Jamani hakuna jambo baya kama kukojoa kitandani.na admit,nilikuwa nakojoa kitandani mpaka kwenye miaka 14.kufika 15 ndio nikaacha for good.nikilala naota mkojo umenibana,naenda chooni kukojoa,kumbe naumwaga hapo hapo kitandani. Ilikuwa so embarrassing. Kutaniwa nilishataniwa, ila sikupelekwa hospitali wala nini,baadae nilikuja kuacha.mpaka sasa,sielewi tatizo lilikuwa nini.kama kuanika godoro nje, nilishaanika sana.mtoa mada kuhusu mke wako, I feel her pain,bora uwe unamuamsha amsha usiku.au labda hospitali wanaweza kukusaidia.