Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Sawa mkuu asante kwa somo lako.VP na Hawa fungus wa pembeni ya mapaja?na VP vile vishilingi vinawatokea sana watoto kichwani?dawa hii hii itatibu?

Pia nisaidie..tukienda hospital wanasema tatizo lipo kwenye damu..na wewe unasema tupake kwa nje!!itatibu VP?naomba nisaidie.

Pia kuna Jamaa yangu anatatizo la lachen pranus is like fungus but ni skin infections ambao imemshambulia sana kuanzia mapajani..VP anaweza paka hiyo?kwa muda huu anatumia dawa inaitwa NADOXIN cream kupaka na vidonge vya prednsoline.

Asante.
cream za 2000 qu cjui 3000 haziweki komesha tatizo LA fungus kwan dawa ambayo zinawamaliza ni fluconazole tabs 200mg na sio 150mg kama wanazowapatia au zingine wanazokuwa wanawapa....but kidonge kimoja ni 2000 almost but naomba ufanye mchanganyo huo kama nilivokuelekeza then bad a ya two weeks nitafute PM halafu unipe mrejesho zaid....prednosolone haiwdz simply bcoz ni slow reacting kama zilivo cotrimazole au micobazole yan ni very very slow reacting drugs na kumbuka fungus wanashamili sana sehemu yenye joto LA 40°c ambalo almost lipo kwenye mapaja tofaut na joto LA mwili LA 37°c so yan ndo mana wengi wanahangaika sana na fungus wa sehemu za siri ni kwa sababu kwanza joto LA kule linawafanye wazaliane kwa las zaidi

pili joto la Kyle linawafanye wadevelop drug resistant na dawa hizo ambZo ni slow reacting but tumia septrin mchanganyo kama utaona hata DOA lililobaki bad a ya kuanzia week mbili na zaidi...utakuwa kuniambia unless utatumia pesa ndefu na hutaweza kupona.....kinachofanya fungus wasipone ni kwa sababu cell membrane yako inafanana na cell membrane ya cell zetu so Mara nying wanapoinvade skin areas huwa waningia deep skin surface na kuwaua inakuwa ni ngumu mpka utumie septrin ambayo imeundwa special kwa bacterial +fungal infection kwan yenyew itawaua wale fungus na kuspare your normal skin cells.

kuhusu mwenzio mshauri atumie kwanza mkologo huo niliokuambia halafu mwambie apunguze kutumia dawa nying za fungs kwa wakat moja kwan unapotumia dawa za kila a in a ndo unawafanye wadevelop drug resistant so kuwaua utakuwa ngumu mpka tukuchukue vipimo vya drug sensitivity in relation to specific fungal infection ambayo ni garama xana hutaweza afford.

Fanya kama nilivotoa maelekezo na halima utarudisha feedback nzuri
 
Thanks chief.inshalaah nitarejea baada ya wiki mbili na mrejesho
 
fangas za ukeni je?
nazo huo mchanganyiko ni dawa?
fungus wa uken wanaitwa candidiasis na WAP waqaponi kizembe mpka utumie dawa ya fluconazole 200mg na sio candiatat au miconazole au ketoconazole au gentriderm sijui gentrisone au sonaderm au griseofulvin au cjui amphotelicin B au sulpha drug..pale ni fluconazole 200mg asikupe nyingine but kama utashindwa tumia hiyo ya septrin kama nilivoelwkeza then utafanikiwa...pia hakikisha nguo za ndani ni safi na anika kwa jua Kali kila ufuapo na piga pass hizo nguo za ndani...

usiposhugulikia mapema fungus wa sehem za siri huwa ni hatari sana wanashambulia mirija ya kizazi na badae unaweza kosa kizazi au kupata fetal abortion unnecessarily...watibu waishe. I hatari sana ..
 
