TARURA nini kinaendelea mpaka deni la maegesho ya gari linaongezeka? Mamlaka itolee ufafanuzi

TARURA nini kinaendelea mpaka deni la maegesho ya gari linaongezeka? Mamlaka itolee ufafanuzi

Hakuna faini asilimia ya asilimia 538% mtu anaweza kutozwa na serikali kwa kisa cha kuchelewa kulipia huduma za kiserikali.
TARURA WAMEANZA KUTOZA FAINI KWA WADENI SUGU WA MATUMIIZI YA MAEGESHO KUANZIA TAREHE 1 MACHI 2022, KAMA UNA GARI NA UNATUMIA MAEGESHO YA SERIKALI LIPA USHURU WA MAEGESHO MAPEMA KUEPUKA FAINI
Hapo ni lazma kuna shida, tena kubwa sana.
 
Finally wametoa tamko
IMG_2341.jpg
 
Back
Top Bottom