Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Najua wanadandia lile mbeleko la waenguziHawatakubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Najua wanadandia lile mbeleko la waenguziHawatakubali
Hamna kukwama hadi kielewekeBado hamwoni mmeshakwama?
Hatujakwama. Lisu hawezi kumshinda Mh Mbowe kwenye sanduku la kura. Na hata uchaguzi ukiwa fair kabisa Lisu kwa tabia yake atapinga matokeo. Hapo ndio nina hofu nako....Bado hamwoni mmeshakwama?
Huyu ndo anapaswa kupewa chamaJamaa hafai,unampa kitu anyamaze,
Anaweza chukua na akutangaze🤣🤣🥴
SanaHuyu ndo anapaswa kupewa chama
Lissu ni JPM aliyechangamka! Ni mtu sahihi katika wakati sahihi.Dadadeki!
Wajumbe pambaneni kwa kweli. Kama mnajijua mpo kwa mazoea zoea na kupenda kuendeleana.
Au kupeana peana vinafasi hata kama hamna uwezo Basi hakikishenj huyu Lisu hapiti.
Mimi sijui mtoto wa Mwenyekiti.
Sijui mtoto wa muasisi.
Sijui hawara wa kiongozi Fulani nipewe viti maalumu.
Sijui Mimi ni rafiki wa mjumbe wa kamati kuu.
Hakuna hiyo.
Kama huna sifa utakatwa shingo. Wapewe wenye sifa.
Lisu keshasema mambo ya kujuana Juana, sijui tumetoka wote Rombo au tumetoka wote Meatu haipo hiyo.
Nawaambia UKWELI, Lisu sio mtu wa aina hiyo. Ooohoo!
Kama mmezoea undugunization sijui nepotism nawashauri msimchague huyo Lisu. Mtakuja kumkana.
Lisu hataki machawa.
Lisu anataka watu Pure.
Mtajikuta mnagombana na Mwenyekiti wenu mpya kama mnatabia zisizo na kichwa Wala miguu.
- Wapenda Dezo
- Wapenda kubebwa
- Watembelea majina ya watu.
- Machawa.
- Wajasiriamali siasa.
Msimchague Lissu hatawafaa nawahakikishieni.
Haya!
Mambo ni Moto Moto🤣😂Haahaa
ombaomba atakata mrija wa nani bana wewe gentleman?Dadadeki!
Wajumbe pambaneni kwa kweli. Kama mnajijua mpo kwa mazoea zoea na kupenda kuendeleana.
Au kupeana peana vinafasi hata kama hamna uwezo Basi hakikishenj huyu Lisu hapiti.
Mimi sijui mtoto wa Mwenyekiti.
Sijui mtoto wa muasisi.
Sijui hawara wa kiongozi Fulani nipewe viti maalumu.
Sijui Mimi ni rafiki wa mjumbe wa kamati kuu.
Hakuna hiyo.
Kama huna sifa utakatwa shingo. Wapewe wenye sifa.
Lisu keshasema mambo ya kujuana Juana, sijui tumetoka wote Rombo au tumetoka wote Meatu haipo hiyo.
Nawaambia UKWELI, Lisu sio mtu wa aina hiyo. Ooohoo!
Kama mmezoea undugunization sijui nepotism nawashauri msimchague huyo Lisu. Mtakuja kumkana.
Lisu hataki machawa.
Lisu anataka watu Pure.
Mtajikuta mnagombana na Mwenyekiti wenu mpya kama mnatabia zisizo na kichwa Wala miguu.
- Wapenda Dezo
- Wapenda kubebwa
- Watembelea majina ya watu.
- Machawa.
- Wajasiriamali siasa.
Msimchague Lissu hatawafaa nawahakikishieni.
Haya!
ombaomba atakata mrija wa nani bana wewe gentleman?
hana mipango ana mdomo tu nani atababaika nae huyo,
anajihangaisha tu na labda kujifurahisha but ukweli ni kwamba hakubaliki kabisa ndani ya chama chake, na kabisa hachaguliki mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema 🐒
huna watu, ni huna watu tu hakuna muujiza wala hakuna haja kuja kujipa matumani hewa mbele za wadau,Wajumbe watawashangaza.