msumeno
JF-Expert Member
- Aug 3, 2009
- 2,826
- 1,734
Anzia hospital kwanza, kuhusu huyo specialist nenda hata Mwananyamala hospitak au pale namanga hospital ENT wake hua anapatikana kila jumatatu saa nane mchana nenda one day before kuweka appointment kumuona specialist ni sh.30000 kama sijakosea..... kama mfuko hauko poa nenda hospitali za serekari ... harufu mbaya mdomoni ni kero kwako na kwa wengine na inaweza hata kukukosesha kazi na mengineyo mengi