Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidole cha kati kinakuhusu!!!!Iyo Ni dalili ya tezi dume, au kansa ya tezi dume, nenda hospital kwa matibab na uchunguz wa izo shida.
Kuna kipimo mbadalaKidole cha kati kinakuhusu!!!!
Kuna kipimo mbadala
Dah utakimbiza wagonjwa, kuna kipimo cha kitaalamDushe?
Dah utakimbiza wagonjwa, kuna kipimo cha kitaalam
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sasa hata kama ni kipimio cha kitaalamu lazima utaingiziwa paipu yenye muundo wa dushe wanakusukumia nalo ndio kipimio.!
Badae utazoea unakuwa unatamani upimwe tena!
Hiyo Kegel Exercise ndiyo ikoje na nawezaje kumfundisha mtoto ilhali mwenyewe siijui? Naomba ufafanuzi zaidi. Asante kwa kujali.Kegel exercise linasaidia kubana misuli ya kibofu.
Lakini pia akiwa anakojoa wakati wowote asikojoe mfululizo aubane aachie aubane aachie.
Hakikisha unasimamia zoezi.
Yaani anaubana sekunde mbili na anaachia sekunde mbili.mpaka amalize mkojo.
Yaani preeeee tap.
Preeeee tap.
Preeee tap.
Preee tap.
Hiyo Kegel Exercise ndiyo ikoje na nawezaje kumfundisha mtoto ilhali mwenyewe siijui? Naomba ufafanuzi zaidi. Asante kwa kujali.
Kwenye kabila letu, mara nyingi,
Unachukua kipolo cha ugali, ana kikojolea, kisha anakila... Fanya kila siku hadi atakapoacha kojoa.
..
Hii hata kama ni mtu mzm ataacha kukojoa.
Kabila gani mkuu?Kwenye kabila letu, mara nyingi,
Unachukua kipolo cha ugali, ana kikojolea, kisha anakila... Fanya kila siku hadi atakapoacha kojoa.
..
Hii hata kama ni mtu mzm ataacha kukojoa.
hahah mkuu hebu kua sirias ikoje hiiKwenye kabila letu, mara nyingi,
Unachukua kipolo cha ugali, ana kikojolea, kisha anakila... Fanya kila siku hadi atakapoacha kojoa.
..
Hii hata kama ni mtu mzm ataacha kukojoa.
Mhhh![emoji87]
Kabila gani mkuu?
Mkuu nipo serious aisee.hahah mkuu hebu kua sirias ikoje hii
Kwenye kabila letu, mara nyingi,
Unachukua kipolo cha ugali, ana kikojolea, kisha anakila... Fanya kila siku hadi atakapoacha kojoa.
..
Hii hata kama ni mtu mzm ataacha kukojoa.