Tatizo kubwa la Prof. Kabudi ni uongo na ulaghai na hana sifa ya kujiongeza ambayo ni sifa mama ya waziri wa diplomasia akiwa na Rais aina ya Magufuli

Tatizo kubwa la Prof. Kabudi ni uongo na ulaghai na hana sifa ya kujiongeza ambayo ni sifa mama ya waziri wa diplomasia akiwa na Rais aina ya Magufuli

Kwahiyo umekubali kuwa tunaua soko letu la mazao? Maana hatuwapelekei bure huko.

Kuhusu investment naona huelewi ila Kenya imewekeza maradufu Tanzania kuliko sisi na hata asilimia kubwa ya mazao yanayotoka Tanzania yanalimwa na wakenya. Pia kuhusu biashara emb nenga mpaka wa Horohoro na Namanga urudi tuje kujadili vizuri. Pia fuatilia sekta ya utalii uone watalii wanaotokea upande Kenya kuupanda mlima ni wangapi kisha uje ulinganishe na wanaotokea upande wa KIA!

Sio tuu soko letu la mazao kwa leo, hili ni soko tutakuwa nalo kwa leo, kesho tuu bado litaendelea kuwepo milele.

Nchi ya Tanzania kieneo ni kubwa kuliko nchi zifuatazo kwa zikiunganishwa pamoja, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi na Malawi. Idadi ya watu waishio Kenya na Tanzania tunashindana kwa wingi sisi tumewazidi kidogo.

Nusu ya Kenya ni jangwa kwa hiyo sehemu iliyobaki na idadi ya watu leo, tayari mawefikia mwisho wa kujilisha na kupanda mazao ya kibiashara. eg; Maua, chai, kahawa, kufuga ng'ombe na shuguli zingine za kilimo biashara. Na kwa sababu hiyo ni bora mtu apande mazao ya kibiashara alafu akiuza ndio akanunue chakula. Sababu mazao ya biashara unapata pesa zaidi na huwezi kuwalazimisha raia kwa wao ardhi ni mali yake kama vile wewe mkono wako.

Jee unakubali kuwa Wakenya wamewekeza Trillion 28 nchini Tanzania yaani 25 % ya uchumi wetu. Ama 61 % ya production processes nchiniTanzania?
Viwanda vikubwa walivyo wekeza ni East African Cables na Mufindi Paper Mills na kwa Viwanda vyote viwili kwa pamoja wakati tukiwa tuna miliki vilikuwa na thamani ya 450 million Dollars, kwa uwekezaji upi wa Dollar 650 million na thamani kufika 1.1 billion.

Kwani hivi viwili ni viwanda vikubwa kuliko viwanda 7 kwa pamoja ambavyo vinafanya Aluminium Africa ? KUWEZA KULIEWA HILI LABDA UNIAZIME AKILI YAKO. YA KWANGU IMEGOTA BILA KUELEWA.

Na nikumbie nchi inapotaka kufanya Investment valution ujue kuna taabu kidogo. Dhana: Wali inflate value ili tukitaka kuvinationalise tuogope kwa declared value.

Kama wange miliki 62% ya production processes ni kuwa katika kila watanzania walioajiriwa 100 , walioajiriwa na wakenya wangekuwa 62. Mtaa unaoishi wewe watu ambao wanaondoka asubuhi kwenda kazini kwa kila watu kumi, sita kati ya hao wanafanya kazi kwa wakenya au viwanda vya wakenya?

Kwa kusema sisi tumewekeza Kenya kuliko wao, suala hili wala haliitaji maelezo, wazungu wengi walio wekeza wameona soko Tanzania lakini wali invest kenya kwanza, ndio wamekuja kwetu kutokea Kenya, sisi tuna uwezo mdogo mnoo wa kuwekeza, kwa hiyo wanatushinda kwa mbali sana

Tourist infrastracture ni rahisi kujenga kwa ukamilifu katika eneo dogo kama Kenya lakini tuna miaka mitano tutakutana hapa na tutaongea.

Kwa hali ya uwekezaji kati ya sisi na kenya ni kama anayejenga chumba kimoja kamaliza na mwenye kujenga vyumba sita.