tatizo LA fungus limekuwa tatizo kubwa sana yan watu wanamwaga pesa zao kwa kununua dawa za kila INA lakini WAP...yan ukitaka kuamini jarib kwenda kila duka LA dawa unalolijua utaishia kupewa gresiofulvin,amphotelicin B,ketoconazole tabs na cream yake, fluconazole n.k..lakini kiukweli hizo dwa ni slow reacting drugs compared na fungal resistivity...kuna dawa kama fluconazole 200gm na Tarbenafile ndizo zinaweza kabiliana na tatizo hill but ni so expensive sana kwa mf .fluconazole 200gm inauzwa kidonge kimoja 2000 na unatakiwa utumie dozi moja complete yenye vidonge 15 so u can see ver very expensive...na ukiajidanganya kutumia vidonge 7 hutapona mpka umalize dozi...hata kwa terbinafile napo ni hivo hivo kama unaweza nenda medical shop mwambie akupe fluconazole 200 gm na sio 150gm yan hapo rudi unipe jibu na usidanganywe kupewa 150 gm ujue Aziponi...

but pia kuna hi I dawa ambayo ndo the best than ever known to most of people...yan watu wanakimbilia kununua dawa za fungas lakini wahaponi...fungus wanapovami mwili wako ni ngumu kutoka kama mwili wako utakuwa na chunus mgongoni au sehemu fungus zilipo...pale kunakuwa na multiple infection au utapata double infection ambayo kwa sasa tuliosomea mambo a skin I diseases au dermatologist tunaita una bacterial fungal infection so kama una MBA au fungas zilizoshindikana usitumie tena dawa yoyote ile ya fungas ila kuna dawa moja hivi ambayo kiukweli ndo itamaliza kila kitu inaitwa Septrin....

chukua septrin za 1000 halfu chukua mafuta madgo ya 300 aina ya baby care au Vaseline..(tafadhali usichanganye na lotion)
saga ile dawa au vile vidonge vyote mpka hakikisha vimekuwa unga haswa...
halafu changanyana mafuta mgando yako kwenye kikope like ..hakikisha unafanya mkologo wa maana...

then ukimaliza use unajipaka asbuhi kila unapomaliza kuoga unaenda kufnya mishe zako halafu jioni unaoga tena kisha unapaka tena...
yani for sure I give you two weeks hakuna hata DOA litakalobaki hapo na utakuja kutueleza juu ya maendeleo yako..

ukiona hujapona fungas badaa ya hiyo kazi bas namba uje hapa JF na azisha Uzi mwingine kwa kunitaji jina langu ili mnihoji juu ya fake advice I give you...
for sure hutaamini machoni mwako yani ni dawa itakayokugalimu kama 1000 lakini utakuwa umepona milele narudia tena milele na milele badala ya kuendelea kutumia dawa ambazo ni garama kubwa sana lakini hakuna lolote...only septrin is the final drug of choice for bacterial fungal infection...
naomba kuanzi Leo usinunue dawa yoyote ile ya fungal make kwanza izo dawa ni very very toxic sana kadri unapozidi kuzitumia..wale wataalamu wa afya watakubaliana na Mimi kuwa ketoconazole is the best liver inducing toxic drug na Mara nying husababisha kidney failure kwa akina mama wajawazito hata felt death can occur..ndo mana tumeitoa kwenye normal drug routine uses...

cha msingi ndg yangu kafanya kama nilivokuambia na wengine ambao mlikuwa hamjui juu ya siri kubwa ya septrin kutibu chronic fungal infections including systemic spread au local spread ila dawa take ndo hiyo..
nakutakia mafanikio mema mkuu...
uaiaite kunipa mrejesho ...

Shikamoo! maelezo yako mazuri sans
 
tatizo LA fungus limekuwa tatizo kubwa sana yan watu wanamwaga pesa zao kwa kununua dawa za kila INA lakini WAP...yan ukitaka kuamini jarib kwenda kila duka LA dawa unalolijua utaishia kupewa gresiofulvin,amphotelicin B,ketoconazole tabs na cream yake, fluconazole n.k..lakini kiukweli hizo dwa ni slow reacting drugs compared na fungal resistivity...kuna dawa kama fluconazole 200gm na Tarbenafile ndizo zinaweza kabiliana na tatizo hill but ni so expensive sana kwa mf .fluconazole 200gm inauzwa kidonge kimoja 2000 na unatakiwa utumie dozi moja complete yenye vidonge 15 so u can see ver very expensive...na ukiajidanganya kutumia vidonge 7 hutapona mpka umalize dozi...hata kwa terbinafile napo ni hivo hivo kama unaweza nenda medical shop mwambie akupe fluconazole 200 gm na sio 150gm yan hapo rudi unipe jibu na usidanganywe kupewa 150 gm ujue Aziponi...

