Tatizo la kurudiwa kutangazwa kwa nafasi za kazi za Assistant Lecturers

Tatizo la kurudiwa kutangazwa kwa nafasi za kazi za Assistant Lecturers

Sasa practical sessions za watu afya unazifaham??
Prac za kupasua simbilisi au 😀😀😀😀Hivi wewe unazijua Prac boss??
Hebu chungulia hii prac boss
1-s2.0-S0960148114007575-fx1.jpg
 
Ww ungekua umeweza usingeuliza muda wa status kubadilika psrs
[emoji23][emoji23][emoji23]@ mdau anaulizia status kubadilika,,wakt ni kitu wanachokijua prps tu [emoji23][emoji23] Mpka kutoboa ni kazi sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23]@ mdau anaulizia status kubadilika,,wakt ni kitu wanachokijua prps tu [emoji23][emoji23] Mpka kutoboa ni kazi sana
Na hatoboi huyuu kwsbb ye si anajikuta mlamba asali kumbe mlamba vumbi
 
Na hatoboi huyuu kwsbb ye si anajikuta mlamba asali kumbe mlamba vumbi
Nilishakueleza boss, mimi sio level yako ya kuomba ajira. Mimi ndio natoa ajira. Acha dharau. Sio muda nitawakusanya wanajamii forum wanao lia ajira kama ninyi na kuwaajiri mnifanyie kazi zangu.
 
Mjadala murua sana huu.... kwa maoni yangu GPA ni kigezo cha awali kutambua uwezo wa mtu kitaaluma.
 
Back
Top Bottom