Pre GE2025 Tatizo la Lissu ni tishio kwa wenye mirija. Hawataki ikatwe. Na ukweli ni kwamba akishinda itakatwa. Undugu na kujuana mwisho!

Pre GE2025 Tatizo la Lissu ni tishio kwa wenye mirija. Hawataki ikatwe. Na ukweli ni kwamba akishinda itakatwa. Undugu na kujuana mwisho!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Dadadeki!

Wajumbe pambaneni kwa kweli. Kama mnajijua mpo kwa mazoea zoea na kupenda kuendeleana.

Au kupeana peana vinafasi hata kama hamna uwezo Basi hakikishenj huyu Lisu hapiti.

Mimi sijui mtoto wa Mwenyekiti.
Sijui mtoto wa muasisi.

Sijui hawara wa kiongozi Fulani nipewe viti maalumu.

Sijui Mimi ni rafiki wa mjumbe wa kamati kuu.

Hakuna hiyo.

Kama huna sifa utakatwa shingo. Wapewe wenye sifa.

Lisu keshasema mambo ya kujuana Juana, sijui tumetoka wote Rombo au tumetoka wote Meatu haipo hiyo.

Nawaambia UKWELI, Lisu sio mtu wa aina hiyo. Ooohoo!

Kama mmezoea undugunization sijui nepotism nawashauri msimchague huyo Lisu. Mtakuja kumkana.

Lisu hataki machawa.
Lisu anataka watu Pure.

Mtajikuta mnagombana na Mwenyekiti wenu mpya kama mnatabia zisizo na kichwa Wala miguu.

  • Wapenda Dezo
  • Wapenda kubebwa
  • Watembelea majina ya watu.
  • Machawa.
  • Wajasiriamali siasa.

Msimchague Lissu hatawafaa nawahakikishieni.

Haya!
 
Mnajitahidi mnooooo kuandika KUHUSU CHADEMA! Tunapokea maoni yenu mema na mabaya! Tutavuka salama.
 
Kuna MTU ananasa
20241206_143514.jpg
 
Lissu anapigwa spana chadema na ccm, shida kubwa anapinga wizi, rushwa na ufisadi.Pia ni muwazi mno, Viongozi waandamizi wa chadema wengi wanalialia kwa mbowe Ili waweze kupata nafasi za uteuzi.Lissu akishinda, kutakuwa na mabadiliko makubwa Sana chadema
 
Undugunization ni ngumu kuuondoa hata wewe katika Kampuni yako ya Mtibeli Publishers umeweka ndugu kutoka ukweni Kwa Binti Kimosso.

Umewapa Kazi

😁
 
Wajumbe wanapaswa kujua, uongozi mbovu wa mbowe ndo umetufikisha hapa, hivo wanapaswa kufanya maamuzi magumu ya kumnyoa mwamba.
Hata kama watagawa rushwa, kura ni Siri, kura ziende kwa lissu.Bila lissu hakuna jipya chadema
 
Jamaa hafai,unampa kitu anyamaze,
Anaweza chukua na akutangaze🤣🤣🥴
 
Dadadeki!

Wajumbe pambaneni kwa kweli. Kama mnajijua mpo kwa mazoea zoea na kupenda kuendeleana.

Au kupeana peana vinafasi hata kama hamna uwezo Basi hakikishenj huyu Lisu hapiti.

Mimi sijui mtoto wa Mwenyekiti.
Sijui mtoto wa muasisi.

Sijui hawara wa kiongozi Fulani nipewe viti maalumu.

Sijui Mimi ni rafiki wa mjumbe wa kamati kuu.

Hakuna hiyo.

Kama huna sifa utakatwa shingo. Wapewe wenye sifa.

Lisu keshasema mambo ya kujuana Juana, sijui tumetoka wote Rombo au tumetoka wote Meatu haipo hiyo.

Nawaambia UKWELI, Lisu sio mtu wa aina hiyo. Ooohoo!

Kama mmezoea undugunization sijui nepotism nawashauri msimchague huyo Lisu. Mtakuja kumkana.

Lisu hataki machawa.
Lisu anataka watu Pure.

Mtajikuta mnagombana na Mwenyekiti wenu mpya kama mnatabia zisizo na kichwa Wala miguu.

Wapenda Dezo
Wapenda kubebwa
Watembelea majina ya watu.
Machawa.
Wajasiriamali siasa.
Msimchague Lisu hatawafaa nawahakikishieni.

Haya!
Mchagueni huyo ndio anafaa kwa mazingira ya sasa na kwa mazingira ya siasa
 
Dadadeki!

Wajumbe pambaneni kwa kweli. Kama mnajijua mpo kwa mazoea zoea na kupenda kuendeleana.

Au kupeana peana vinafasi hata kama hamna uwezo Basi hakikishenj huyu Lisu hapiti.

Mimi sijui mtoto wa Mwenyekiti.
Sijui mtoto wa muasisi.

Sijui hawara wa kiongozi Fulani nipewe viti maalumu.

Sijui Mimi ni rafiki wa mjumbe wa kamati kuu.

Hakuna hiyo.

Kama huna sifa utakatwa shingo. Wapewe wenye sifa.

Lisu keshasema mambo ya kujuana Juana, sijui tumetoka wote Rombo au tumetoka wote Meatu haipo hiyo.

Nawaambia UKWELI, Lisu sio mtu wa aina hiyo. Ooohoo!

Kama mmezoea undugunization sijui nepotism nawashauri msimchague huyo Lisu. Mtakuja kumkana.

Lisu hataki machawa.
Lisu anataka watu Pure.

Mtajikuta mnagombana na Mwenyekiti wenu mpya kama mnatabia zisizo na kichwa Wala miguu.

Wapenda Dezo
Wapenda kubebwa
Watembelea majina ya watu.
Machawa.
Wajasiriamali siasa.
Msimchague Lisu hatawafaa nawahakikishieni.

Haya!
Binti kimoso kapige kura acha kelele
 
Back
Top Bottom