but pia kuna hi I dawa ambayo ndo the best than ever known to most of people...yan watu wanakimbilia kununua dawa za fungas lakini wahaponi...fungus wanapovami mwili wako ni ngumu kutoka kama mwili wako utakuwa na chunus mgongoni au sehemu fungus zilipo...pale kunakuwa na multiple infection au utapata double infection ambayo kwa sasa tuliosomea mambo a skin I diseases au dermatologist tunaita una bacterial fungal infection so kama una MBA au fungas zilizoshindikana usitumie tena dawa yoyote ile ya fungas ila kuna dawa moja hivi ambayo kiukweli ndo itamaliza kila kitu inaitwa Septrin....

chukua septrin za 1000 halfu chukua mafuta madgo ya 300 aina ya baby care au Vaseline..(tafadhali usichanganye na lotion)
saga ile dawa au vile vidonge vyote mpka hakikisha vimekuwa unga haswa...
halafu changanyana mafuta mgando yako kwenye kikope like ..hakikisha unafanya mkologo wa maana...

then ukimaliza use unajipaka asbuhi kila unapomaliza kuoga unaenda kufnya mishe zako halafu jioni unaoga tena kisha unapaka tena...
yani for sure I give you two weeks hakuna hata DOA litakalobaki hapo na utakuja kutueleza juu ya maendeleo yako..

ukiona hujapona fungas badaa ya hiyo kazi bas namba uje hapa JF na azisha Uzi mwingine kwa kunitaji jina langu ili mnihoji juu ya fake advice I give you...
for sure hutaamini machoni mwako yani ni dawa itakayokugalimu kama 1000 lakini utakuwa umepona milele narudia tena milele na milele badala ya kuendelea kutumia dawa ambazo ni garama kubwa sana lakini hakuna lolote...only septrin is the final drug of choice for bacterial fungal infection...
naomba kuanzi Leo usinunue dawa yoyote ile ya fungal make kwanza izo dawa ni very very toxic sana kadri unapozidi kuzitumia..wale wataalamu wa afya watakubaliana na Mimi kuwa ketoconazole is the best liver inducing toxic drug na Mara nying husababisha kidney failure kwa akina mama wajawazito hata felt death can occur..ndo mana tumeitoa kwenye normal drug routine uses...

cha msingi ndg yangu kafanya kama nilivokuambia na wengine ambao mlikuwa hamjui juu ya siri kubwa ya septrin kutibu chronic fungal infections including systemic spread au local spread ila dawa take ndo hiyo..
nakutakia mafanikio mema mkuu...
uaiaite kunipa mrejesho ...
1.Kwanza unaonekana ni mtaalamu unayajua vizuri madawa

2. Pili unaonekana si mchoyo wala tapeli kwa kuweka dawa hadarani ili kila mtu mwenye tatizo kama hilo au likimtokea ajaribu.

3. Tatu umeeleza namana ya kutengeneza mchanganyiko huo kwa lugha rahisi ambayo hata sisi wa shule za kata tumekuelewa.

4. Hukusema ni PM au kuweka namba ya simu ili uibie watu au udanganye watu. Ubarikiwe sana endelea na moyo huo
 
1.Kwanza unaonekana ni mtaalamu unayajua vizuri madawa

2. Pili unaonekana si mchoyo wala tapeli kwa kuweka dawa hadarani ili kila mtu mwenye tatizo kama hilo au likimtokea ajaribu.

