Vladimir Lenin
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 3,613
- 5,119
Mda mwingine yanapoongelewa haya uwe na akili kijana, nikwambie ata kama utasalimika wewe sawa lkn hutopata bahati ya kuiona maiti ya baba yako wala maiti ya mama yko.ktk wakt kama ndio alitakiwa aoneshe uwezo na hekima zake na sio kukaa kando.Wanainchi wanaomchukia ni kikundi Cha wahuni wa ufipa ila mamilioni ya watanzania watakupa jibu kwenye sanduku la kura uchaguzi ujao
Nimekataa kuwa msukule wa kakikundi ka wahuni wa mtaa wa ufipa[emoji23][emoji1787]Cha ajabu ni wewe kuwa batamzinga
Mkuu mimi sijasoma andiko lako ila nimekuja ku comment moja kwa moja... Wakulaumiwa ni Serikali kwa Asilimia 700 na sio 100... Nakuunga mkono.. Ngoja nikasome saaa nitarudi tena
Tusipotoshane na kugeuzana misukule ya kakikundi Cha wahuni wa mtaa wa ufipaMda mwingine yanapoongelewa haya uwe na akili kijana, nikwambie ata kama utasalimika wewe sawa lkn hutopata bahati ya kuiona maiti ya baba yako wala maiti ya mama yko.ktk wakt kama ndio alitakiwa aoneshe uwezo na hekima zake na sio kukaa kando.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unawaza uchaguzi wakati wenzako tunawaza tunatokaje kwenye hii Corona. Wewe mtu wa ajabu na mbinafsi.Wanainchi wanaomchukia ni kikundi Cha wahuni wa ufipa ila mamilioni ya watanzania watakupa jibu kwenye sanduku la kura uchaguzi ujao
Unaikumbuka 25/10/2015 ulifanya nini?Mkuu mimi sijasoma andiko lako ila nimekuja ku comment moja kwa moja... Wakulaumiwa ni Serikali kwa Asilimia 700 na sio 100... Nakuunga mkono.. Ngoja nikasome saaa nitarudi tena
Hivi Pasaka ya mwaka huu inaisha lini? Maana tuliambiwa kuna mtu yuko likizo ya Pasaka Chato!!Awamu ya tano na ilaaniwe..
Si unaona jamaa amejificha kijijini mpaka leo..
Na bado.
Nakumbuka mkuu... Sio kosa langu ila labda ww ndio ulituangushaUnaikumbuka 25/10/2015 ulifanya nini?
Uchumi wa kati alimaanisha kitu kingine.Unakumbuka uongo wake mwingine wa Uchumi wa kati wakati wakati Watanzania wanaishi kwenye hizi nyumba
View attachment 1423885
Kama siyo wewe basi anakuwa mtu fulani, au ndugu au kikundi fulani cha watu au mamlaka fulani. Jambo halitokei hivi hivi, lazima kuna mtu anahusika na kutuletea janga hili la chattleNakumbuka mkuu... Sio kosa langu ila labda ww ndio ulituangusha
Corona itapita tu Kama yalivyopita majanga mengine Cha muhimu jikingeUnawaza uchaguzi wakati wenzako tunawaza tunatokaje kwenye hii Corona. Wewe mtu wa ajabu na mbinafsi.
Mkuu jana sijui juzi tu wametangaziwa kuwa wa Dar wabaki Dar leo asubuhi Ubungo Terminal hapakanyagiki...….Ndicho kilichotokea kwenye jimbo moja la Italy...……..Watu walikimbilia jimbo lingine wakidhani watakuwa salama kumbe ndio wamepeleka maambukizi..(Hawa wetu wanakimbilia mikoani - pengine vijijini ambako wazee na wale wenye magonjwwa yasiyotibika wameshindikana na kurejeshwa vijijini ndio wapo...………) hatuombei ila tusikilizie tuKama tungekubaliana wote tungeiweka kwenye karantini mikoa yote yenye maambukizi. Hakuna mtu kutoka wala kuingia. Kama ni suala la uchumi tutalijadili baadaye baada ya kumpiga na kumshinda adui. Hivi anakosekana mwenye maamuzi wa kuwaza kama mimi?
Pendekezo langu siyo hilo la kukimbilia mikoani bali la kuzuia kuingia wala kutoka angalau kwa siku 14Mkuu jana sijui juzi tu wametangaziwa kuwa wa Dar wabaki Dar leo asubuhi Ubungo Terminal hapakanyagiki...….Ndicho kilichotokea kwenye jimbo moja la Italy...……..Watu walikimbilia jimbo lingine wakidhani watakuwa salama kumbe ndio wamepeleka maambukizi..(Hawa wetu wanakimbilia mikoani - pengine vijijini ambako wazee na wale wenye magonjwwa yasiyotibika wameshindikana na kurejeshwa vijijini ndio wapo...………) hatuombei ila tusikilizie tu
Nimekuelew mkuu………… Nilikuwa natoa tu angalizo kwa kuzingatia hali ya sasa……..uko sahihi kabisa.Pendekezo langu siyo hilo la kukimbilia mikoani bali la kuzuia kuingia wala kutoka angalau kwa siku 14
ahahahhaa nasikia covid-19 ikonjiani inaitafuta CHATOAwamu ya tano na ilaaniwe..
Si unaona jamaa amejificha kijijini mpaka leo..
Na bado.
Kwani jamaa wa kaugonjwa kadogo amerudi mjini au bado yuko chattle😍😍😃😂🐃Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100% nitawalaani mpaka kaburini
Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo
KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona
PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu Airports
TATU mlikua mnaidharau Corona Rais na Makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona. Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!
NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?
TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe
SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi
Sasa hivi mmeona hali ni mbaya Mloganzila imejaa ndio mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu
Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini