kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Ule ni mtama wa kihistoria. Uingizwe kwenye guiness book of record.
Tunamshukuru Mchovu kwa kubadili upepo wa propaganda. Bila shaka muujiza wa Mungu uliingia kwenye mguu wa mchomvu ili kusudio LA kuwavuruga wanaojipendelea keki ya Taifa wafedheheke.
Hahahaha yes hili sikuliona. Shukrani sanauko sahihi , kingine ni hiki , 80% ya watumbuizaji na wahudhuriaji hawakuwa wanaccm akiwemo Mbasha na Adam , ila wengi walijifanyisha kama wafanyavyo siku zote ili kujilinda na kuendelea kujipigia mpunga wa bure
Kwa hiyo Adamu mchomvu aitwe kwenye kamati ya maadili ya CCM?Kinachonishangaza ni kuona chama kikiwa kimya dhidi ya tukio la kihuni lililofanywa na Adam Mchomvu. Naomba chama kuanzia Sasa, kimuadhibu Mchomvu kwa kuidhalilisha brand ya CCM na siku nyingine watumie washereheshaji wanaojielewa. R. I. P Efraim Kibonde.
Kuadhibiwa si lazima aitwe kwenye kamati ya maadili. Kutokana na nafasi yake, chama kinatakiwa kutoa kauli ya kulaani tukio Hilo.Kwa hiyo Adamu mchomvu aitwe kwenye kamati ya maadili ya CCM?
Kushirikiana na shetani ni lazima ukumbane na aibuNilijisikia aibu Mimi utadhani ule mtama nilipigwa Mimi. Masikini Mbasha wa watu ,si kupepesuka kule na kujawa na aibu Kule, ilibidi azuge.
Mara nyengine wajitahidi Ila hill La CCM kujipendelea keki ya Taifa hatutawasamehe au watende haki kwa wengine.
Huwa anaomba kushiriki kwenye hayo matamasha au hua mnamuita🤣🤣🤣Kuadhibiwa si lazima aitwe kwenye kamati ya maadili. Kutokana na nafasi yake, chama kinatakiwa kutoa kauli ya kulaani tukio Hilo.
Pili, chama kimfungie kushiriki kwenye matamasha yanayoandaliwa na chama.
Hiyo ni kiwango cha chini , wajanja wamelipwa hadi mil 7 kwa wimboNasikia nyimbo moja 3 millions
Duuuh kweli vya mjinga huliwa na mjanjaHiyo ni kiwango cha chini , wajanja wamelipwa hadi mil 7 kwa wimbo
Tamasha la hovyo kabisaKwanza kabisa waandaaji hawakua na uhakika wa kile walichokua wanatgaka kukifanya! Hawakujua agenda au maudhui ya kusanyiko hilo, matokeo yake ilikua kama gulio la wahuni au tuite panya road.
Pili, hakukua na nidhamu, lugha za kihuni (Mbasha, Halafu wewe ni bangi sana), kulikua na kupigana hadharani tena wakiwa "live"! Maana yake ni kwamba hawa walikua wahuni, wasiojitambua, wafia tumbo, wasio na uhakika na kesho yao.
Tatu, ni miongoni mwa matamasha ya hovyo kupata kutokea Tanzania, kiasi kwamba isingekua tukio la hao Wahuni kufanyiana vurugu basi hakuna NTU angejua kabisa uwepo wa Tamasha hili. Yaani hata mdundiko wa mtaani una afadhali.
Nne, walishindwa kabisa kupeleka " meseji" waliyotumwa waipeleke maana hata wao wenyewe hawakua na uhakika na meseji yenyewe!
Tano, kuna taarifa kuwa tukio zima lilitawaliwa na vitendo vya kihalifu, kuibiana, kashfa, ngono zembe na mengineyo.
Takukuru ya CCM inabidi wapitie mapato na matumizi ya hii shughuli.
Ubora wake, walifanikiwa kulipa vijana waliowaita Wasanii kwa pesa ndogo ndogo na wengine kukopwa kwa ahadi ya kutumika kwenye kampeni (kuwa compasated) basi hilo tu.
Mwisho, next time tumieni Waandaji ambao sio Wapigaji (hata hivyo sidhani kama kwa CCM unaweza kuwapata, I stand to be corrected).
Nawakilisha, ongezeni mapungufu yao ili kuwasaidia.....
Mkuu siyo za ccm, ni ile trillion 1.5 ya wanyonge iliyokwapuliwa kihuni na majambazi ya kijani, halafu yanajifanya yanalinda na kutetea rasilimali za taifa kumbe ni majizi kuwahi kutokea duniani, shame upon themungejua bei iliyolipwa kwa kila wimbo nina hakika ungejipiga kitanzi , hela za ccm zinaliwa kibwege sana !
Hahahaha kwamba mwenyezi Mungu kafanya kama Babeli?Asante Adamu kwa kuharibu mambo yao yakishetani , watu Hosptali wanakufa kwa kukosa Huduma then nyie wapuuzi wa ccm mnachezea hela za umma.
Bavicha mna shidaKwanza kabisa waandaaji hawakua na uhakika wa kile walichokua wanatgaka kukifanya! Hawakujua agenda au maudhui ya kusanyiko hilo, matokeo yake ilikua kama gulio la wahuni au tuite panya road.
Pili, hakukua na nidhamu, lugha za kihuni (Mbasha, Halafu wewe ni bangi sana), kulikua na kupigana hadharani tena wakiwa "live"! Maana yake ni kwamba hawa walikua wahuni, wasiojitambua, wafia tumbo, wasio na uhakika na kesho yao.
Tatu, ni miongoni mwa matamasha ya hovyo kupata kutokea Tanzania, kiasi kwamba isingekua tukio la hao Wahuni kufanyiana vurugu basi hakuna NTU angejua kabisa uwepo wa Tamasha hili. Yaani hata mdundiko wa mtaani una afadhali.
Nne, walishindwa kabisa kupeleka " meseji" waliyotumwa waipeleke maana hata wao wenyewe hawakua na uhakika na meseji yenyewe!
Tano, kuna taarifa kuwa tukio zima lilitawaliwa na vitendo vya kihalifu, kuibiana, kashfa, ngono zembe na mengineyo.
Takukuru ya CCM inabidi wapitie mapato na matumizi ya hii shughuli.
Ubora wake, walifanikiwa kulipa vijana waliowaita Wasanii kwa pesa ndogo ndogo na wengine kukopwa kwa ahadi ya kutumika kwenye kampeni (kuwa compasated) basi hilo tu.
Mwisho, next time tumieni Waandaji ambao sio Wapigaji (hata hivyo sidhani kama kwa CCM unaweza kuwapata, I stand to be corrected).
Nawakilisha, ongezeni mapungufu yao ili kuwasaidia.....
uko sahihi , kingine ni hiki , 80% ya watumbuizaji na wahudhuriaji hawakuwa wanaccm akiwemo Mbasha na Adam , ila wengi walijifanyisha kama wafanyavyo siku zote ili kujilinda na kuendelea kujipigia mpunga wa bure
Inawezekana it was plannedAsante Adamu kwa kuharibu mambo yao yakishetani , watu Hosptali wanakufa kwa kukosa Huduma then nyie wapuuzi wa ccm mnachezea hela za umma.