Habari wakuu...
Naamini Mungu bado anatupenda na kutupa uzima ndo maana tunakutana hapa
Samahan naomba kuuliza hii hali ya kusikia kelele nyingi masikioni( kama mashine ya kusaga mahindi) n hali ambayo natakiwa kuikubali na kuishi nayo?
Hali hii ilianza mwaka juzi(2016) na nmetumia dawa nyingi lakin sion mafanikio
Kuna wakat nashindwa hata kufanya kazi kwa sababu ya usikivu kuwa mdogo kwa sababu ya kelele hizi
Hivi naandika uzi huu ikiwa ni siku chache tangu niache kibarua changu kwa sababu ya shida Hii
Najaribu kufikir kama swala hili n halipon( kama wengi wasemavyo) bas nitaishi maisha ya namna gan
Najikuta nakata hata tamaa ya kuishi
Naomben mtazamo wenu ndugu zangu kama kuna mtu anaijua hii shida au alishawahi kukutana nayo na aliipona vipi
Ahsante
Sent using
Jamii Forums mobile app