asante sana mkuu,kesho asubuhi zoezi linaanzaI've been through the same shit.
Ukiamka asubuhi b4 anything kula tango.
Nilitoka chuo nikarudi home nikawa kula mtihani. Asubuhi sili, mchana nakula alasiri usiku nadeshi. Mama akanipa hiyo ya tango, sijui application yake ila nachokumbuka ilisaidia.
Kuna Ke mwenye kilo 40 kweli???..NOTE:
Umri wangu ni 28,uzito 40 kg,urefu 151m
Dawa ya minyoo nilitumia mwezi wa 7/2021
Yaan. Nina rafiki ni mwembamba sanaa na ana kg 44. Nimefikiria hizo 40Kg nakosa jibu.Kuna Ke mwenye kilo 40 kweli???..
Kama hudanganyi na hizo ndio kilo zako tatizo lipo hapo basi kwenye Volume ya mwili wako
Yani hizo 40kg zimeongezeka hivi karibuni baada ya kutumia uji wa lishe kwa bidii zote.Before nilikua na 39.Jitahidi kwa kujilazimisha aisee Kg 40 kwa 28yrs ni chache mno.
Ngoja nikuulizie somewhere.
Nidanganye ili nipate nini mkuu.Kuna Ke mwenye kilo 40 kweli???..
Kama hudanganyi na hizo ndio kilo zako tatizo lipo hapo basi kwenye Volume ya mwili wako
151m
m or cm?151m