3. Tatu umeeleza namana ya kutengeneza mchanganyiko huo kwa lugha rahisi ambayo hata sisi wa shule za kata tumekuelewa.

4. Hukusema ni PM au kuweka namba ya simu ili uibie watu au udanganye watu. Ubarikiwe sana endelea na moyo huo
Abirikiwe sana . huyu Bwn ni asset humu jamvini!
 
1.Kwanza unaonekana ni mtaalamu unayajua vizuri madawa

2. Pili unaonekana si mchoyo wala tapeli kwa kuweka dawa hadarani ili kila mtu mwenye tatizo kama hilo au likimtokea ajaribu.

3. Tatu umeeleza namana ya kutengeneza mchanganyiko huo kwa lugha rahisi ambayo hata sisi wa shule za kata tumekuelewa.

4. Hukusema ni PM au kuweka namba ya simu ili uibie watu au udanganye watu. Ubarikiwe sana endelea na moyo huo
Mungu ambariki aisee katoa suluhisho.. Wengi tumefaidika kwa ushauri wake
 
fungus wa uken wanaitwa candidiasis na WAP waqaponi kizembe mpka utumie dawa ya fluconazole 200mg na sio candiatat au miconazole au ketoconazole au gentriderm sijui gentrisone au sonaderm au griseofulvin au cjui amphotelicin B au sulpha drug..pale ni fluconazole 200mg asikupe nyingine but kama utashindwa tumia hiyo ya septrin kama nilivoelwkeza then utafanikiwa...pia hakikisha nguo za ndani ni safi na anika kwa jua Kali kila ufuapo na piga pass hizo nguo za ndani...

usiposhugulikia mapema fungus wa sehem za siri huwa ni hatari sana wanashambulia mirija ya kizazi na badae unaweza kosa kizazi au kupata fetal abortion unnecessarily...watibu waishe. I hatari sana ..
Asante sana kwa kugusia hili.

Unakuta mtu ana fungus sehemu za siri lakini hajitunzi ili apone. Inawezekana ni kutokujua.

Ukiwa na fungus wa sehemu za siri inashauriwa unapotoka kuoga ujikaushe vizuri. Ikiwezekana ujifute kwa kubofya au kwa kuyakausha maji kwa kuyanyonya na taulo.

Inashauriwa pia ubadili nguo za ndani mara kwa mara kwa maana ya kutupa Na kuvaa mpya au kama mkuu alivyosema hakikisha unazinyoosha nguo zako za ndani vizuri kabla ya kuzivaa. Nguo za ndani aina ya cotton zinashauriwa zaidi.

Mara nyingi kunywa mtindi au maziwa mgando. Haya husaidia katika uponyaji.
 
kuna tatizo sugu la fangas linamsumbua mke wangu kwamuda mref na ameshatumia dawa tofaut tofaut
Hii ni tiba aliyoitoa mdau mmoja wa JF miaka kadhaa iliyopita.... na nnaiwakilisha kama ifwatavyo!!


Dawa kiboko ya minyoo na fungus sugu (home made)

Habari zenu wadau.Nimeona nitoe elimu hii hapa kwa sababu ni watu wengi sana wanaosumbuliwa na minyoo na fungus sugu kila maeneo kuanzia miguuni mpaka sehemu nyeti!Hii imekuwa kero sana.Haijalishi umezunguka hospitali ngapi bila kupata nafuu.Cha kufanya ni:- Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili vilainike.

Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze. Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri unaweza tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika) Ukishakaa kama dk 15 hali yako itarudi kawaida.Baada ya SIKU 1,utaona minyoo hakuna tena na fungus wote wamekauka!Kwisha kabisa!!!!

Pia kama una presha ya kushuka usitumie hii dawa maana huwa inashusha sana presha,labda unywe na kahawa baada ya kuinywa dawa hii ili kuipandisha tena presha! Msisite kuja kutoa ushuhuda wenu hapa wakuu.Ni hayo tu.

Credit to BAOSITA wa JF
 
1.Kwanza unaonekana ni mtaalamu unayajua vizuri madawa

2. Pili unaonekana si mchoyo wala tapeli kwa kuweka dawa hadarani ili kila mtu mwenye tatizo kama hilo au likimtokea ajaribu.