Eneo la Kenya linatumika na ambalo tunalizungumza ndio Kenya ni kama Mbeya, Rukwa, Katavi na Tabora ene lililo baki ni Jangwa.
 
Waziri wa mambo ya nchi za nje kuwa muongo na mlaghai kama alivyo Prof. Kabudi ni hatari kwa afya. Waziri ambaye hawazi mbali kuhusu majukumu yake inafikirisha sana.

Nakumbuka aliyoongea kwenye sakata la madini siyo tunayoona sasa.Aidha alitoa uongo wa awamu tatu. Wa majadiliano ya tume, wa tulichotegemea kupata na mwingine wa yanayoendelea sasa. Ilikuwa ni maigizo matupu. Haya leo hayanihusu!

Juzi wakati wa msiba wa mzee Mkapa, tulisema wazi kuwa upo mgogoro wa kidiplomasia ambao ulipelekea ndege ya Kenya kugeuza angani na kuwarudisha wajumbe wa kutoka Kenya waliokuja kuhudhuria mazishi yale. Mbiombio Kabudi akaja na taarifa eti ndege hiyo ilikumbwa na hitilafu, tena alizungumza palepale msibani. Mbiombio akaagiza ubalozi wa Tanzania nchini Kenya kutoa taarifa kama yake. Ila Kenya hawakutoa taarifa yoyote kuhusu tukio lile. Tukasema huku kuwa lipo tatizo ila kama kawaida ya wafuasi wasioelewa wakaendelea kushupaza shingo!

Siku mbili baadaye ukweli umedhihirika! Ukweli umewekwa hadharani kuwa upo mgogoro mkali wa kidiplomasia kati ya Kenya na Tanzania.

Kiukweli siyo uungwana hata kidogo kwa kilichofanyika juzi! Hizo ni siasa za kitoto na sijui nani anazianzisha, kwa malengo gani?

Kwanza mimi nashangaa sana, lini ndege ya Tanzania imewahi kutangaza hata kivutio kimoja tu cha utalii kilichopo Kenya? Mbona ndege za Kenya zimeandika hadi hifadhi ya Ngorongoro? Tumewahi hata kuwapa wakenya asante ya mdomo hadharani kwa kututangazia vivutio vyetu vya utalii huko duniani?

Enzi ya utawala wa JK na Mkapa Kenya na Tanzania walikuwa ndugu. Nakumbuka enzi ya Mkapa kila shughuli ya kitaifa marais wote watatu wa nchi za EAC lazima wawepo. Leo kuna nini? Lazima tukiri kuwa lipo tatizo la kimfumo. Rais Magufuli ana hulka ambayo waziri wake wa mambo ya nje anahitaji kujiongeza sana na kuzuia yale maboko ambayo yakitoka kwake yanaleta madhara.

Mbaya zaidi zipo taarifa kuwa mgogoro kati ya Kenya na Tanzania umetanuka hadi kwa mataifa ya Uganda na Rwanda. Pia na wao wameshaacha kushirikiana na Tanzania kwenye mambo mengi.

Ni lazima tuelewe kuwa Rais wa Tanzania ana tatizo kubwa sana la ubaguzi ambalo alianza kuwaita watu weupe "Mabeberu ( Sifa mbaya sana kwa mkuu wa nchi) . Hivyo anahitaji kuwa na waziri anayejua sana kujiongeza na kumshauri ila siyo huyu Kabudi ambaye anacheza kila ngoma ya Magufuli na kutuletea uongo na ulaghai.

Kama nchi ni lazima tukiri kuwa tunatumia njia ya aina yake kuishi na Corona ambayo ni vigumu sana kuaminika usoni pa mataifa mengi. Lazima tuje na mikakati ambayo tutawaeleza wenzetu watuelewe na siyo eti tunapiga Nyungu au miujiza. Ni lazima tujue tupo ndani ya dunia ya aina gani.
Magu hatoshi kwenye kile kiti ndo maana ligi za kijinga haziishi
 
Waziri wa mambo ya nchi za nje kuwa muongo na mlaghai kama alivyo Prof. Kabudi ni hatari kwa afya. Waziri ambaye hawazi mbali kuhusu majukumu yake inafikirisha sana.

