Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pata kipimo cha: sex hormones, salpingography, wakisema hakuna tatizo basi ndipo utafikia kuanza kutumia madawa ya kushtua mayai, japo bado kuna vipimo zaidi ya hivyo unaweza kuendelea navyo mpaka kujua wapi kuna tatizo.Habari, mimi ni mwanamke wa miaka 25 na nina tatizo la kutopata hedhi. Inaweza kupita miezi 3 bila kuingia period na sijui tatizo ni nn. Nilishawahi kwenda hospital na nikapimwa ultrasound lakini bado shida haikuonekana. Kwa yeyote mwenye ushauri au hospital anayoweza kurecommend tafadhali naomba msaada.
Waongo haisaidii ni biasharaDalili ya hormonal imbalance tumia kirutubisho kiitwacho REFINED YUNZHI ESSENCE au njoo PM kwa maelezo zaidi.
Njoo PM nikuelekeze upone.Habari, mimi ni mwanamke wa miaka 25 na nina tatizo la kutopata hedhi. Inaweza kupita miezi 3 bila kuingia period na sijui tatizo ni nn. Nilishawahi kwenda hospital na nikapimwa ultrasound lakini bado shida haikuonekana. Kwa yeyote mwenye ushauri au hospital anayoweza kurecommend tafadhali naomba msaada.
Hata mimi nisaidieNjoo PM nikuelekeze upone.
You need to see a psychologist mpendwa, uko na shida mahali halafu katika maisha usipende kuchukulia kila kitu simple simple tu it will cost you somedays mpendwa.Mimi pia nina hili tatizo, jinsi hedhi inavyonikera huwa naona fresh tu
I recommend you do some checkups,its not a good sign for a woman..Mimi pia nina hili tatizo, jinsi hedhi inavyonikera huwa naona fresh tu
Nimeku PMHabari, mimi ni mwanamke wa miaka 25 na nina tatizo la kutopata hedhi. Inaweza kupita miezi 3 bila kuingia period na sijui tatizo ni nn. Nilishawahi kwenda hospital na nikapimwa ultrasound lakini bado shida haikuonekana. Kwa yeyote mwenye ushauri au hospital anayoweza kurecommend tafadhali naomba msaada.
Hapana, inabidi uende ukacheck hospital ili usije ukapata shida huko mbeleni..... ni bora kuliko tibaMimi pia nina hili tatizo, jinsi hedhi inavyonikera huwa naona fresh tu
duh dada hilo ni tatizo usilichukulie poa litaftie ufumbuziMimi pia nina hili tatizo, jinsi hedhi inavyonikera huwa naona fresh tu
Duuh psychologist tenaYou need to see a psychologist mpendwa, uko na shida mahali halafu katika maisha usipende kuchukulia kila kitu simple simple tu it will cost you somedays mpendwa.
I willI recommend you do some checkups,its not a good sign for a woman..
NitajitahidiHapana, inabidi uende ukacheck hospital ili usije ukapata shida huko mbeleni..... ni bora kuliko tiba
Dah kama ni tatizo limeshanikula limenimaliza maana lipo tangu navunja ungoduh dada hilo ni tatizo usilichukulie poa litaftie ufumbuzi
Dah kama ni tatizo limeshanikula limenimaliza maana lipo tangu navunja ungo