Tatizo la kukosa hamu ya kula

Tatizo la kukosa hamu ya kula

Lily Tony

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2019
Posts
3,198
Reaction score
4,191
Habari za majukumu wakuu,poleni na majukumu ya kila siku.

Wakuu nina changamoto ya kukosa hamu ya kula ,ingawa nina hisi njaa lakini ninakula chakula kidogo sana, nashiba.

Hili limekua tatizo la miaka na miaka lakini kadri siku zinavyoenda hali inazidi tete kiasi nakosa amani,Nitumie nini ili niwe ninapata apetite ya chakula

NOTE:
Umri wangu ni 28,uzito 40 kg,urefu 151cm
Dawa ya minyoo nilitumia mwezi wa 7/2021
 
I've been through the same shit.

Ukiamka asubuhi b4 anything kula tango.

Nilitoka chuo nikarudi home nikawa kula mtihani. Asubuhi sili, mchana nakula alasiri usiku nadeshi. Mama akanipa hiyo ya tango, sijui application yake ila nachokumbuka ilisaidia.
 
I've been through the same shit.

Ukiamka asubuhi b4 anything kula tango.

Nilitoka chuo nikarudi home nikawa kula mtihani. Asubuhi sili, mchana nakula alasiri usiku nadeshi. Mama akanipa hiyo ya tango, sijui application yake ila nachokumbuka ilisaidia.
asante sana mkuu,kesho asubuhi zoezi linaanza
 
Jitahidi kwa kujilazimisha aisee Kg 40 kwa 28yrs ni chache mno.

Ngoja nikuulizie somewhere.
Yani hizo 40kg zimeongezeka hivi karibuni baada ya kutumia uji wa lishe kwa bidii zote.Before nilikua na 39.
Kipindi nikiwa mjamzito clinic ya mwisho. kabla ya kujifungua nilikuwa na 54kg, baada tu ya kujifungua nikarudi kule kule😂
 
Kuna Ke mwenye kilo 40 kweli???..
Kama hudanganyi na hizo ndio kilo zako tatizo lipo hapo basi kwenye Volume ya mwili wako
Nidanganye ili nipate nini mkuu.
Nilichoandika ndio uhalisia,mpaka nimeleta uzi jukwaani,mkuu nimedhamiria kushinda hii hali
 
Aisee mwanzo mtu akiniambia hana hamu ya kula nilikua namshangaa sana mpaka pale nilipopigwa na malaria kali

Inafika wakati unatakiwa unywe dawa na haiwezekani kunywa bila kula, afu msosi haupandi hata kidogo.

Hali hiyo siku zizivyozidi kwenda ikawa chronic mpaka sasa nikawa kila nikinusa harufu ya chakula najiskia vibaya sana

Kilichonisaidia na ambacho naweza kukushauri, piga zoezi, kama pushups lala hata 30 jilazimishe zoezi hamu ya kuja itakuja automatic

Hayo madawa ya kuongeza hamu ya kula nimekunywa sana lakini hayakuleta mabadiliko yeyote, mkuu piga zoezi utaniambia
 
Back
Top Bottom