Nakumbuka aliyoongea kwenye sakata la madini siyo tunayoona sasa.Aidha alitoa uongo wa awamu tatu. Wa majadiliano ya tume, wa tulichotegemea kupata na mwingine wa yanayoendelea sasa. Ilikuwa ni maigizo matupu. Haya leo hayanihusu!

Juzi wakati wa msiba wa mzee Mkapa, tulisema wazi kuwa upo mgogoro wa kidiplomasia ambao ulipelekea ndege ya Kenya kugeuza angani na kuwarudisha wajumbe wa kutoka Kenya waliokuja kuhudhuria mazishi yale. Mbiombio Kabudi akaja na taarifa eti ndege hiyo ilikumbwa na hitilafu, tena alizungumza palepale msibani. Mbiombio akaagiza ubalozi wa Tanzania nchini Kenya kutoa taarifa kama yake. Ila Kenya hawakutoa taarifa yoyote kuhusu tukio lile. Tukasema huku kuwa lipo tatizo ila kama kawaida ya wafuasi wasioelewa wakaendelea kushupaza shingo!

Siku mbili baadaye ukweli umedhihirika! Ukweli umewekwa hadharani kuwa upo mgogoro mkali wa kidiplomasia kati ya Kenya na Tanzania.

Kiukweli siyo uungwana hata kidogo kwa kilichofanyika juzi! Hizo ni siasa za kitoto na sijui nani anazianzisha, kwa malengo gani?

Kwanza mimi nashangaa sana, lini ndege ya Tanzania imewahi kutangaza hata kivutio kimoja tu cha utalii kilichopo Kenya? Mbona ndege za Kenya zimeandika hadi hifadhi ya Ngorongoro? Tumewahi hata kuwapa wakenya asante ya mdomo hadharani kwa kututangazia vivutio vyetu vya utalii huko duniani?

Enzi ya utawala wa JK na Mkapa Kenya na Tanzania walikuwa ndugu. Nakumbuka enzi ya Mkapa kila shughuli ya kitaifa marais wote watatu wa nchi za EAC lazima wawepo. Leo kuna nini? Lazima tukiri kuwa lipo tatizo la kimfumo. Rais Magufuli ana hulka ambayo waziri wake wa mambo ya nje anahitaji kujiongeza sana na kuzuia yale maboko ambayo yakitoka kwake yanaleta madhara.

Mbaya zaidi zipo taarifa kuwa mgogoro kati ya Kenya na Tanzania umetanuka hadi kwa mataifa ya Uganda na Rwanda. Pia na wao wameshaacha kushirikiana na Tanzania kwenye mambo mengi.

Ni lazima tuelewe kuwa Rais wa Tanzania ana tatizo kubwa sana la ubaguzi ambalo alianza kuwaita watu weupe "Mabeberu ( Sifa mbaya sana kwa mkuu wa nchi) . Hivyo anahitaji kuwa na waziri anayejua sana kujiongeza na kumshauri ila siyo huyu Kabudi ambaye anacheza kila ngoma ya Magufuli na kutuletea uongo na ulaghai.

Kama nchi ni lazima tukiri kuwa tunatumia njia ya aina yake kuishi na Corona ambayo ni vigumu sana kuaminika usoni pa mataifa mengi. Lazima tuje na mikakati ambayo tutawaeleza wenzetu watuelewe na siyo eti tunapiga Nyungu au miujiza. Ni lazima tujue tupo ndani ya dunia ya aina gani.
Yani mtoa mada hamnazo kabisa kwanza Awamu za Jk na Mkapa Ndio zilikua pengo kwa Tanzania kuchukuliwa fulsa zake kiuchumi na kazi ya ndege ni usafilishaji sio kutangaza Chamwisho Mabebelu wapo2 na niwengi labda kama huna ufahamu na hilo ndio uta ongea utopolo huo.
Na mwisho wa siku ndio nyio mnao sema watu Ajila ni ngumu akili 2
 
Back
Top Bottom