Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona services unavailable ?Nimeshtushwa baada ya kukuta nimewekewa fine ya 10,000 baada ya kuchelewa kulipa parking fee ya tar 22/3/2022 ya 500. Ina maana hata mwezi mmoja haujapita tayari fine kubwa hivyo, huo ni Wizi mchana kweupe. Kama Serikali inaweza kuweka fine kubwa hivi je ingekuwa wao wanapochelewesha malipo ya wakandarasi na watoa huduma wao wangeweza kulipa?
Kagua gari lako kuna wizi Mpya umeibuka
Termis Web System
termis.tarura.go.tz
Kuna mmoja alikula makofi pale millenium tower mtu kaingia ATM hajachukua dk10 kuchek anakuta kawekewa 1,500 alimchapa makofi 2 ya nguvu watu wakajaa ndo kusikia habari hzo.
Waanga ni wengi sana kuanzia kesho ntakua siriazi na hawa forget watu
Uza gari, ununue simu mkuu.Nashukuru mtoa uzi nami nimekuta nina deni[emoji23][emoji23]..!! Hii sijui ningeijulia wapi
Na sikuoi....Kwakuwa nimetumia gari kupost humu
Acha kushangilia uharifu, kupigana makofi ni udhalilishaji na unapaswa kukemewa.
Sahivi dawa ni kutembea na vifuko ukipaki unafunika plate namba ya usajili
Hizo hapoTARURA tunaomba mtolee ufafanuzi kinachoendelea kwenye system zenu nilifikiri ni kwangu tu kumbe ni kilio cha kila mtu. Nilikua na deni la 13,000 nikasema ngoja leo niingie nilipe deni lao kufungua app nakuta 83,000 nikashtuka au ni penalty?
Kucheki last payment nimefanya 15/03 sasa hio 70,000 imetoka wapi? Ikabid nimchek jiran yangu naye alikua na deni la 4,000 amekuta 72,000 ni kila mtu sijajua wengine huko hali yenu ipoje.
Je ni system zimecheza? Au ndo upigaji kwa Watanzania? Kumekua na ubambikwaji mkubwa sana na hawa TARURA wa barabarani anaweza akakumbakia tu kiasi chochote anachotaka kuweka bila wewe kujua.
Hili limekua janga sana kwa wamiliki wa magari. Serikali iliangalie hili jambo kwa kina sana ikiwezekana iangaliwe namna nyingine ya kukusanya huu ushuru. Maisha yamekua juu kila kitu sahivi, kiukweli kuwa na gari dar ni mateso.
View attachment 2179187
Ndani ya week2 faini iwe 70k? Hata za traffic haziko hvo na mm nimlipaji
TARURA WAMEANZA KUTOZA FAINI KWA WADENI SUGU WA MATUMIIZI YA MAEGESHO KUANZIA TAREHE 1 MACHI 2022, KAMA UNA GARI NA UNATUMIA MAEGESHO YA SERIKALI LIPA USHURU WA MAEGESHO MAPEMA KUEPUKA FAINI
Hakuna faini asilimia ya asilimia 538% mtu anaweza kutozwa na serikali kwa kisa cha kuchelewa kulipia huduma za kiserikali.