Tatizo la Corona: Wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100%

Tatizo la Corona: Wa kulaumiwa ni Serikali kwa asilimia 100%

Wanainchi wanaomchukia ni kikundi Cha wahuni wa ufipa ila mamilioni ya watanzania watakupa jibu kwenye sanduku la kura uchaguzi ujao
Mda mwingine yanapoongelewa haya uwe na akili kijana, nikwambie ata kama utasalimika wewe sawa lkn hutopata bahati ya kuiona maiti ya baba yako wala maiti ya mama yko.ktk wakt kama ndio alitakiwa aoneshe uwezo na hekima zake na sio kukaa kando.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mda mwingine yanapoongelewa haya uwe na akili kijana, nikwambie ata kama utasalimika wewe sawa lkn hutopata bahati ya kuiona maiti ya baba yako wala maiti ya mama yko.ktk wakt kama ndio alitakiwa aoneshe uwezo na hekima zake na sio kukaa kando.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tusipotoshane na kugeuzana misukule ya kakikundi Cha wahuni wa mtaa wa ufipa
 
Wanainchi wanaomchukia ni kikundi Cha wahuni wa ufipa ila mamilioni ya watanzania watakupa jibu kwenye sanduku la kura uchaguzi ujao
Unawaza uchaguzi wakati wenzako tunawaza tunatokaje kwenye hii Corona. Wewe mtu wa ajabu na mbinafsi.
 
Kama tungekubaliana wote tungeiweka kwenye karantini mikoa yote yenye maambukizi. Hakuna mtu kutoka wala kuingia. Kama ni suala la uchumi tutalijadili baadaye baada ya kumpiga na kumshinda adui. Hivi anakosekana mwenye maamuzi wa kuwaza kama mimi?
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Nakumbuka mkuu... Sio kosa langu ila labda ww ndio ulituangusha
Kama siyo wewe basi anakuwa mtu fulani, au ndugu au kikundi fulani cha watu au mamlaka fulani. Jambo halitokei hivi hivi, lazima kuna mtu anahusika na kutuletea janga hili la chattle
 
Unawaza uchaguzi wakati wenzako tunawaza tunatokaje kwenye hii Corona. Wewe mtu wa ajabu na mbinafsi.
Corona itapita tu Kama yalivyopita majanga mengine Cha muhimu jikinge
 
Kama tungekubaliana wote tungeiweka kwenye karantini mikoa yote yenye maambukizi. Hakuna mtu kutoka wala kuingia. Kama ni suala la uchumi tutalijadili baadaye baada ya kumpiga na kumshinda adui. Hivi anakosekana mwenye maamuzi wa kuwaza kama mimi?
Mkuu jana sijui juzi tu wametangaziwa kuwa wa Dar wabaki Dar leo asubuhi Ubungo Terminal hapakanyagiki...….Ndicho kilichotokea kwenye jimbo moja la Italy...……..Watu walikimbilia jimbo lingine wakidhani watakuwa salama kumbe ndio wamepeleka maambukizi..(Hawa wetu wanakimbilia mikoani - pengine vijijini ambako wazee na wale wenye magonjwwa yasiyotibika wameshindikana na kurejeshwa vijijini ndio wapo...………) hatuombei ila tusikilizie tu
 
Mkuu jana sijui juzi tu wametangaziwa kuwa wa Dar wabaki Dar leo asubuhi Ubungo Terminal hapakanyagiki...….Ndicho kilichotokea kwenye jimbo moja la Italy...……..Watu walikimbilia jimbo lingine wakidhani watakuwa salama kumbe ndio wamepeleka maambukizi..(Hawa wetu wanakimbilia mikoani - pengine vijijini ambako wazee na wale wenye magonjwwa yasiyotibika wameshindikana na kurejeshwa vijijini ndio wapo...………) hatuombei ila tusikilizie tu
Pendekezo langu siyo hilo la kukimbilia mikoani bali la kuzuia kuingia wala kutoka angalau kwa siku 14
 
  • Thanks
Reactions: Mj1
Pendekezo langu siyo hilo la kukimbilia mikoani bali la kuzuia kuingia wala kutoka angalau kwa siku 14
Nimekuelew mkuu………… Nilikuwa natoa tu angalizo kwa kuzingatia hali ya sasa……..uko sahihi kabisa.
 
Tatizo la Corona wa kulaumiwa ni serikali kwa asilimia 100% nitawalaani mpaka kaburini

Nina sababu ya kusema serikali ndo ya kulaumiwa kwa sababu zifuatazo

KWANZA kabisa kipindi mwezi wa pili na wa tatu Corona ilivyoanza kuwa serious ninyi mliendelea kuwapokea watalii na wachina tena bila kificho mkisema kuwa hamtaki kupoteza mapato na watalii kwa sababu ya Corona

PILI ni kwamba mliendelea kuruhusu wageni na safari zikiendelea bila kujali watu wetu watakaoambukizwa mkijimwambafai kwamba mmejizatiti kwa kuwapima watu Airports

TATU mlikua mnaidharau Corona Rais na Makonda walikua wakidharau Corona wakiita kuwa ni kaugonjwa kadogo tu hako na kasiwatishe watanzania huku mkisema ni kaugonjwa kadogo mngekua basi hata mmejiandaa kufanya tafiti ya dawa za asili na kuandaa mazingira ya kukabiliana na Corona. Halafu sasa hivi mnasema tuombe my dear government maombi hayatosaidia chochote mungu hadhihakiwi na wala hapendi unafiki!

NNE hamkufunga mipaka hata mpaka sasa sidhani kama mmefunga sijui mnataka tufe wote?

TANO mliwapa wanasiasa nafasi mkaingiza siasa kwenye ugonjwa mara polepole aite wapinzani Corona mara makonda atoe matamko ya hovyo hovyo sasa hivi mambo yamekua magumu mnasema tuombe maombi hayatosaidia chochote kile nawaambia maana mlikufuru mkasema korona ni kaugonjwa kadogo sana.Mmesahau suala la bashite kumtangaza mtoto wa mbowe kuwa ana Corona na kwamba ni mungu kaleta Corona kwa familia ya Mbowe

SITA hili ni kosa kubwa sana mlificha data za ugonjwa wa Corona sijui mlikua mnamaanisha nini mfano tu mdogo kulipotiwa Corona Zanzibar na mgonjwa mkabisha lakini baadae ikaja kuonekana ni kweli,mlificha sana na sasa mmeona hali ni mbaya hadi waziri anakiri alikua anaficha ficha lakini sasa ameamua kuwa muwazi mmepika data na mnaendelea kuficha maana watu wanakufa wengine ni ndugu zetu kabisa na tena wanakufa kwa Corona mnawazika lakini cha ajabu hairipotiwi

Sasa hivi mmeona hali ni mbaya Mloganzila imejaa ndio mnakumbuka shuka kumekucha watu wameathirika wengi mnoo Corona inatembea mtaani kama nzi mmekumbuka shuka kumekucha watanzania wengi wanaenda kupoteza maisha kwasababu ya uzembe wenu

Wa kulaumiwa ni serikali ya awamu ya tano kwa asilimia 100 na nitawalaani mpaka kaburini
Kwani jamaa wa kaugonjwa kadogo amerudi mjini au bado yuko chattle😍😍😃😂🐃
 
Back
Top Bottom