Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MziziMkavu jamani njooNaomba Mzizimkavu anijibu hapa tafadhali,,, cwez kumpm
Kabla ya kukupa dawa za Tibambadala ilikuwa kwanza uende hospitali wakakuangalie vizuri kisha uje hapa utupe feedbak pole sana kwa hayo matatizo yako.habari ,
Nna matatizo na sikio langu la kushoto tangu nipo mdg, niipima n kupewa "hearing aid" bt nkashndwa kuitumia kwa mda mrefu maana nilkua naskia saut kuubwaa ad kichwa kinauma,,, so nkaamua kuvaa darasan af nikitoka navua.
Tatizo langu ss lmezd kdg,yan sikio la kulia pia lnauma istoshe nackia saut za ""zyiiiiiiiiiiiiii"" , nijuavo mimi ,hii hali ya kupata hii saut maskion huitwa TITTUNIS .Mnisadie ni vip naeza kupona hii hali n pia ka kuna uwezekano wa kupata matibabu ili nipone n kuweza kusikia vzr kama wenzangu.
Hiyo ni fungus, nenda kwa OTC ukasafishwe na kupewa dawa( OTC ni mtaalam wa magonjwa ya sikio, koo na mfumo wa pua!!!!!
Wadau kwa mwenye ufahahamu juu ya tatizo hil kwan sikio linawasha af linatoa usaha.
Wadau kwa mwenye ufahahamu juu ya tatizo hil kwan sikio linawasha af linatoa usaha.
Pole kwa kuuguza, nakushauri umuone daktari bingwa . Pale ekenywa kuna madaktari wa level tofauti ila kuna super specialist anaitwa Dr Emmanuel ni mzuri sana mimi alimtibiaga mtoto wangu akapona kabisa.
Pole kwa kuuguza, nakushauri umuone daktari bingwa . Pale ekenywa kuna madaktari wa level tofauti ila kuna super specialist anaitwa Dr Emmanuel ni mzuri sana mimi alimtibiaga mtoto wangu akapona kabisa.
Pole kwa kuuguza, nakushauri umuone daktari bingwa . Pale ekenywa kuna madaktari wa level tofauti ila kuna super specialist anaitwa Dr Emmanuel ni mzuri sana mimi alimtibiaga mtoto wangu akapona kabisa.