Tathmini fupi mechi ya Young Africans vs Singida Black Stars

Imekuwa ni kawaida sasa mechi za Yanga dhidi ya matawi yao man of the match wanakuwa makocha wa timu za matawi. Leo ni wazi alikuwa kocha wa Singida. Kocha mwenyewe alikiri alipohojiwa baada ya mechi.
 
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
Tafuta kazi ya kufanya
 

Attachments

  • downloadfile-4.jpg
    155.5 KB · Views: 1
Imekuwa ni kawaida sasa mechi za Yanga dhidi ya matawi yao man of the match wanakuwa makocha wa timu za matawi. Leo ni wazi alikuwa kocha wa Singida. Kocha mwenyewe alikiri alipohojiwa baada ya mechi.
Tawi letu kuu ni 5imba
 
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
Luc ana akili sasa.

Engineer naye anadai muda wote wamevimbiwa mihogo.
 
We mpuuzi umechambua mechi au umewasifia yanga.
 
Y
Basi hapo ushajua kuwa Young Africans ya Sasa sio size yako, ndo maana hayo mashindano yenu ya akina mama hamkushiriki
Ya akina baba mmeishia kuwapikia wababa wa kweli mmerudi na mwili wenu mnaendeleza umama lishe.
 
Wachezaji muhimu wa singida waliwekwa benchi ili yanga washinde kirahisi

ARTHUR BADA
ANTHONY TRA BI
TCHAKEI
IMORO
SOWAH
EDMUND

Na baada ya mechi kuisha na kocha kupokea bahasha kafurahi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…