huko mbele itatokea.
mimi nina ushahidi nilienda kuangalia nikakuta gari iliyopigwa picha ni nyingine na nimeandikiwa mimi! wakasema watafuta hawajafuta! dawa ni kuwasemea
 
mimi nina ushahidi nilienda kuangalia nikakuta gari iliyopigwa picha ni nyingine na nimeandikiwa mimi! wakasema watafuta hawajafuta! dawa ni kuwasemea

Kuna mmoja alikula makofi pale millenium tower mtu kaingia ATM hajachukua dk10 kuchek anakuta kawekewa 1,500 alimchapa makofi 2 ya nguvu watu wakajaa ndo kusikia habari hzo.

Waanga ni wengi sana kuanzia kesho ntakua siriazi na hawa forget watu
 
Dawa ya deni ni kulipa
Tushakubaliana sasa hvi tunalamba asali
 
TARURA watu wa hovyo sana,hawajaweka hata namba za Malalamiko ujue unapiga wapi kusaidiwa.
Ila kibaya zaidi wamewaambia wahudumu wao wasitoe Risiti sijui lengo lao ni nini,kwa mfano Mhudumu wao wa Mwembeyanga Temeke kila siku Mashine yake Mbovu haitoi Risiti sasa unajuaje kakuwekea Tsh ngapi na unalipaje hiyo Fee bila Control Number na ukichelewa kulipa ndiyo unakutana na hayo mafaini.
Mfumo wa sikuhiz hautoi Receipt cha muhimu kama unajua umetumia maegesho jikague utakutana na Control number yako
 
Wale vijana waliowekewa malengo kwa siku kama traffic, wanashindwa vipi kubet number yeyeto Ili kutimiza hesabu za siku, nimewahi kuwa na daladala likiwa limepaki garage kitambo kucheck kwenye system limepigwa cheti kwa ruti ambayo siyo yake na halijawahi kwenda ruti hio.Kwa hasira nililikata screpa hilo deni wakachukue walipopeleka mboga,
 
Nimeshtushwa baada ya kukuta nimewekewa fine ya 10,000 baada ya kuchelewa kulipa parking fee ya tar 22/3/2022 ya 500. Ina maana hata mwezi mmoja haujapita tayari fine kubwa hivyo, huo ni Wizi mchana kweupe. Kama Serikali inaweza kuweka fine kubwa hivi je ingekuwa wao wanapochelewesha malipo ya wakandarasi na watoa huduma wao wangeweza kulipa?

Kagua gari lako kuna wizi Mpya umeibuka

 
Back
Top Bottom