Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Poa nitafanya hivyoBado muda unao, nenda kapate tiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa nitafanya hivyoBado muda unao, nenda kapate tiba
unaweza kuona umechelewa tiba lakini kumbe ukawa umewahi vile vile kajaribu kutafta tiba mamyDah kama ni tatizo limeshanikula limenimaliza maana lipo tangu navunja ungo
unaweza kuona umechelewa tiba lakini kumbe ukawa umewahi vile vile kajaribu kutafta tiba mamy
Sorry, dada ningependa kujua tatzo lako ulilipatia ufumbuzi, maana huu uzi una lingana na kinachomtokea gf wang kwa sasa,?? Ningependa kujua uli solve vip? Asante23yrs
acha kutumia uzazi wa mpango either kwa kutumia vidonge au sindanoMiaka 23;pia mwezi wa kumi nilimwachisha MTT matiti ila nilianza kuingia bleed baada ya miezi sita na ilifika mwezi wa **** sikuona siku zangu
Ina maana anaweza kumeza au kutafunaMueleweshe vizuri how to test
Asante mkuu, naomba uniulizie jina la huo mti tafadhali[emoji120]Pole Sana Kwa Changamoto Yako
Utapata Ufumbuzi Soon
Kule Kilimanjaro Kuna Mti Ingawa Jina Nimelisahau
Unachukua Magome Yake Unachemsha Na Maziwa Fresh Unakunywa Tatizo Linakwisha
Tunaomba jina la magome ni shida kubwa hiiPole Sana Kwa Changamoto Yako
Utapata Ufumbuzi Soon
Kule Kilimanjaro Kuna Mti Ingawa Jina Nimelisahau
Unachukua Magome Yake Unachemsha Na Maziwa Fresh Unakunywa Tatizo Linakwisha
Nimeshamuuliza Maana Yeye Anapatikana Sanya Juu Huko Sehemu Moja Inaitwa Namwai Akinipa Jina Lake Nitaweka Hapa Siyo Mambo Ya PMAsante mkuu, naomba uniulizie jina la huo mti tafadhali[emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hilo tatizoni la kuzaa jumla au ni tatizo la kutoona siku tu ila kuzaa unaweza?
Habar wakuu, nina shida ya kutoona siku zangu za hedhi mpaka nimeze dawa za kunisaidia kuona karibu mwaka wa 10 sasa nishafanya vipimo vingi nishazunguka mahospitalin ila tatizo haliishi, sina mtoto hata mmoja nina miaka 30 sasa, naomba mwenye kujua dawa ushauri mnisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app