TARURA nini kinaendelea mpaka deni la maegesho ya gari linaongezeka? Mamlaka itolee ufafanuzi

Nashukuru mtoa uzi nami nimekuta nina deni[emoji23][emoji23]..!! Hii sijui ningeijulia wapi
 

Attachments

  • IMG_3859.jpg
    36 KB · Views: 24
Mbona services unavailable ?
 
Kwa kweli hata kama ni penati hii imezidi sana, nawana fanya kama kumtegea mtu hivi kwa nini wasitume ujumbe kumkumbusha mtu deni lake kama wapo vizuri katika system yao? huu ni uharamia uliojificha ndani yake.wajipange vizuri sehemu nyingi wana scan bila hata kuweka recepts utakumbukaje sasa.
 
Kuna mmoja alikula makofi pale millenium tower mtu kaingia ATM hajachukua dk10 kuchek anakuta kawekewa 1,500 alimchapa makofi 2 ya nguvu watu wakajaa ndo kusikia habari hzo.

Waanga ni wengi sana kuanzia kesho ntakua siriazi na hawa forget watu

Acha kushangilia uharifu, kupigana makofi ni udhalilishaji na unapaswa kukemewa.
 
Utakuwa ni ujanja ujanja wa kubambika tozo, nchi hii wanyonge wanaporwa hata akiba ndogo waliyobakiza ili mafisadi yaendelee kusukuma dili zao..........
 
kuna kipindi walikua wana test mfumo wao data sijui walizichukua TRA waka generate madeni kwa magari yote alafu wakasema watafuta hawakufuta ile buku nimekuja kuilipa juzi tu kwasababu nilikua na hela kuchezea la sivyo nisingelipa
 
Tanzania watumiaji wa vyombo vya moto
Wana sulubiwa dah

Ova
 
Hizo hapo





 
Hakuna faini asilimia ya asilimia 538% mtu anaweza kutozwa na serikali kwa kisa cha kuchelewa kulipia huduma za kiserikali.
TARURA WAMEANZA KUTOZA FAINI KWA WADENI SUGU WA MATUMIIZI YA MAEGESHO KUANZIA TAREHE 1 MACHI 2022, KAMA UNA GARI NA UNATUMIA MAEGESHO YA SERIKALI LIPA USHURU WA MAEGESHO MAPEMA KUEPUKA FAINI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…