Averoes
JF-Expert Member
- Jan 30, 2014
- 985
- 513
Awe anapakaa mafuta ya nazi kwa wingi kitovuni na kisha aweke mpira wa maji ya moto aweke kitovuni yote hayo wakati wa kulala. Pia awache kunywa maji mengi kabla kulalamdogo angu ana hili tatizo yuko form 1 sasa hadi wanataka kumrudisha nyumbani naomba msaada wenu wakuu