Pre GE2025 Tatizo la Lissu ni tishio kwa wenye mirija. Hawataki ikatwe. Na ukweli ni kwamba akishinda itakatwa. Undugu na kujuana mwisho!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Lissu ni JPM aliyechangamka! Ni mtu sahihi katika wakati sahihi.
 
ombaomba atakata mrija wa nani bana wewe gentleman?

hana mipango ana mdomo tu nani atababaika nae huyo,

anajihangaisha tu na labda kujifurahisha but ukweli ni kwamba hakubaliki kabisa ndani ya chama chake, na kabisa hachaguliki mbele ya wajumbe wa mkutano mkuu Taifa wa chadema 🐒
 

Wajumbe watawashangaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…