dwoxye
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 679
- 353
pole mkuu..hio shida yako inabid umuone daktari bingwa wa magonjwa ya pua,sikio na koo (ENT Surgeon). unaweza kuwa na Vestibular Disease ila kwa kuanzia tumia Meclizine 50mg mara 2 kwa cku (tafuta dawa inaitwa vomidoxine ina hio meclizine). ila fanya mchakato uwaone hao mdaktari hapo juu
Asante mkuu, nashukuru kwa ushauri wako.