3. Tatu umeeleza namana ya kutengeneza mchanganyiko huo kwa lugha rahisi ambayo hata sisi wa shule za kata tumekuelewa.

4. Hukusema ni PM au kuweka namba ya simu ili uibie watu au udanganye watu. Ubarikiwe sana endelea na moyo huo

ha ha asante mkuu...unajua watu hawapendi kuwapa watu ukweli ulio wazi...watu wanaharibu pesa kilabkukicha ..lakini hawapon..kwa case study zilizofanyikainasemekani na sio kwamba inasemakana ni mwamba kila wanaume 10 unaowaona wanazungukazunguka bas jua wanaume 6 pale wana chronic fungal infection na haziponi...
unajua ni mini...pharmacy industry wanzalisha dawa kulingana na pesa uliyonayo wwe..ni sasa saw na kusema mchina antengeneza bidhaa feki. ..sio kweli hata kidgo kinachofanyika pale ni mwamba bidha za ubora wrote zinatengenezwa na ukitaka simu ya laki 9 mchina anakutengenezea ukitaka ya 20 mpka elfu 5 IPO but kama ukijua simu ya laki 9 na ya elfu 20 nivtofaut hata displaying system Zke ni tofaut..ya laki 9 utakuwa inatumia android Naughaty 7 au lollipop 6 lakini ya laki moja na 50 utakuwa INA android displaying system 4.0 mabyo ni sandwich ai ice cream na jins zinvodisplay ni tofaut lazima ya naughat 7.0 itakwa vizur

kwa hiyo hata dawa ni hivo hata ARV zipo katika grade tofaut so zipo za kunywa kila siku nz zipo za kumeza Mara moja kwa mwaka au moja wa mwezi au Mara moja kwa miaka 5 but ni xo expensive...so kadri unavotumia kitu kila siku kwa mfano dawa ujue effects take ni kubwa na hata fungal nap wana dawa zake kulingana na stage walipi..unakuta MTU ameanza kutumia mafuta ya break kujipaka lakini hakuna akahamia kwenye dawa ya MBA ile ya blue hakuna akarudi kwenye cream tube hakuna tu akarud kwenye vidonge hakuna tu ...yan pale fangus anadevelop drug resistant na hatakuja kuisha kwa dawa za buku buku...kumbuka hizo kuna dawa za 2000 kidonge kimoja utalinganisha na za hero hero box zima...

miez kadha imepita nilikutana na kijana mmoja ambaye kahangaika sana kutafuta dawa za nguvu za kiume anadai hana uwezo wa kuzalisha na ni kweli kapimwa speem count hospital akakutwa na low aperm count na hilo ndo tatizo jingine LA upungufu wa nguvu za kiume...

kwanin chronic fungal infection wa sehem za siri wanasababisha upungufu wa nguvu za kiume..??

the reason ni kwamba ..unajua sperm za mwanaume zinatengenezwa katka joto chin LA joto LA mwili I mean zinatengenezwa chini ya joto LA 37°c yan jotolinalohitajika kwenye via vya uzazi ni around 35°c yan pale sperm ndo zitatoka imara ndo mana mungu wa ajavu katuumbw huku korodani zetu zikiwa nje ya mfumo wa skin contact kuepusha effect ya joto LA mwili LA 37°c ktaka sperm production.

bas unapopata fungal infection sehem za siri kwa muda mrefu na kwa kuwa kunatokea muwash wa hatari kule chino...bas joto linapanda kwenye korodani na sehem za siri kwa ujumla na kumbuka MTU kwenye chronic fungal infection sehem za siri joto LA Kyle huwa linapanda mpka kufikia 40°c kitu ambacho kinafanya abnormal sperm production na kufanya mbegu zinazozinazotengenezwa kuwa hazina sofa na zingine kukosa mikia (sperm tail) za kuzifana ziogelee mpka kwenye fallopian duct sehem ambapo ndo area of fertilization ..badae kuzifanya sperm kushindwa kufika eneo husika na kwa wakati...so pale ndo unakuta MTU analalamika mbona natoa sperm tena kibaba lakini make wangu hazai...kumbuka Yale ni maji maji sperm zimo ndani and you can't observe them by your naked eye...

