Tatizo la Maji na Ukame: Lawama zangu zote ni kwa Waziri Lukuvi na Waziri wa Mazingira

Kama upo kanda ya Ziwa panda basi hadi Dar

Kama upo Dar panda Basi kwenda kanda ya Zina Au Iringa au Dodoma, ukikuta mito 5 inatiririsha maji tena kwa Kiwango kizuri nitafute nikupe hela.
 
Tulisema hili mapema kabisa ile bodi mpya ya Tanesco iliundwa kwajili ya kutengeneza channel za upigaji.

Soon watatangaza umeme wa kuzalishwa kwa mitambo ya kutumia mafuta mazito ili wale wafanyabiashara walioko kwenye bodi ya Tanesco wapige hela.

Waziri Makamba ni mshenzi sana
 
Nyie kwa nini mnang'ang'ania mito tu wakati nchi hii kuna maziwa, mvua kila mwaka, bahari? Nchi hii ina sehemu nyingi ambazo maji ya kuchimba yako karibu. Kwa nini unang'anga'ania mito tu???
Kama upo kanda ya Ziwa panda basi hadi Dar

Kama upo Dar panda Basi kwenda kanda ya Zina Au Iringa au Dodoma, ukikuta mito 5 inatiririsha maji tena kwa Kiwango kizuri nitafute nikupe hela.
 
Kuna diwani mmoja kule kwetu Iringa juzi katuma mapicha kwenye account yake ya facebook eti anajisifu wanachimba kisima cha milioni 50 kwenye zahanati.!

Nikishangaa sana,

Hivi sehemu kama Iringa tena kule dabaga mito kila sehemu ni kwa kupoteza milioni 50 kuchimba kisima?

Sehemu kama kigoma unaweza kukuta nako kuna uhaba wa maji wakati ziwa lipo pale pale!

Na alafu tulivyo wapumbavu, huwa tunatafuta watu wakuwatupia zigo kama hivi.
 
Kama upo kanda ya Ziwa panda basi hadi Dar

Kama upo Dar panda Basi kwenda kanda ya Zina Au Iringa au Dodoma, ukikuta mito 5 inatiririsha maji tena kwa Kiwango kizuri nitafute nikupe hela.
Kwa hiyo hiyo mito imekauka baada ya usajili mpya?
 
Idea yako ni ngumu sana kuielewa.

Mara mnatuambia maji yamefunguliwa mara sijui kimetokea nini.

Nyie watu bana mtamaliza sababu zote ila mwisho we mtasema tu ukweli . Nchi ishawashinda hii. Watu hawaendi kazini wanafanyia kazi nyumbani na offisini tu.

Hakuna hata siku moja rais ameenda ziara kuko mapolini, yeye anapiga ziara za kupangiwa tu. Mtanzania bila kusimamiwa hafanyi kazi.
 
Sisi hatuitaji hiyo technology kutibu maji Chumv tuna mito karibu kila mkoa yenye maji ya kutosha mwaka mzima


Tuna maziwa, mvua tuna Pata karibu kila mkoa shida hapa ni mifumo mibovu tulio nayo juu ya maji na hili Lina kera Sana
 
Bibi ushungi yeye na ndege
 
Wasomi na watawala wanatuangusha, ukweli mchungu matumizi mkaa na kuni hayaepukiki, misitu mingi hifadhi imebaki vichaka,
Mzaha na utani upandaji miti siku ya mazingira Ni usanii
1. TSF ufugaji sio dhambi serikali igawe vitalu kwa shariti wafugaji walinde miti kwa ada nafuu
2. Ubunifu miti mbao na kuni muda mfupi serikali ifanye PPP na sector binafsi Ni biashara na fursa kubwa kuongeza uchumi wetu tutapata Faida endelevu nature na mahitaji badala ya vichaka.
3. 70% ya Tz Ni vijiji Wana maeneo ya kutosha iwekwe plan na sheria , Aina miti rahisi kuni ya Muda mfupi kila Kaya idadi fulani kuzunguka nyumba na mashamba, Kama wakazi Kilimanjaro, utamaduni uzio wa miti.
 
Hakuna gharama yeyote mimi haya ndio mambo yangu, chimba kisima chako mimi nakuletea kimashine cha kutoa hizo chumvi hapo hapo nyumbani kwako.
 
Kuna nchi nyingi za Waarabu jangwani hazina mapori, misitu wala mito ila zina maji tele ya kutosha


Waarabu wanajaribu sana kuligeuza jangwa kwa kupanda miti.

Israel wanageuza jangwa na kupanda miti. Walichukua udongo kutoka Orange Free state , Afrika kusini na kupeleka jangwani na walianza kupanda machungwa na hivi sasa wanasafirisha.

Oman . Saudi Arabia hivi sasa wanalima ngano kwa wingi

Nchi za Ulaya hasa Scandinavia ukikata mti mmoja hyupanda 100 kwani misitu ni mali ya watu , private na ni mali sana.

Wenye misitu ni matajiri sana
 
Inabidi Waziri aige kampeni ya BASHITE ya kupanda miti nchi nzima.
 


Huyu Lukuvi hafai kabisa kuwa hata mjumbe wa Nyumba 10, hana busara hata kidogo katika uongozi. Ni mtu wa mihemko tu na hamasa nyingi za kichama na udini mwingi

Ataliangamiza taifa aondoshwe haraka
 
Sisi hatuitaji hiyo technology kutibu maji Chumv tuna mito karibu kila mkoa yenye maji ya kutosha mwaka mzima


Tuna maziwa, mvua tuna Pata karibu kila mkoa shida hapa ni mifumo mibovu tulio nayo juu ya maji na hili Lina kera Sana
Taja iyo mito iliyopo kila sehemu inayotiririsha maji mwaka mzima?
 
Wanaongea tu hawa hawajui uhalisia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…