Tatizo la kukosa hamu ya kula

Tatizo la kukosa hamu ya kula

Yani siku ikatokea nimefikisha hata 45kg,uwii! nitaruka ruka kama ndama kwa furaha😂
😂😂😂 Mwana SUASO tafuta wale jamaa wa Human Nutrition wakupe simbi.
 
Lily pole mama.. fanya kufata mashauri ya wataalum kilo 44 kwa umri wako si nzuri kabisa!!
Hali ya kupoteza hamu ya kula huwatokea wengi hata mimi Kuna kipindi hamu ilikata mpk nikawa najishangaa ila kilo hazijawahi kushuka kiwango hicho!.
Sahivi napakia mpaka naitwa propera..🤣🤣
Halafu kula tu si kula bali kula ukijua unakula nini..?? Anza kucheki unachokula punguza vyakula vya kisasa haraka sana acha kunywa na hizi kemikali za viwandani stop it. Huu ndo muda wa kupiga natural food ambavyo havijafanyiwa manuva ya kutosha,Mimi naimani chakula huwa ni tiba ya vitu vingi sana so hatua ya kwanza cheki milo yako palipo na tatizo badili then cheki hatua nyengine Kama Kuna dawa tumia,naomba na Lita za maji uziongeze halafu chengine jitoe tu ukapime magonjwa lukuki huenda Kuna kitu hakipo sawa mwili.
Asante sana Mr Propera😊,umenipa kitu kingine kipya kichwani mwangu.Nitafanyia kazi na baada ya miezi 2,Mungu akitupa uhai,nitarudi kuleta mrejesho.
 
😂😂😂 Mwana SUASO tafuta wale jamaa wa Human Nutrition wakupe simbi.
Wacha niwatafute aisee,nimedhamiria mpaka ikifika Dec mwaka huu at leats niwe na 45kg.
 
Asante sana Mr Propera😊,umenipa kitu kingine kipya kichwani mwangu.Nitafanyia kazi na baada ya miezi 2,Mungu akitupa uhai,nitarudi kuleta mrejesho.
Nitashukuru ukifanyia kazi immediately,imani yangu ipo kwenye chakula chenyewe huwa kinatibu na kuathiri mwili!,na hiyo ndio huwa tiba ya kwanza coz chakula kinaupa mwili nguvu,madini na ndio msingi pia wa hormones za mwili kupata vichocheo vinavyoendesha mwili.. narudia tena angalia kula yako then ndo uangalie hatua nyengine maana unaweza kupewa dawa lakini zikakuendesha tu maana unakuta unachokula ni kama makapi vitu natural ni vidogo sana!.

Hapa najiuliza kwa hizo kilo mwili wako ukifanya factory reset utabakiwa na ngapi Sasa..☹️
 
Habari za majukumu wakuu,poleni na majukumu ya kila siku.

Wakuu nina changamoto ya kukosa hamu ya kula ,ingawa nina hisi njaa lakini ninakula chakula kidogo sana, nashiba.

Hili limekua tatizo la miaka na miaka lakini kadri siku zinavyoenda hali inazidi tete kiasi nakosa amani,Nitumie nini ili niwe ninapata apetite ya chakula

NOTE:
Umri wangu ni 28,uzito 40 kg,urefu 151cm
Dawa ya minyoo nilitumia mwezi wa 7/2021
Pima HIV
 
Nitashukuru ukifanyia kazi immediately,imani yangu ipo kwenye chakula chenyewe huwa kinatibu na kuathiri mwili!,na hiyo ndio huwa tiba ya kwanza coz chakula kinaupa mwili nguvu,madini na ndio msingi pia wa hormones za mwili kupata vichocheo vinavyoendesha mwili.. narudia tena angalia kula yako then ndo uangalie hatua nyengine maana unaweza kupewa dawa lakini zikakuendesha tu maana unakuta unachokula ni kama makapi vitu natural ni vidogo sana!.

Hapa najiuliza kwa hizo kilo mwili wako ukifanya factory reset utabakiwa na ngapi Sasa..☹️
Mkuu nimegundua jambo,nimegundua wapi ninakosea sio tu kwenye aina ya chakula,lakini pia katika ratiba yangu ya ulaji,Asante sana.