so tukikupima tunachunguza kwenye sperm na kugundua zime zingine ni abnormal hazina mikia...ndo mana huna uwezo wa kuzasa...

bas bad a ya kumchunguza yule kijana na kmhoji maswali ya kisaikolojia nikagundua na alinieleza ukweli kuwa ana fangus sehem za siri kwa muda wa miaka 6 na hazijawah kupona..na aliniambia watu wamepiga hela kwake kinyama na kila dawa kutumia lakini wapi...

bas nikamwobea huruma sana nikawa nimemwwlekeza cha kufanya na bad a ya miez 3 akarudi na feedback kuwa tayar make wake alikuwa kashabeba kitu ...hakuamini...but in short nilimpa maelekezo ya jina ya kuzikomeskuzikomesha zile jamaa na badae nikampe ushaur wa nutrition ili kuboost sperm quality na production kwa kutumia vyakula vya kawaida na badae mungu si athumuni he is good kabisa...

so my dear bro's na cctaz tatizo LA fungas ni hatari ukilizembea ndo linaloua kizazi kwa haraka zaidi...

be a were how to accomplish the task...
 
Hii ni tiba aliyoitoa mda mmoja wa JF miaka kadhaa iliyopita.... na nnaiwakilisha kama ifwatavyo!!


Dawa kiboko ya minyoo na fungus sugu (home made)

Habari zenu wadau.Nimeona nitoe elimu hii hapa kwa sababu ni watu wengi sana wanaosumbuliwa na minyoo na fungus sugu kila maeneo kuanzia miguuni mpaka sehemu nyeti!Hii imekuwa kero sana.Haijalishi umezunguka hospitali ngapi bila kupata nafuu.Cha kufanya ni:- Nunua kitunguu swaumu.Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili vilainike.

Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze. Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri unaweza tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika) Ukishakaa kama dk 15 hali yako itarudi kawaida.Baada ya SIKU 1,utaona minyoo hakuna tena na fungus wote wamekauka!Kwisha kabisa!!!!

Pia kama una presha ya kushuka usitumie hii dawa maana huwa inashusha sana presha,labda unywe na kahawa baada ya kuinywa dawa hii ili kuipandisha tena presha! Msisite kuja kutoa ushuhuda wenu hapa wakuu.Ni hayo tu.

Credit to BAOSITA wa JF
Asante kwa elimu ya bureeeeeeeee
 
kuna tatizo sugu la fangas linamsumbua mke wangu kwamuda mref na ameshatumia dawa tofaut tofaut
Mkuu fangus za wapi!!kama ni miguuni kuna vijimafuta vinauzwa huko mitaani vimeandikwa vestline!huwezi amini mimi hiyo fangus vimeniponesha wakati nilisumbuka 2years na nilichoma sindano na vidonge juu lakini bilabila !hayo mafuta kama utani vile yakaniponesha!!
 
Asante mtaalamu...haya makampuni ya madawa ni hatari sana....yaan ni kama vile faida kwanza kisha ndo uhai. Anyway...naomba dawa ya kukomesha uti sugu.

Cc : brivigy and upepo wa pesa!
 
Asante mtaalamu...haya makampuni ya madawa ni hatari sana....yaan ni kama vile faida kwanza kisha ndo uhai. Anyway...naomba dawa ya kukomesha uti sugu.

Cc : brivigy and upepo wa pesa!
Mmm mkuu hapo kwenye u.t.i sugu sina la kukushauri asee labda tafuta wataalam kama madoctor ila nasikia kuna dawa kutoka india hua zinamaliza!hizi za kibongo zimatuliza tuu!!kama uko mko wa dsm nenda farbek ple majese hua kuna madoctory wanaweza kukupa mwongozo zaidi!
 
Back
Top Bottom