😂😂 Nilienda jkt nikiwa na 39 kg na kambi nzima mimi tu ndio nilikua na uzito mdogo,afande akaniambia "Umekuja Na kilo zako 39,utarudi kwenu na 20" aisee nililia sana nikahisi kifo kiko mbele yangu.
 
Kwa ufuatiliaji ni hiivi

18.5 mpaka 24.5 BMI ni kawaida huyu lishe yake ni nzuri Tu.

BMI chini ya hapo lishe duni ,na Zaidi ya hapo wewe ni lishe mbovu ( overweight to obesity)

Dada yangu upo kwenye 17. 5 kg/cmsq.

Kwa hiyo unamalnutrition .

Ushauri
Andaa mpango wa Kula baada ya Kula usile vitu vitu hapo katikati maana mnapenda mno vikaranga , JoJo , sijui juice hatari tupu
Acha kabisa kutumia unga WA lishe Kwa sababu utadidimiza digestive system yako

Kula vyakula vyenye high carb itakusaidia Sana .
 
Wachangiaji mmepotosha sana huu uzi
Kwa mfano nutrition status in adult haipimwi uzito kwa umri ni uzito kwa kwa urefu(m) hapo unatafuta kitu inaitwa bmi
Pili apetite ya kula inakuwa regurgited na hormones leptin na greilin plus vitami
Ulaji wa tango pia unaweza ku worsen condition sababu tango na soluble diatary fibres ambayo ina prevent maximum absorption ya carbohydrates so you end up with adulthood malnutrition or severe underweight
Kama una shida yyt ya lishe individually nicheki
Ila comment nyingi za hapa zinapotosha
 
Kwa ufuatiliaji ni hiivi

18.5 mpaka 24.5 BMI ni kawaida huyu lishe yake ni nzuri Tu.

BMI chini ya hapo lishe duni ,na Zaidi ya hapo wewe ni lishe mbovu ( overweight to obesity)

Dada yangu upo kwenye 17. 5 kg/cmsq.

Kwa hiyo unamalnutrition .

Ushauri
Andaa mpango wa Kula baada ya Kula usile vitu vitu hapo katikati maana mnapenda mno vikaranga , JoJo , sijui juice hatari tupu
Acha kabisa kutumia unga WA lishe Kwa sababu utadidimiza digestive system yako

Kula vyakula vyenye high carb itakusaidia Sana .
Asante pia kwa ushauri,be blessed mkuu
 
Mkuu nimegundua jambo,nimegundua wapi ninakosea sio tu kwenye aina ya chakula,lakini pia katika ratiba yangu ya ulaji,Asante sana.

😂😂 Nilienda jkt nikiwa na 39 kg na kambi nzima mimi tu ndio nilikua na uzito mdogo,afande akaniambia "Umekuja Na kilo zako 39,utarudi kwenu na 20" aisee nililia sana nikahisi kifo kiko mbele yangu.
🤣🤣🤣 Pole Sana dah! Yani kilo 39! Unajua nakuonea huruma sana. Fanya jitihada mama hili Jambo lipe kipaumbele..
 
Habari za majukumu wakuu,poleni na majukumu ya kila siku.

Wakuu nina changamoto ya kukosa hamu ya kula ,ingawa nina hisi njaa lakini ninakula chakula kidogo sana, nashiba.

Hili limekua tatizo la miaka na miaka lakini kadri siku zinavyoenda hali inazidi tete kiasi nakosa amani,Nitumie nini ili niwe ninapata apetite ya chakula

NOTE:
Umri wangu ni 28,uzito 40 kg,urefu 151cm
Dawa ya minyoo nilitumia mwezi wa 7/2021
Naomba nikuoe.


Maana utanipunguzia sana Bajeti ya chakula.
 
🤣🤣🤣 Pole Sana dah! Yani kilo 39! Unajua nakuonea huruma sana. Fanya jitihada mama hili Jambo lipe kipaumbele..
uko sahihi ukinihurumia mkuu,na mpaka nimekuja jukwaani,nimeshikika ndugu yangu😁.Huu ni uzi wangu wa pili baada ya ule wa "Miche ya Matunda".
Nimeona kuendelea kukaa kimya haitanisaidia kitu
 
Back
Top Bottom